Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata mie naona napoteza muda maana hapa naona hakuna mtu wa mjadala Kuna mbishani tu.
Wether iwe country ama nation hakuna kinacho exist vizuri kama hamtembei na ideology moja.
Nimemaliza mada end of discussion.
🚮 🚮
Nimekwambia vizuri kuwa:
having identical ideology kama watu ni jambo la kutengenezwa. Identical ideology haioti tu kama mti wala kutokea kwa bahati mbaya ni swala linalo tengenezwa kwa ustaadi mkubwa. Tanzania ni taifa na wakati wa uhuru hatukuwa hivi ideologically.

Ndio maana nakwambia, Ethiopia kuichagua CCM Tanzania kuwasaidia kwenye national project yao sio wapumbavu, wanatambua kwa kiasi gani kama taifa tumefanikiwa kwenye hili ili wao waige na wajenge la kwao na hatimae wawe na hii identical ideology unayoiita "ideology moja".
 
Unatatizo la uelewa.

Nilikuwa naeleza kuwa miradi tunayofanya ni nchi zenye GDP zaidi ya $400B tuu ndo zinafanya.

Nikahoji tuonesheni nchi zenye GDP ya $250B zinazofanya hivyo lakini mpaka sasa mmeshindwa.

Ni simple logic tuu, kama hakuna nchi zenye GDP ya $250B zinazoweza kufanya miradi ya Tz isipokuwa zile za GDP zaidi ya $400B, basi Tanzania nayo ipo kwenye kundi hilo la $400B
So if I approve you wrong Will you apologize for misleading statements?.. Lol
 
Brother unasumbuliwa na ingnorace and separatism. Dunia sasa wanahubiri umoja. BRICS wanaendelea kuongeza umoja wao na sasa wanampango wa kuwa na currency yao. Europian Union unaweza kwenda kuajiriwa nchi yoyote.

Mkiwa Separated ndio kutishwa na wazungu na kuwekewa mashariti ya kijinga kijinga tu. Lakini mkiwa wamoja hakuna wa kuwatikisa.
Mjadala nimeumaliza kaka tuendelee na mada zingine.
Pia huwenda hata huelewi muungano upi unazungumzia, muungano wa Brics ni WA international organization sio wa umoja wa states kama uliotaka ufanyike wewe.
Case closed bro tutizame mada zingine.
 
🚮 🚮
Nimekwambia vizuri kuwa:
having identical ideology kama watu ni jambo la kutengenezwa. Identical ideology haioti tu kama mti wala kutokea kwa bahati mbaya ni swala linalo tengenezwa kwa ustaadi mkubwa. Tanzania ni taifa na wakati wa uhuru hatukuwa hivi ideologically.

Ndio maana nakwambia, Ethiopia kuichagua CCM Tanzania kuwasaidia kwenye national project yao sio wapumbavu, wanatambua kwa kiasi gani kama taifa tumefanikiwa kwenye hili ili wao waige na wajenge la kwao na hatimae wawe na hii identical ideology unayoiita "ideology moja".
Unajua watu wanaposema Tz inaushawishi Afrika, wanadhani ni zile hotuba za Nyerere, watu wakisikiliza, wanacheka kama wako kwenye comedy club.

Nchi yetu ni king maker south of the Sahara. Kuanzia Sudan, Ethiopia, Nigeria, DRC, mpaka South Africa. kote huko kuna footprint zetu. Siyo hapo tuu hadi tuliiwezesha nchi moja kubwa duniani kuwa na kibesi UN.
 
Unajua watu wanaposema Tz inaushawishi Afrika, wanadhani ni zile hotuba za Nyerere, watu wakisikiliza, wanacheka kama wako kwenye comedy club.

