Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo CHAN imeshachezeka?
Unadhani kwa yanayoendelea ndio muachiwe mu host Afcon!?
Heheheh poleni sana time will tell.
Of course time will tell and I am going to quote you a few days from now when teams will be jetting in Nairobi from across Africa. The funny thing is, some of the teams that are going to play their matches in that glorified fishing village will first land in Nairobi before making the journey south. As I told you, yajayo yanafurahisha!
 
Gari sita chini: 4 na 2 kulia, then gari tatu juu. Nyie ni Taifa la watu wapumbavu sana 🚮 🚮
Sasa interchange ya nini hapo na hakuna hata gari, no wonder the country is flat-broke🚮🚮
Sema tu unaumia bongolala 🤣🤣🤣. Si Kila siku mnasema hapa eti Kenya Kila kitu ni Nairobi!? Now the beats have changed. Mtaumia sana!
 
Ndio tunapokosea hapo tunafaa tujenge kulingana na uhitaji wa mbeleni sio sasa kama serikali inafahamu mji unapanuka kwa kasi kwanini wajenge lane 2 alafu badae baada ya miaka 5 waje wabomoe tena waongeze lane moja kila upande
Ila sisi tukijenga vitu kama hizi kulingana na uhitaji wa mbeleni tunaitwa wapumbavu! 👇
Gari sita chini: 4 na 2 kulia, then gari tatu juu. Nyie ni Taifa la watu wapumbavu sana 🚮 🚮
Sasa interchange ya nini hapo na hakuna hata gari, no wonder the country is flat-broke🚮🚮

Mitanganyika jamani! Mtasumbuka hadi lini? 😂😂😂
 
Of course time will tell and I am going to quote you a few days from now when teams will be jetting in Nairobi from across Africa. The funny thing is, some of the teams that are going to play their matches in that glorified fishing village will first land in Nairobi before making the journey south. As I told you, yajayo yanafurahisha!
Fishing village hii ndio itayotamatisha mashindano.
 
Ndio tunapokosea hapo tunafaa tujenge kulingana na uhitaji wa mbeleni sio sasa kama serikali inafahamu mji unapanuka kwa kasi kwanini wajenge lane 2 alafu badae baada ya miaka 5 waje wabomoe tena waongeze lane moja kila upande
Tunafanya prioritization ya resources mkuu jenga when you have a need maana resources are meagre.
 
Of course time will tell and I am going to quote you a few days from now when teams will be jetting in Nairobi from across Africa. The funny thing is, some of the teams that are going to play their matches in that glorified fishing village will first land in Nairobi before making the journey south. As I told you, yajayo yanafurahisha!
Wewe ni kichaa? Sasa kama team itatumia Ethiopian airlines (ET) unataka ianze kuja Nairobi? Kama team itatumia Uganda airlines (UR) unataka ianze kuja Dar es salaam? Mwehu wewe Watchman.
 
The finals will be held in Nairobi. Toka nje ya Tandale, the world doesn't start and end there
So, CAF wajinga walete teams Kenya?
downloadfile-106.jpg
 
Wewe ni kichaa? Sasa kama team itatumia Ethiopian airlines (ET) unataka ianze kuja Nairobi? Kama team itatumia Uganda airlines (UR) unataka ianze kuja Dar es salaam? Mwehu wewe Watchman.
You mean Ethiopian Airlines doesn't fly to JKIA or what's exactly your point?
 
Kenya uongozi wenu haunaga akili.
Wacha kukaza fuvu,unajengaje interchange sehemu ambayo hakuna ubize we magari!?
Why does it pain you? Is it your money in use? The interchange is in Eldoret, one of the fastest growing towns in Kenya and which was recently declared a city. Wewe kwa akili yako finyu you don't see the need of an interchange in such a place, just because Arusha yenu ama Mwanza yenu hazina? Mbona mnalazimisha tufanane? Si Kila siku mnatuambia hapa maendeleo ni Nairobi pekee yake? When did the beats change? Kumbaff
 
Back
Top Bottom