Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiv zile meli za coco beach ni uzembe au bandari haitoshi?
Kwa Sasa hakuna Tena ule msururu wa Meli Coco beach zikisubiri kuingia Bandarini. DP wame funga mitambo mipya wana uwezo Hadi wa kuhudumia meli nyingi kwa wakati mmoja. Kuna crane zinapakua mzigo melini na kuweka Yard direct.

Ukiona foleni bhas ni labda ya siku moja au mbili...sio kama mwanzo meli zilikaa Hadi 30 days outer anchorage... Na TRA nao pia wameleta utaratibu mpya wa partial release hivyo kuongeza Kasi ya kupakua mzigo melini. Kuna improvement kubwa sana kwa Sasa.
 
Close to 70 million people na hata huna aibu kushabikia 14 MRI machines pekee.
Unajua kazi MRI? 🤣 🤣 🤣 🤣 Huenda tunaongea na mtu hapa hajui hata kazi yake. MRI ni inatumiaka kwaajili ya kupima mdogo wangu. Sasa unataka watu 70M waende kupimwa wakati hawana uhitaji? Sijawahi kuona mjinga kama wewe tangu dunia hii iumbwe

Dogo MRI siyo chakula kilma mmoja anaweza kula.
 
Unajua kazi MRI? 🤣 🤣 🤣 🤣 Huenda tunaongea na mtu hapa hajui hata kazi yake. MRI ni inatumiaka kwaajili ya kupima mdogo wangu. Sasa unataka watu 70M waende kupimwa wakati hawana uhitaji? Sijawahi kuona mjinga kama wewe tangu dunia hii iumbwe

Dogo MRI siyo chakula kilma mmoja anaweza kula.
Weeeee kama hivi ndio hua munareason naelewa mbona nyinyi ni primary school dropouts. Kwa hivyo watu wa statistics wakisema 1 doctor per 10,000 people inamaanisha hao ni wajinga ju sio kila mtu anafaa kua mgonjwa. 🤣 🤣 🤣 Usiwe mjinga bana..
 
Demand ya seats ni kubwa mkuu. Tanzanians ndio taifa amabalo watu wake wengi wanasafiri sana. Hata mabasi siku hizi lazima ukate ticket a day before au mapema asubuhi kama unasafiri usiku bila hivyo hupati seat.
Kwa sababu over 70% ya workforce ni independent na self-employed. Unlike Wakenya na Wasouth ambao kila mtu ni muajiriwa ni kipindi cha holidays tu wanaenda ushago.
 
Back
Top Bottom