Nani anarekebisha??Narudia tena aya mambo yanerekebishika ata ulaya mika miaka 70 iliyopita zilikua haziivi ila leo ni sautii moja na ndio nguvu yao kubwa sana hvi vibifu vya hapa na pake ni suala la maslai tuu na ndio maana wamejiinga EAC ,umoja wetu ndio utatoa hapa na kutuweka sawa na nchi kama china nk
Wanarekebisha kuwaje?
Hivi unaijua nguvu ya Socialism vs Capitalism?
Kenya ni nchi ya watu, ambao hawawezi kuruhusu ibadilishe uelekeo hata kidogo. Itakuwa sawa na kudai Uhuru mara ya pili.
Inaona kilichowakuta Zimbabwe walipopora Wazungu ardhi??
Kenya kuna settlers wanamiliki ardhi kama karibu Laikipia yote.
Juzi, Rutto amekwenda China kutafuta mikopo, amejadiliwa mpaka kwenye bunge la Marekani kuwa anataka kubadilisha uelekeo
Haya mambo siyo kusema, yalishaota mizizi. Kuyabadilisha ni kujikana na sidhani kama kuna mtu anataka kufanya.