Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That report was released end of June this year. Yani Nyinyi mnapinga kila kitu?😂😂🤣🤣👇👇👇

View attachment 3394808
Wait for SGR operations from 2024 to 2025.
Kwa sababu Basic operations zilianza June na officially August. November wakaanza EMU.

Sema Mimi ubishi wa kijinga siuwezi.
Data umeleta mwenyew na hujui kuzisoma
 
Hata baada ya kuongeza fair bado haijazidi fair ya sgr Tanzania.
Labda premium coach zenu tu ambazo per trip huwa ziko mbili na mara chache hujaaa.
Premium kwa wiki Inaweza jaza maybe mara moja au twice lakini siku zote huwa Iko empty
Passengers service yetu reli ikifika kigoma na Mwanza ina potential ya kuingiza revenues kiasi cha USD 150 million pa
 
Wait for SGR operations from 2024 to 2025.
Kwa sababu Basic operations zilianza June na officially August. November wakaanza EMU.

Sema Mimi ubishi wa kijinga siuwezi.
Data umeleta mwenyew na hujui kuzisoma
This figure ni ya 2024/2025. Kama hukubaliani na serikali yako basi kufa na ujikize pia. Mwaka wa serikali huwa unaanza June na kuishia June, so this report ni ya June 2024-June 2025. AMA mlikuwa mnabeba abiria kwa hiyo SGR yenu before June 2024?

IMG_1550.jpeg
 
What Mombasa Port handled in 2024 is double of what all Tanzanian ports did in 2024😂😂🤣

IMG_1550.jpeg
 
Passengers service yetu reli ikifika kigoma na Mwanza ina potential ya kuingiza revenues kiasi cha USD 150 million pa
Mpaka kufikia march 22 ilikuwa ishabeba 60bil kwa ajili ya abiria tu sawa na ksh 3bil ndani ya kipindi Cha miezi nane wastani wa ksh 372mil kwa mwezi.
krc ikiwa na 4.099 kwa miezi 12 ya mwaka wastan wa 333mil ksh per month🤣🤣🤣🤣
 
Passengers service yetu reli ikifika kigoma na Mwanza ina potential ya kuingiza revenues kiasi cha USD 150 million pa
Kama sikosei target ya 2025/2026 ni abiria 6mil nadhan tutafika hii pale oparesheni ya tabora itakapoanza tu
 
This figure ni ya 2024/2025. Kama hukubaliani na serikali yako basi kufa na ujikize pia. Mwaka wa serikali huwa unaanza June na kuishia June, so this report ni ya June 2024-June 2025. AMA mlikuwa mnabeba abiria kwa hiyo SGR yenu before June 2024?

View attachment 3394810
2024/2025 ndo tumeimaliza juzi na kwanza wahasibu ndo wako wanafunga hesabu Dodoma sasa hivi ili vifungu vya matumizi vifunguliwe na malipo yaanaze kufanyika sasa , na mpaka sasa hakuna taasisi ya serikali ambayo ishafanikiwa kumaliza hesabu za mwaka 2024/2025 kwa ajili ya kugazette hii yako umeitolea wapi kama sio ya mwaka 2023/2024🤣🤣🤣🤣

Acha kukurupuka 🤣🤣🤣financial year Tanzania huwa inaishia 30/6 ya Kila mwaka na kuanza 1/7 ya Kila mwaka
 
Kenya Exported goods worth $8.7B in Total while Tanzania total export in 2024 was $8.2B.

IMG_1552.png



IMG_1553.png
 
2024/2025 ndo tumeimaliza juzi na kwanza wahasibu ndo wako wanafunga hesabu Dodoma sasa hivi ili vifungu vya matumizi vifunguliwe na malipo yaanaze kufanyika sasa , na mpaka sasa hakuna taasisi ya serikali ambayo ishafanikiwa kumaliza hesabu za mwaka 2024/2025 kwa ajili ya kugazette hii yako umeitolea wapi kama sio ya mwaka 2023/2024🤣🤣🤣🤣

Acha kukurupuka 🤣🤣🤣financial year Tanzania huwa inaishia 30/6 ya Kila mwaka na kuanza 1/7 ya Kila mwaka
Pingana na serikali yako nguruwe hii.👇👇👇👇

1751713623662.png
 
Kenya had a surplus balance of trade against Tanzania. Yani tumeuzia Tanzania more kuliko vile tumenunua kutoka kwao😂😂😂

Export to Tanzania is $670M

IMG_1555.jpeg


Imports from Tanzania is $580M

IMG_1554.jpeg
 
Back
Top Bottom