AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 1,113
- 2,965
Pole kwa maumivu. JNIA will play catch-up hadi kiama
Mtu wa embakasi hawezi kunipa maumivu.... Nasikitika tu ubongo wa vijana wa Tassia umegota kufikiri baada ya kukosa oksijeni safi.
Pole kwa maumivu. JNIA will play catch-up hadi kiama
Hii ni symptom ya hewa chafu ya Pipeline kuathiri ubongo!
Mpumbavu huyo kichaa,hajui kitu inaitwa transit,kibera chang'aa haijawahi kumuacha salamaTembea uone acha kuzunguka hapo kibera tuu. Hapa amemaanisha kuwa mtu akipanda Ethiopian airline from from whatever country lazima atabadilisha ndege Ethiopia na kuja DSM straight from Addis bila kupitia Nairobi the same applies kwa Ugandan or Rwandese airlines. Sio lazima mtu apite nairobi.
Comments za wivu kwenye hii post, kapost raia wa Uganda ila cha ajabu wanaoteseka ni wakunya. 😂😂😂
View: https://x.com/wekesa_amos/status/1943256890571464735?s=46
Vichaa hao 😃Wengine wamefikia hatua ya kusema Wildbeast Migration u happen Kenya pekee😂😂 wengine ati Tz ilitengeneza USD 90million pekee.
Sijui unyangau wataachaga lini wakenya.
Huyo nyang'au bado ana mawazo ya kizamani😂Tembea uone acha kuzunguka hapo kibera tuu. Hapa amemaanisha kuwa mtu akipanda Ethiopian airline from from whatever country lazima atabadilisha ndege Ethiopia na kuja DSM straight from Addis bila kupitia Nairobi the same applies kwa Ugandan or Rwandese airlines. Sio lazima mtu apite nairobi.
leo dar ina watu over 7m tunatakiwa kufulikiria miradi ya 20yrs to come ambayo dar huenda ikawa na 10m peopleHata kama tunachelewa ila tunajenga kulingana na uhitaji.
Sasa kaka mfano Morogoro ukajenge flyover ya nini?
leo dar ina watu over 7m tunatakiwa kufulikiria miradi ya 20yrs to come ambayo dar huenda ikawa na 10m people
tusisubiri mpaka maji yatufike shingoni ndio tutapetape kama sasa hvi dar kila kona foleni njia zote zimebomolewa
Waongeze Mabasi ya Mwendokasi sasa, Kila baada ya dk tano bus linapita. Mimi naamini litamaliza foleni Dar Barabara ya Morogoro.View attachment 3401887
Hizi barabara zikiisha itakua kuchele mno