Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo watanzania hatujui kutumia fulsa, na hiyo ni weakness yetu kubwa. Let us learn to think like Kenyans, that there is an opportunity in every situation. Kama tunajua wao wanatuhitaji zaidi kuliko tunavyowahitaji, kwa nini tusitumie hiyo advantage ku-demand maslahi zaidi kwenye EAC? /QUOTE]
 
tanazania
SGR phase one and two 3.16 billion usd
bagamoyo port 11billion usd
expansion dar port 400milliom usd
expansion mtwara port
cruder oil pipeline from hoima to tanga 4 billion usd
BRT second phase over 350million usd
LPG plant in mtwara 30billion usd
mzizima towers soon to be completed
PPF HQ soon to be completed
MNF towers soon to be completed
120km high way from dar to chalinze construction phase one umeanza from ubungo
ubungo interchange over 350m usd
JNIA terminal 3 phase one and two 560m usd
new surrender bridge 7.1 km inapita juu ya bahari

niendelee au??????
ubaya zenu nyingi ni white elephant projects. yani mwafanya kwa kuwa mumesikia Kenya wanafanya.
 
ubaya zenu nyingi ni white elephant projects. yani mwafanya kwa kuwa mumesikia Kenya wanafanya.
hahahha kojoa ulale bro, nyie hamuna ubaya na white elephant hapo project kibao umezitaja ni white elephant ya kwanza pinnacle, montave, konza, tatu city etc
 
Pindi Watanzania watakapoingiliana na kuwajua kikweli Wakenya, au Banyarwanda au hata Waganda wataona dhahiri kuwa wenzetu hawa wameendelea mno kifikra na kisiasa kuliko sisi.
Kutokana na elimu yao kubwa, hawatishwitishwi kama Watanzania. Hilo huenda likawageuza Watanzania na kuona wazi ukiukaji mkubwa wa haki zao za kibinadamu unaofanywa na Watawala na vyombo vyao...polisi na wakuu wa kisiasa, na huenda wakataka uhuru kama walionao wenzao.
Kwa mfano, wakati Tanzania mtu mmoja tu (rais) anaweza kuzuia matangazo mubashara ya Bunge, jambo kama hilo haliwezekani Kenya au Uganda. Kwa maana nyingine, taasisi (institutions) za Kenya, Uganda na hata Rwanda zimeendelea zaidi kuliko za Tanzania.
HII HASA NDIYO SABABU WAJANJA HAWA WANAKWAMISHA MUUNGANO KAMILI WA EAC.
Na ndiyo maana watawala hawa hupendelea zaidi SADCC, kwa vile shirikisho hili ni butu, halina ndani yake mechanism ya kuweza kuwabadilisha Watanzania kifikra.
Ninyi hamtishiwi ila mnauliwa kama kuku
Kenya's police forces are extrajudicially killing young men with impunity
 
Pindi Watanzania watakapoingiliana na kuwajua kikweli Wakenya, au Banyarwanda au hata Waganda wataona dhahiri kuwa wenzetu hawa wameendelea mno kifikra na kisiasa kuliko sisi.
Kutokana na elimu yao kubwa, hawatishwitishwi kama Watanzania. Hilo huenda likawageuza Watanzania na kuona wazi ukiukaji mkubwa wa haki zao za kibinadamu unaofanywa na Watawala na vyombo vyao...polisi na wakuu wa kisiasa, na huenda wakataka uhuru kama walionao wenzao.
Kwa mfano, wakati Tanzania mtu mmoja tu (rais) anaweza kuzuia matangazo mubashara ya Bunge, jambo kama hilo haliwezekani Kenya au Uganda. Kwa maana nyingine, taasisi (institutions) za Kenya, Uganda na hata Rwanda zimeendelea zaidi kuliko za Tanzania.
HII HASA NDIYO SABABU WAJANJA HAWA WANAKWAMISHA MUUNGANO KAMILI WA EAC.
Na ndiyo maana watawala hawa hupendelea zaidi SADCC, kwa vile shirikisho hili ni butu, halina ndani yake mechanism ya kuweza kuwabadilisha Watanzania kifikra.
Bangi si salama kwako.
Au ndio namna mpya ya kuhepa??
 
Wakati ni wa kuchafuana mwaga ugali nimwage mboga...Hakuna cha hoja sasa tuchafuane kabisa.
Wewe lete facts, usilete udaku, mnademokrasia gani ninyi polisi wanawapiga risasi kama wanawinda wanyama kule Tsavo, report ya human right watch hiyo hapo, polisi wana rape wakenya wenzao, ninyi ni zaidi ya wanyama wa porini, uamna ubinadamu kabisaaa
 