Nchi yetu ni king maker south of the Sahara. Kuanzia Sudan, Ethiopia, Nigeria, DRC, mpaka South Africa. kote huko kuna footprint zetu. Siyo hapo tuu hadi tuliiwezesha nchi moja kubwa duniani kuwa na kibesi UN.
Hawa vijana huku mitandaoni ni wengi wamezaliwa 1995/8 to 2000. Hawajui kuwa ni sisi ndio tumeipigania China kupata kiti umoja wa mataifa.
Hawa vijana wa Face book ni shida 🚮
 
Narudia tena aya mambo yanerekebishika ata ulaya mika miaka 70 iliyopita zilikua haziivi ila leo ni sautii moja na ndio nguvu yao kubwa sana hvi vibifu vya hapa na pake ni suala la maslai tuu na ndio maana wamejiinga EAC ,umoja wetu ndio utatoa hapa na kutuweka sawa na nchi kama china nk
Nani anarekebisha??

Wanarekebisha kuwaje?

Hivi unaijua nguvu ya Socialism vs Capitalism?

Kenya ni nchi ya watu, ambao hawawezi kuruhusu ibadilishe uelekeo hata kidogo. Itakuwa sawa na kudai Uhuru mara ya pili.

Inaona kilichowakuta Zimbabwe walipopora Wazungu ardhi??

Kenya kuna settlers wanamiliki ardhi kama karibu Laikipia yote.

Juzi, Rutto amekwenda China kutafuta mikopo, amejadiliwa mpaka kwenye bunge la Marekani kuwa anataka kubadilisha uelekeo

Haya mambo siyo kusema, yalishaota mizizi. Kuyabadilisha ni kujikana na sidhani kama kuna mtu anataka kufanya.
 
Orania ni private property ambapo wenye nayo wameamua kuishi hivyo na ni swala lipo kwenye katiba yao.
Rwanda watakuwa wamemaliza swala la utaifa na kuingia kwenye swala la udogo wa ardhi.
Hili la private property unawasikiliza wao wenyewe wazungu.

Kiuhalisia hakuna private property ndani ya nchi ikawa na utawala wake, sarafu, bendera, monuments za makaburu wao, historia, lugha na elimu.

Hiyo ni nchi.

Wanasubiri kutambuliwa tu.
 
Unajua watu wanaposema Tz inaushawishi Afrika, wanadhani ni zile hotuba za Nyerere, watu wakisikiliza, wanacheka kama wako kwenye comedy club.

Nchi yetu ni king maker south of the Sahara. Kuanzia Sudan, Ethiopia, Nigeria, DRC, mpaka South Africa. kote huko kuna footprint zetu. Siyo hapo tuu hadi tuliiwezesha nchi moja kubwa duniani kuwa na kibesi UN.
TZ tulikuwa zamani. Na huu ni msingi wa Nyerere.

Mambo mengi ni SCRIPT ya Nyerere.

Hiyo akili kwasasa hatuna. Tunashindwa kutatua vimatatizo kidogo sana
 
Another Stadium Coming up in Kitu County. At this rate by 2027 every county in Kenya will have a decent Stadium.

View attachment 3409222View attachment 3409223View attachment 3409224View attachment 3409225View attachment 3409226View attachment 3409227
Kenya uchumi wenu na hali ya maisha ni duni mno kujenga hizi cowsheds countrywide, kwanini hizi pesa msingejengea irrigation dams mtoe ajira kwa vijana wenu? Hizi substandard cowsheds haziwasaidii kitu sababu ninyi hata sio football nation, mtacheza hapo mara 1 kwa miezi mitatu mfungane mvunje viti na properties tofauti na Tanzania mechi kila siku na viingilio ni vingi hence ni viable commercial investment, ni kama naislum mmejaza maviwanja mengi lakini I bet you know hakuna siku hata 1 viwanja vyote kwa pamoja viliwahi kuwa occupied, sijui nani anawasaidiaga kufikiria.
 
You are done because you are running out of gas, you can't produce any evidence of $250B GDP country that do what we do in Tz.

