Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Waongeze Mabasi ya Mwendokasi sasa, Kila baada ya dk tano bus linapita. Mimi naamini litamaliza foleni Dar Barabara ya Morogoro.
Foleni za Morogoro road ni kwa sababu ya changamoto za Mwendokasi.
Zamani mie ningetoka kibaha na mwendokasi moja hadi posta. Dk 30 hadi 40 ushafika.
Wakileta Mabasi bajaji, na magari binafsi yatapungua tu
Dar foleni malori pia yamekua mengi mno,halafu hayana formula,yanapaki kokote na yanakua barabarani muda wowote na hayachukuliwi hatua zozote,wazo la kuanzisha dry port nje ya mji ni zuri mno sema wenye hizo roli watu wenye nguvu kuamua lolote kwa serikali dhaifu
 

Ni mjinga anahaha sana. Tunamjua sana proposal yake ya NALA aliyoiwasilisha huko Silicon Valley ilimpatia $100,000 ili aje ku implement ha TZ but failed.

Akapeleka proposal nyingine na akaongezewa akaja na hiyo issue ya remittance. Akaijaribu hapa TZ akaangukia pua ndipo sa akaenda kenya.

Pesa ya muwekezaji bado haijarudi wamarekani wata myonya mavi.

Na ile project yake ya kwanza ya mfumo wa malipo alipo enda BOT wakamwambia aweke pesa ya insurance kwenye account hakuwa na pesa hiyo just $100,000 anataka avune pes nyingi ki ujanja ujanja tu.


Tanzania inajua watakaoshughulikia siyo wabongo bali ni hao wamarekani. Siyo muda mrefu watampelekea moto.
 
Ni mjinga anahaha sana. Tunamjua sana proposal yake ya NALA aliyoiwasilisha huko Silicon Valley ilimpatia $100,000 ili aje ku implement ha TZ but failed.

Akapeleka proposal nyingine na akaongezewa akaja na hiyo issue ya remittance. Akaijaribu hapa TZ akaangukia pua ndipo sa akaenda kenya.

Pesa ya muwekezaji bado haijarudi wamarekani wata myonya mavi.

Na ile project yake ya kwanza ya mfumo wa malipo alipo enda BOT wakamwambia aweke pesa ya insurance kwenye account hakuwa na pesa hiyo just $100,000 anataka avune pes nyingi ki ujanja ujanja tu.


Tanzania inajua watakaoshughulikia siyo wabongo bali ni hao wamarekani. Siyo muda mrefu watampelekea moto.
Anataka eti ajiite muwekezaji kwa hizo $100,000. Anataka eti awe treateded same kama Azam Pay, Tigo Pesa, M pesa nk.

Wamarekani wana mchora tu. Anaruka ruka kama maharage kwenye chungu. Watammaliza kama walivyommaliza Manj.
 
Back
Top Bottom