. Kenya pengine inafanya business kubwa zaidi na South Sudan na Ethiopia kuliko Tanzania. Hivyo usidanganywe kuwa Tanzania ni muhimu mno kwa Kenya kiasi isipokuwepo Kenya itakufa. Haya ni mawazo ya watu wasio safiri na wanaolishwa daily dish of propaganda.
Pili, wasema hakuna faida kwa nchi ambazo hazikuweka vikwazo? Nenda Rwanda leo. Kitu cha kwanza utakachokishuhudia ni maendeleo makubwa ya kupatikana kwa bidhaa. Hilo limefanya bei zake zishuke. Ukiwa Rwada unaweza kupiga simu Kenya, Uganda kwa tarrif ile ile kama ambavyo ungekuwa Kenya. Hebu jaribu kupiga simu Tanzania kwenda Kenya uone gharama zake. Lakini faida kubwa ni ugurishaji wa ujuzi unakuja kwa kuingiliana na watu wenye experience mbali mbali.
Kwa vile Rwada imekubali "movement of people" watu wengi "wenye akili" kutoka Kenya, Uganda etc wanafanya kazi Rwanda, na hivyo kuongeza ufanisi wa nchi hiyo. Leo hii Wanyarwanda wanazungumza Kiingereza, Kiswahili na Kinyarwanda pengine more proficient kuliko sisi. Jambo hili si suala la lugha pekee. Hii inamaanisha mwekezaji atachagua Rwanda kuliko Tanzania kutokana na "human development" iliyoko Rwanda.
Umezungumzia rasilmali. Kuna "kutoelewa" kwa watu katika suala hili la rasilimali. Kuwa na "rasilimali" hakumaanishi nchi kuwa tajiri. Rasilimali yabakia kuwa rasilimali tu hadi utakapoweza kuigeuza kuwa 'mali". Ndiyo maana DRC ina rasilimali kuliko Tanzania au nchi yeyote Afrika. Jee, DRC ni tajiri kuliko Egypt ambayo ni jangwa tu? Ili kuifanya rasilimali kuwa "mali" unahitajia "critical mass" ya watu wenye "practical knowledge". Ili kupata idadi hiyo kubwa ya watu wa "caliber" hiyo, Tanzania itahitajia miaka 100-200 ijayo (tena pamoja na juhudi kubwa za kusudi). Njia fupi ni kuwaruhusu watu kama hawa waliofundishwa kwingine kuja na kuchangia maendeleo ya nchi. Hii ndiyo faida kuu kwa kweli itakayopatikana kutokana na muungano wa EAC. Nchi zote kuu duniani zilizoendelea, labda ukitoa China (na hii ni stori nyingine na ndefu), zimefanya hivi. Soma asili ya maendeleo ya Marekani na nchi za Magharibi, nani walichangia....utaona kulikuwa na "infusion" kubwa wakati fulani ya watu waliotoka kwingine.
Mi nadhani watu wengi humu wanaojadili masuala haya, hawajadili kwa "usomi" bali kwa hisia, jazba na matamshi ya viongozi! Changanya na akili zako. Na zaidi, fanya utafiti. Siku hizi kuna kitu kinaitwa Google!
 
Pindi Watanzania watakapoingiliana na kuwajua kikweli Wakenya, au Banyarwanda au hata Waganda wataona dhahiri kuwa wenzetu hawa wameendelea mno kifikra na kisiasa kuliko sisi.
Kutokana na elimu yao kubwa, hawatishwitishwi kama Watanzania. Hilo huenda likawageuza Watanzania na kuona wazi ukiukaji mkubwa wa haki zao za kibinadamu unaofanywa na Watawala na vyombo vyao...polisi na wakuu wa kisiasa, na huenda wakataka uhuru kama walionao wenzao.
Kwa mfano, wakati Tanzania mtu mmoja tu (rais) anaweza kuzuia matangazo mubashara ya Bunge, jambo kama hilo haliwezekani Kenya au Uganda. Kwa maana nyingine, taasisi (institutions) za Kenya, Uganda na hata Rwanda zimeendelea zaidi kuliko za Tanzania.
HII HASA NDIYO SABABU WAJANJA HAWA WANAKWAMISHA MUUNGANO KAMILI WA EAC.
Na ndiyo maana watawala hawa hupendelea zaidi SADCC, kwa vile shirikisho hili ni butu, halina ndani yake mechanism ya kuweza kuwabadilisha Watanzania kifikra.
Hizo nchi zote ulizozitaja hapo juu bado wananchi wao are still primitive, bado wanabaguana na kuuana kwa misingi ya ukabila, unataka tuungane nao ili watuambukize ukabila?, ndiyo sababu tunapendelea SADC block ambako nchi nyingi ziko civilized sio kama EAC.
 
