Hatuwez kupiga revenue ya cargo sababu kwanza jua bado sgr na kipande Cha mgr sasa hivi havinakamilikabkuingia bandarin.
Siku mizigo ikianza Toka bandarini ndo tutarudi hapa tufanye comparison.
Tukisema tuje kwa passenger revenue tu hata kabla hatujakamlisha ripoti ya mwaka tukianza kwa kuangalia nauli tu, nauli zote za Tanzania kwa economy tz ni expensive kuliko Kenya i.e economy Kenya 1500ksh,
Tz 31,000=1550
Kenyan first class= 4500 = 90,000tsh
Tanzania tuna royal class
Premium= 150,000= 75000 huwa seat 35
Business class royal= 5000 ksh seat 535
Kuna locomotive royal na business 90,000 kwa 70000
Kwa hiyo tukija kwenye issue ya pricing bado revenue ya Tanzania itakuwa juu sababu ukitoa premium class ya Kenya ambayo huwa Ina mabehewa mawili hakuna sehemu bei mmetuzid hence revenue automatically lazima iwe juu.
Personal driving , bado Kuna majority wanatembeza magari yao kwa wingi zaid ya unavyofikiria , hayo utayaona kama ukiamua kutembea kwa barabara.
Kuhusu air transport Mombasa Inaweza frequency nyingi lakini haziwez fikia hata kucover hata treni moja ya emu na hapa hatuzingumzii air frequency bali sgr