NairobiWalker Unaelewa maana ya logic hii hapa juu au hata "Githafu" za logic hujui?
Wee nawe una ubishi wa kijinga. Yani umesema kitu wazi hadi unapewa quote ya post yenyewe ila unabisha kisha unajaribu kubadili mjadala. Hata ni vizuri huyo NairobiWalker amekataa kuvutwa na huo upuzi wako wa 'nionyeshe nchi ya $250B bla bla' maanake anajua unajaribu kukwepa usionekane mjinga wakati kila mtu ashauona ujinga wako. Ni wazi hata akikupea hizo nchi utabadilisha mjadala na kuuvuta kwenye upuzi mwengine. Na bado unajiona mjanja sana kisa bongolala wenzako wanalike hizo post zako za ufedhule.
 
Kenya uchumi wenu na hali ya maisha ni duni mno kujenga hizi cowsheds countrywide, kwanini hizi pesa msingejengea irrigation dams mtoe ajira kwa vijana wenu? Hizi substandard cowsheds haziwasaidii kitu sababu ninyi hata sio football nation, mtacheza hapo mara 1 kwa miezi mitatu mfungane mvunje viti na properties tofauti na Tanzania mechi kila siku na viingilio ni vingi hence ni viable commercial investment, ni kama naislum mmejaza maviwanja mengi lakini I bet you know hakuna siku hata 1 viwanja vyote kwa pamoja viliwahi kuwa occupied, sijui nani anawasaidiaga kufikiria.
Kenya hawana vision.

Wako too addictive to cosmetic development.

Hawawezi kukuelewa.

Kwasasa wako busy na smart cities (Northlands city, Konza Metropolis na Tatu City)

😅
 
Wee nawe una ubishi wa kijinga. Yani umesema kitu wazi hadi unapewa quote ya post yenyewe ila unabisha kisha unajaribu kubadili mjadala. Hata ni vizuri huyo NairobiWalker amekataa kuvutwa na huo upuzi wako wa 'nionyeshe nchi ya $250B bla bla' maanake anajua unajaribu kukwepa usionekane mjinga wakati kila mtu ashauona ujinga wako. Ni wazi hata akikupea hizo nchi utabadilisha mjadala na kuuvuta kwenye upuzi mwengine. Na bado unajiona mjanja sana kisa bongolala wenzako wanalike hizo post zako za ufedhule.
Ungepata hizo nchi za GDP ya $250 zenye uwezo wa kufanya tunayofaya Tz, ungesha leta. Sababu ya kutoa lugha chafu na mwezio kukimbia ni dhahiri umeshindwa hoja.
 
Kenya hawana vision.

Wako too addictive to cosmetic development.

Hawawezi kukuelewa.

Kwasasa wako busy na smart cities (Northlands city, Konza Metropolis na Tatu City)

😅
Na hizo cities hata sio government owned ni za wazungu na 1 ya uhuru for money laundering ya ufisadi, wanazika billions of money kwa kitu ambacho wanatumia mara 3 kwa mwaka 😂😂 hivi viwanja vitatumika zaidi kwa government functions zaidi ya commercial functions na vitawapa hasara kuvihudumia na bado ni masikini, viwanja vya FIFA WC kule SA tu vingi vimetelekezwa na SA wana uchumi mkubwa zaidi ya Kenya

Hii Talanta wangeijenga hata Mombasa washare hasara tena iwe 30k seaters hiyo pesa nyingine wafanye renovations kwenye hayo mapagale yao, nyayo na Kasarani vilitosha kabisa for naislum
 
Narudia tena aya mambo yanerekebishika ata ulaya mika miaka 70 iliyopita zilikua haziivi ila leo ni sautii moja na ndio nguvu yao kubwa sana hvi vibifu vya hapa na pake ni suala la maslai tuu na ndio maana wamejiinga EAC ,umoja wetu ndio utatoa hapa na kutuweka sawa na nchi kama china nk
Mkuu mfano wa Africa na ulaya sio sawa, tatizo kubwa la Africa ni njaa, kuanzia viongozi mpaka raia, hatutakuja kuwa pamoja mpk njaa itakapokoma.
 
Back
Top Bottom