Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kazi ya kuokota takataka kweli kwa ukoo wetu mzima hatuna waokota takataka🤣🤣🤣🤣🤣
Njoo tukufundishe kuwekeza nyokooo
Naona unajiongelea, sio wewe mwenye aliomba picha akaweka hapa. Yani 99% of Tanzanians here lives a lie just to compete with Kenyans. Bure kabisa.

Juzi Yule scammer Maasai got embarrassed after I exposed, wewe pia nilishakuexpose ukituringia picha za kuomba😂😂😂
 
Naona unajiongelea, sio wewe mwenye aliomba picha akaweka hapa. Yani 99% of Tanzanians here lives a lie just to compete with Kenyans. Bure kabisa.

Juzi Yule scammer Maasai got embarrassed after I exposed, wewe pia nilishakuexpose ukituringia picha za kuomba😂😂😂
Hahaha nimeshakuambia mara kibao njooo ufundishwe uwekezaji, ulishindwa kutoa hata sample ya business licence yako moja unataka kushindana na watu hapa. Maisha yako yamebaki ni kuunga UNGA .ulishindwa hata kuprove kama picha ni downloaded .
Njaaa kali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Kwanza kukujibu ni kupoteza muda hasa kwa mtu ambaye unategemea kuokota takataka ndo uishi.
 
Naona unajiongelea, sio wewe mwenye aliomba picha akaweka hapa. Yani 99% of Tanzanians here lives a lie just to compete with Kenyans. Bure kabisa.

Juzi Yule scammer Maasai got embarrassed after I exposed, wewe pia nilishakuexpose ukituringia picha za kuomba😂😂😂
Huna hoja kaaa kimyaaaa
 
Hahaha nimeshakuambia mara kibao njooo ufundishwe uwekezaji, ulishindwa kutoa hata sample ya business licence yako moja unataka kushindana na watu hapa. Maisha yako yamebaki ni kuunga UNGA .ulishindwa kuleta hata kuprove kama picha ni downloaded .
Njaaa kali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Kwanza kukujibu ni kupoteza muda hasa kwa mtu ambaye unategemea kuokota takataka ndo uishi.
Mambo ya business license and permit umejulia kwangu. Hukuwa unajua wewe Primitive nguruwe.

Picha ulidownload and I provided evidence hapa ukapotea mwezi mzima. Ama unadhani tumesahau.

Wewe investment unaezakuwa nayo ni ya omba omba.
 
Hawa jamaa wamekomaa na capert la bandia kuzunguka uwanja halafu picha hakuna.Kwanza sijawahi ona kitu kama hiki popote
Unaumia ukiwa wapi?

1000016662.jpg
 
One carries 4,000 tones another one only does 700 tonnes.

By the way what's your level of education? I might be wasting my time with a Primitive primate na sijui.
Kama imeweza kubeba 700 tonnes haijaingia bandarin na ni mzigo wa mtu mmoja itakuwaje ikiingia Port?

Ila kabla hatujafika huko tuanzie hapa kwenye passengers , yaan weekend kama hii pamoja na kuwa summertides festival Mombasa mmeshindwa kujaza treni hata moja
chrome_screenshot_Jul 5, 2025 12_30_58 PM GMT+03_00.png
chrome_screenshot_Jul 5, 2025 12_30_22 PM GMT+03_00.png


Hata matajiri Wana njaa tupu yaan siti 10 tu ndo wameweza kununua🤣🤣🤣
chrome_screenshot_Jul 5, 2025 12_36_52 PM GMT+03_00.png


Versus tanzania
Tena hii ni kesho maana Leo hakuna hata nafasi ya kupita , imagine hizo ni safari nne kwa siku nyinyi tatu zinawatoa jasho
chrome_screenshot_Jul 5, 2025 12_29_21 PM GMT+03_00.png
 
Kama imeweza kubeba 700 tonnes haijaingia bandarin na ni mzigo wa mtu mmoja itakuwaje ikiingia Port?

Ila kabla hatujafika huko tuanzie hapa kwenye passengers , yaan weekend kama hii pamoja na kuwa summertides festival Mombasa mmeshindwa kujaza treni hata mojaView attachment 3394774View attachment 3394775

Hata matajiri Wana njaa tupu yaan siti 10 tu ndo wameweza kununua🤣🤣🤣
View attachment 3394781

Versus tanzania
Tena hii ni kesho maana Leo hakuna hata nafasi ya kupita , imagine hizo ni safari nne kwa siku nyinyi tatu zinawatoa jashoView attachment 3394777
What about revenue?
Plus cargo?
Air traffic the same route?
Number of personal cars too?
Ndio ujue nani mbabe!
Ata mubebe 1m passengers kila siku still hakuna faida hapo

That's why Kenya waliongeza Bei kupunguza watu but revenue ikaongezeka by 37% though still not enough.
 
We ni fala county governments zinapata a certain percentage ya national revenues nazo zinajipangia matumizi
Kumbe hata huelewi , hizo ni allocation kutoka serikali kuu , kile kinachosomwa pale bungeni inakuwa ni master budget ambayo inakuwa imebeba bajeti ndogondo nyingi, mfano Huwa kunakuwa na bajeti letsay ministry of finance,agriculture and the like , hata ukija kwa county level bajet zote lazima zitaandaliwa chini huku na kupitishwa na maseneta kuwa wanakubaliana na hicho kitu then hiyo huwa inaenda kuambatabishwa na bajeti kuu ilI kupata bajeti ya taifa Zima la Kenya.

Na kwenye hiyo county bajeti lazima itaelekeza source of income ambayk lazima itaendana na master bajeti .
Mfumo wa kuripoti taarifa za kihasibu na kibajeti huwa Zinakuwa na guidelines na kwa public institutions zote na hata Kenya taarifa huchakatwa kwa mfumo wa ipsas

IPSAS stands for International Public Sector Accounting Standards. These standards are a set of accounting rules and guidelines developed by the IPSASB for use by public sector entities around the world. They aim to improve the quality and consistency of financial reporting in the public sector.
 
Yet nchi yao Iko kwa mifumo za districts na mayor's bado!!! 😂
Kenya ya zama za kale iiiiiii
Structure yenu inatajirisha Wanasiasa tu, haina mantiki yoyote.

Sasa County assembly ina tofautingani na Council, chini ya Mayor?

Counties zina tofauti gani na Districts na Regions??
 
Kama imeweza kubeba 700 tonnes haijaingia bandarin na ni mzigo wa mtu mmoja itakuwaje ikiingia Port?

Ila kabla hatujafika huko tuanzie hapa kwenye passengers , yaan weekend kama hii pamoja na kuwa summertides festival Mombasa mmeshindwa kujaza treni hata mojaView attachment 3394774View attachment 3394775

Hata matajiri Wana njaa tupu yaan siti 10 tu ndo wameweza kununua🤣🤣🤣
View attachment 3394781

Versus tanzania
Tena hii ni kesho maana Leo hakuna hata nafasi ya kupita , imagine hizo ni safari nne kwa siku nyinyi tatu zinawatoa jashoView attachment 3394777
Our Passenger SGR does 2.5M passengers yearly, yours did 1.4M between June last year to June this year.
 
Back
Top Bottom