REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,229
- 10,913
🚮 🚮Hata mie naona napoteza muda maana hapa naona hakuna mtu wa mjadala Kuna mbishani tu.
Wether iwe country ama nation hakuna kinacho exist vizuri kama hamtembei na ideology moja.
Nimemaliza mada end of discussion.
Nimekwambia vizuri kuwa:
having identical ideology kama watu ni jambo la kutengenezwa. Identical ideology haioti tu kama mti wala kutokea kwa bahati mbaya ni swala linalo tengenezwa kwa ustaadi mkubwa. Tanzania ni taifa na wakati wa uhuru hatukuwa hivi ideologically.
Ndio maana nakwambia, Ethiopia kuichagua CCM Tanzania kuwasaidia kwenye national project yao sio wapumbavu, wanatambua kwa kiasi gani kama taifa tumefanikiwa kwenye hili ili wao waige na wajenge la kwao na hatimae wawe na hii identical ideology unayoiita "ideology moja".