Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata kama tunachelewa ila tunajenga kulingana na uhitaji.
Sasa kaka mfano Morogoro ukajenge flyover ya nini?
leo dar ina watu over 7m tunatakiwa kufulikiria miradi ya 20yrs to come ambayo dar huenda ikawa na 10m people

tusisubiri mpaka maji yatufike shingoni ndio tutapetape kama sasa hvi dar kila kona foleni njia zote zimebomolewa
 
leo dar ina watu over 7m tunatakiwa kufulikiria miradi ya 20yrs to come ambayo dar huenda ikawa na 10m people

tusisubiri mpaka maji yatufike shingoni ndio tutapetape kama sasa hvi dar kila kona foleni njia zote zimebomolewa
Screenshot_20250710-091715.png

Hizi barabara zikiisha itakua kuchele mno
 
View attachment 3401887
Hizi barabara zikiisha itakua kuchele mno
Waongeze Mabasi ya Mwendokasi sasa, Kila baada ya dk tano bus linapita. Mimi naamini litamaliza foleni Dar Barabara ya Morogoro.
Foleni za Morogoro road ni kwa sababu ya changamoto za Mwendokasi.
Zamani mie ningetoka kibaha na mwendokasi moja hadi posta. Dk 30 hadi 40 ushafika.
Wakileta Mabasi bajaji, na magari binafsi yatapungua tu
 
Waongeze Mabasi ya Mwendokasi sasa, Kila baada ya dk tano bus linapita. Mimi naamini litamaliza foleni Dar Barabara ya Morogoro.
Foleni za Morogoro road ni kwa sababu ya changamoto za Mwendokasi.
Zamani mie ningetoka kibaha na mwendokasi moja hadi posta. Dk 30 hadi 40 ushafika.
Wakileta Mabasi bajaji, na magari binafsi yatapungua tu
Dar foleni malori pia yamekua mengi mno,halafu hayana formula,yanapaki kokote na yanakua barabarani muda wowote na hayachukuliwi hatua zozote,wazo la kuanzisha dry port nje ya mji ni zuri mno sema wenye hizo roli watu wenye nguvu kuamua lolote kwa serikali dhaifu
 
Back
Top Bottom