Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo kama Mabeyo alisimamia ndio Wasukuma walimpenda? Hivi unajua Mabeyo alifuata
Katiba ya nchi?
Huna ushahidi kuonesha kuwa Wasukuma wanamchukia. Wasukuma/Wanyamwezi ni zaidi ya 20M. Weka ushahidi kuwa wasukuma wanamchukia.

VIongozi wa juu kabisa ambao ni wasukuma:
  • Doto Biteko ni namba nne kutoka juu (Naibu Waziri Mkuu).
  • Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) Waziri wa ulinzi

  • Stanslaus Nyongo - Deputy Minister of State in the President's Office for Planning and Investment
  • Kundo Andrea Mathew - Deputy Minister for Information, Communication and information Technology
  • Patrobas Paschal Katambi - Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana na Ajira (Deputy Minister, PM's Office Labour, Youth & Employment)
  • Mhe. Alexander Pastory Mnyeti - Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi


Adv. Ng'wasi D. Kamani(MB) - Msukuma ndiye aliyetoa pendekezo la mkutano mkuu kuridhia Rais Samia apitishwe kama mgombea pekee.

View: https://www.instagram.com/reel/DFAZ7qYoPgU/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==


Orodha ni ndefu sana kaka. Kinachokusumbua ni chuki tu.
 
Tanzania kwa report ya October 2024 iko na:-

1. Altrasound machines - 970
2. X-ray machines - 469
3. MRI machine - 14
4. CT scan machines - 40
5. PET scan machines - 3

Hizi zote ni government owned.. hakuna uwekezaji binafsi hapo. 👇🏾 Nishati | News.
GDP ya 400 billion dollars na mkona 14 MRI machines and 40 CT scan pekee. 🤣 🤣 🤣
 
Hiv zile meli za coco beach ni uzembe au bandari haitoshi?
Kwa Sasa hakuna Tena ule msururu wa Meli Coco beach zikisubiri kuingia Bandarini. DP wame funga mitambo mipya wana uwezo Hadi wa kuhudumia meli nyingi kwa wakati mmoja. Kuna crane zinapakua mzigo melini na kuweka Yard direct.

Ukiona foleni bhas ni labda ya siku moja au mbili...sio kama mwanzo meli zilikaa Hadi 30 days outer anchorage... Na TRA nao pia wameleta utaratibu mpya wa partial release hivyo kuongeza Kasi ya kupakua mzigo melini. Kuna improvement kubwa sana kwa Sasa.
 
Back
Top Bottom