Nachukia watu wanaolalamika juu ya Kenya kutufanya punda wa kupanda. Kwa nini nasi hatutumii mbinu za kuwafanya wao pia? Au hatuna akili?
Kenya ni taifa na kama mataifa yote duniani yanajali maslahi yao. Ujinga ni wetu tusiojua namna ya kupata maslahi yenu katika misingi ya mashindano. Tusiwaze hata siku moja kama Kenya itakua vinginevyo. /QUOTE]
 
Wewe lete facts, usilete udaku, mnademokrasia gani ninyi polisi wanawapiga risasi kama wanawinda wanyama kule Tsavo, report ya human right watch hiyo hapo, polisi wana rape wakenya wenzao, ninyi ni zaidi ya wanyama wa porini, uamna ubinadamu kabisaaa
Wataingia kundi la binadamu wakistarabika bt for now sio mbaya ukiwaweka kundi moja na nguruwe
 
Hawajibu sijui tatizo nini bt naona kutakua hamna chanzo sema roho mbaya baina yao itakua chanzoo hahahahahaj
Hao sio binadamu wa kawaida hao, eti wanalazimisha tuungane ili watuambukize ukabila na roho mbaya yao, tumewastukia hatukubali
 
Wataingia kundi la binadamu wakistarabika bt for now sio mbaya ukiwaweka kundi moja na nguruwe
Katika nchi yetu kumejawa na ufisadi, kila kukicha tunaibiwa. Na kila siku tunagundua tumeibiwa na tunawasema waliotuibia muda huo huo bila kujali nyazifa zao. Wapingazi wa ufisadi wako sehemu zote kuanzia ccm mpaka upinzani. Ccm wako wachache sana ni wa kuwahesabu! Kwamba huyu akisimama kukemea ufisadi ni ajenda yake ya siku nyingi na ni kweli anapokemea anamaanisha kile anacho kiongea.
Sehem muhimu ya kukemea ufisadi ni bungeni.
Nataka kukumbushwa kidogo kuhusu raisi wangu Mheshimiwa JPM. Kwa mtu yeyote mwenye kumbukumbu clip yeyote au maandishi yeyote aliyowahi kuyatoa bungeni kuonyesha kukelwa na ufisadi. Lini aliwahi kupinga ufisadi waziwazi .
Nani aliwahi kumsema kwa ufisadi wake iwe ndani ya serikali au nje ya serikali. Binafsi Rais Wangu simwoni kama zao la wapingaji wa ufisadi. Tukumbuke tabia ya mtu haitokei ghafra ni hulka yake ya siku nyingi.
Binafsi sina kumbukumbu ya siku yeyote akikemea ufisadi kabla ya kuwa rais. Zaid zaid naona ufisadi uliofanyika chini ya wizara yake na hajawahi kuzitolea ufafanuzi. Najiuliza lini alibatizwa na kuwa muumini wa kupinga ufisadi?? Bungeni kuna wabunge wa ccm waliwahi kuukemea ufisadi mfano marehemu Filikunjombe. Hata olesendeka kabla hajapewa hiyo mic. Lini rais aliwahi kuukemea ufisad? Waumin wake hebu nileteen data kidogo nijiridhishe. Ila mimi nawaletea ufisad uliofanyika chini yake.
Meli ya mv bagamoyo. Hela zetu zimeenda bure..
Kuna billion 200. mkaguzi mkuu aliwahi kuzisemea hazieleweki zimetumika wapi na hajawahi kuzitolea ufafanuzi. Pia mimi ni mdau wa ujenzi katika secta ya ujenzi kumejawa na rushwa ile mbaya na hilo eneo amelisimamia kwa kipindi kirefu. Angekua muumini wa kuupinga rushwa angeinyoosha wizara ya ujenzi tenda zipatikane bila ten % . Lakn nawahakikishia na kwa wale wanaojishughulisha na shughuri za ujenzi wataniunga mkono.huwez pata tenda ya serikali bila kutoa rushwa kwa kamati zinazopitisha miradi ya ujenzi. Hiyo imepelekea barabara zetu kuwa mbovu. Kabla barabara haijaisha unakuta nyuma imefumuka.
Majengo yenye gharama ndogo kujengwa kwa gharama kubwa. Na tena yakiwa chini ya kiwango. Usije shangaa darasa la shule kujengwa kwa milion 60 wakati ungepewa wewe hiyo hela ungejenga kwa milion 10. Yeye ndio alikua msimamizi. Hivyo binafsi namwona yeye ni chanzo cha ufisadi katika wizara ya ujenzi.
Kutokana na hayo hapo juu sioni sura na tabia ya rais wetu kuwa mpingaji wa ufisadi. Ndio kwanza kakutana na Lugumi kakaa kimyaaaa. Escrow imerudi tena tuwalipe hela zingine staili nyingine, yuko kimyaaaaaa. Amebaki kukimbizana na wafanyakazi yaan watumishi hewa kana kwamba hilo ndio tatizo kuu la hii nchi. Zaid naona maneno yenye kuonyesha kuuchukia ufisadi ila sion matendo kutoka kwake. Jambo ambalo anaonekana amechukua kauli mbiu ya wapinzani ili naye aonekane ni muumini wa upingaji wa ufisadi wakati yeye si muumini.
Nawakumbusha tena waumini wa Magufuli kaanza lini kuuchukia ufisad?? Alikua anasubili awe rais??
Huko nyuma amelisaidiaje taifa katika kukemea ufisadi???
Naomba clip za Rais magufuli akiwa mbunge akikemea ufisadi bungeni.
 
Back
Top Bottom