Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tembea uone acha kuzunguka hapo kibera tuu. Hapa amemaanisha kuwa mtu akipanda Ethiopian airline from from whatever country lazima atabadilisha ndege Ethiopia na kuja DSM straight from Addis bila kupitia Nairobi the same applies kwa Ugandan or Rwandese airlines. Sio lazima mtu apite nairobi.
Mpumbavu huyo kichaa,hajui kitu inaitwa transit,kibera chang'aa haijawahi kumuacha salama
 
Tembea uone acha kuzunguka hapo kibera tuu. Hapa amemaanisha kuwa mtu akipanda Ethiopian airline from from whatever country lazima atabadilisha ndege Ethiopia na kuja DSM straight from Addis bila kupitia Nairobi the same applies kwa Ugandan or Rwandese airlines. Sio lazima mtu apite nairobi.
Huyo nyang'au bado ana mawazo ya kizamani😂
 
Hata kama tunachelewa ila tunajenga kulingana na uhitaji.
Sasa kaka mfano Morogoro ukajenge flyover ya nini?
leo dar ina watu over 7m tunatakiwa kufulikiria miradi ya 20yrs to come ambayo dar huenda ikawa na 10m people

tusisubiri mpaka maji yatufike shingoni ndio tutapetape kama sasa hvi dar kila kona foleni njia zote zimebomolewa
 
leo dar ina watu over 7m tunatakiwa kufulikiria miradi ya 20yrs to come ambayo dar huenda ikawa na 10m people

tusisubiri mpaka maji yatufike shingoni ndio tutapetape kama sasa hvi dar kila kona foleni njia zote zimebomolewa
Screenshot_20250710-091715.png

Hizi barabara zikiisha itakua kuchele mno
 
View attachment 3401887
Hizi barabara zikiisha itakua kuchele mno
Waongeze Mabasi ya Mwendokasi sasa, Kila baada ya dk tano bus linapita. Mimi naamini litamaliza foleni Dar Barabara ya Morogoro.
Foleni za Morogoro road ni kwa sababu ya changamoto za Mwendokasi.
Zamani mie ningetoka kibaha na mwendokasi moja hadi posta. Dk 30 hadi 40 ushafika.
Wakileta Mabasi bajaji, na magari binafsi yatapungua tu
 
Back
Top Bottom