Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fikra za viongozi wa Africa ni za kipuuzi. Nyerere set us on a good path as a nation. Nakumbuka wakati huo Israel ilikuwa ikitusaidia na bado tukawatambua Palestina na kuwapa office Dar waisrael wakakasirika, pia South Korea, West Germany na Morocco walikasirika tulipowatambua mahasimu wao North Korea, East Germany na Sahara (POLISARIO) pamoja na umasikini wetu na uchanga kama taifa tukawaambia hamuwezi kutuchagulia marafiki kamwe kama vipi songa na tukafunga uhusiano wa kibalozi na nchi hizo zote. Ndio maana wakati ule passport ya TZ inaandikwa you can visit all countries in the world except South Korea, West Germany and Israel lakini baada ya muda wamerudi wenyewe baada ya kuona hatuyumbishwi na yeyote na pia tulikuwa founders wa Non Aligned Movement iliyoanzishwa na kina Nyerere Tanzania, Gamal Nasser Egypt na Jawarhal Nehru India. Pia Makaburu tukawa tunawapiga pini pamoja na USA kutushinikiza tuwatambue Makaburu tulikataa katakata ila jirani wa kaskazini kila anachooambiwa anatekeleza hana maamuzi yake mwenyewe.
Hatuna viongozi sasa ni machawa tuu wasikua na misimamo wewe waweke teuzi mbele tuu watakusujudia
 
Demand ya seats ni kubwa mkuu. Tanzanians ndio taifa amabalo watu wake wengi wanasafiri sana. Hata mabasi siku hizi lazima ukate ticket a day before au mapema asubuhi kama unasafiri usiku bila hivyo hupati seat.
Just imagine kama jpm asingeipiga chini fastjet japo halikosea ila alifanya maamuzi maagumu just imagine wawekezaji wa njee wangekuwa wanapiga hii fedha zote wanaenda kuendeleza nchi yao ila sasa air Tanzania inazidi kukua siku hadi siku 10 years ago ilikua haina ruti ata moja njee ya bongo,jambo kwa sasa inaendshwa kwa hasara ila hela yote inayopatikana inabakia hapahapa
 
game over wa kuponda kwenu Mbeya ni hivi,kazi ya ujenzi wa magorofa inayoendelea Mbeya Kwa Sasa ni tamu sana.

Labda Changamoto ni kwamba majengo yanayojengwa sio marefu.Ukianzia Uyole ,Mwanjelwa New CBD,Old CBD matola all the way to mbalizi Hadi Songwe Viwandani kote huko ni magorofa yanaota.

I spotted some maeneo ya Mwanjelwa -Forest
IMG_20250718_153952_201.jpg
IMG_20250718_154129_510.jpg
IMG_20250718_114956_094.jpg
IMG_20250718_114957_229.jpg
IMG_20250718_114450_081.jpg
IMG_20250718_114450_838.jpg
IMG_20250718_150932_943.jpg
IMG_20250718_150930_881.jpg
IMG_20250718_104031_695.jpg
IMG_20250718_103923_640.jpg
IMG_20250718_152719_770.jpg
IMG_20250718_152720_447.jpg
IMG_20250718_110540_087.jpg
IMG_20250718_105845_226.jpg
IMG_20250717_165218_052.jpg
IMG_20250717_154638_347.jpg
IMG_20250718_103712_949.jpg
IMG_20250718_103712_485.jpg
IMG_20250718_122903_309.jpg
IMG_20250718_122904_582.jpg
 

Attachments

  • IMG_20250718_150930_881.jpg
    IMG_20250718_150930_881.jpg
    588 KB · Views: 10
Kwa hivyo 14 MRI na 40 CT scan pekee zimetosha nchi nzima, na ulisema wewe ni clinical officer. You should really feel ashamed of yourself.
Ona hii jamaa.
Kwanza unajua MRI na CT scan zinapima vipimo aina gani!?
Fanya ratio kwa mwezi hivyo vipimo vinatumika kwa watu wangapi.
Pia fanya ratio hospitali za kanda ziko ngapi.
Unaweza ukakaa mwezi mzima waliitumia MRI wasifike hata 20.
Hivyo vipimo sio vya kutumika mara kwa mara.
Ndio maana zilichukuliwa kwa kuhudumia kikanda.
Ama upo kanda ya kaskazini utatoka uende hospitali ya kanda ya kaskazini ukapatiwe vipimo vya MRI.
Unanunua kwa Kulenga mahitaji.
Tumia akili wewe.
 
Hayo ndio mambo tunayakataa umu kupangiwa rafika kisa anakupa mkopo tutakua hatuna tofauti na wakenya kwa wamarekani
South Korea huwezi kuingia nao makubaliano ya kushirikiana bila kukiri upo upande wao kinyume na north Korea, ndio maana walikubali wskasign memorandum of understanding, halafu sio mkopo ni bure Tanzanite bridge ni bure (grants) na Mloganzila na vitu vingine kibao
 
Back
Top Bottom