Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

SGR TZ ujenzi
DPzUQnGX0AEUCOr.jpg


DPzUQm0W4AAf0Iz.jpg


DPzUQmnXkAE2XfB.jpg


DPzUQmoX0AAMWdN.jpg
Hapa kazi tu...
 
Achana nae mjinga huyo, huu ni uwanja wa facts, sio kuforwards posts za watu wengine, usijisumbue kumjibu, ameishiwa na facts ya kutete nchi inayosambaratika badala yake anaforwards za watu waliotoa maoni yao, usijisumbue kumjibu chizi huyo
Facts kumbe unazijua? hahaha sasa toka Leo tutaonana hadi upoteze kazi hapa JF.
 
Facts kumbe unazijua? hahaha sasa toka Leo tutaonana hadi upoteze kazi hapa JF.
Huna lolote, umeshindwa kuendeleza discussion, ulipoona mashambulizi unapokea kila pembe ukaamua kutumia mbinu ya kujifanya umechanganyikiwa, peleka ujumbe kwa wakenya wenzako kwamba Tanzania sio size yenu, ndiyo sababu mnabembeleza kuungana lakini hatutaki
 
Jiwe hilo linawaumiza sana wakenya. Subiri muda utaongea.
Kwani hayo matingatinga na trucks zimefungiliwa hapo juu hakuna siku zinatoka hapo ama kamera iliisha moto? Jinga kabisa leta picha halisi.
 
jamanii enhh mumemuoa mwaswast ame hack account yangu na kupost upuuzi hahah😀😀😀😀😀
 
Huna lolote, umeshindwa kuendeleza discussion, ulipoona mashambulizi unapokea kila pembe ukaamua kutumia mbinu ya kujifanya umechanganyikiwa, peleka ujumbe kwa wakenya wenzako kwamba Tanzania sio size yenu, ndiyo sababu mnabembeleza kuungana lakini hatutaki
Lazima tukubali kuwa Wakenya wako smart kuliko ntie wapiga domo tu.... Unahangaikia wafilisti ili wakusaidie nini? Ni biashara gani unaifanya na mfikist ambayo inazidi faida inayoipata toka US?
Tatizo letu ni kiburi cha kimasikini ndo kinatusumbua... Ni bora hata haya maazimio raia tupewe nafasi ya kupiga kura za maoni siyo kutegemea mtu mmoja mwenye vionjo vya kipuuzi na mwarabu eti anawapigania waarabu. Kwa hali hii, sahau ubarozi wa Isr kufunguliwa nchini kwenu.
"Tanzanians are very weak when it comes to economic diplomacy!!!!"
 
amehack account yangu na kuitumia kuandika ujinga wake mwaswast hahaha😀😀😀😀😀😀😀😀
ukimuona mtu anatpatapa ujue ameshindwa ligi😛😛😛😛😛😛😛
 
Lazima tukubali kuwa Wakenya wako smart kuliko ntie wapiga domo tu.... Unahangaikia wafilisti ili wakusaidie nini? Ni biashara gani unaifanya na mfikist ambayo inazidi faida inayoipata toka US?
Tatizo letu ni kiburi cha kimasikini ndo kinatusumbua... Ni bora hata haya maazimio raia tupewe nafasi ya kupiga kura za maoni siyo kutegemea mtu mmoja mwenye vionjo vya kipuuzi na mwarabu eti anawapigania waarabu. Kwa hali hii, sahau ubarozi wa Isr kufunguliwa nchini kwenu.
"Tanzanians are very weak when it comes to economic diplomacy!!!!"
wewe mpuuzi tu una hack account yangu na kuandika ujinga hahahah dalili ya kushindwa hio fala wewe😛😛😛😛😛
kifo cha mende hicho🙄🙄🙄🙄🙄
 
ndio kusema sura mbaya ni sifa nzuri kwa wakenya?.

basi hongereni kwa kuwa taifa la watu wenye sura mbaya EA.
oya mshuulikieni huyo mwaswast ame hack account yangu na kupost upuuzi naona leo kapatiwa kibano kitakatifu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Nairobi hakuna jengo lenye floors 35 rafiki. Usituchoshe bana.
oya mshuulikieni huyo mwaswast ame hack account yangu na kupost upuuzi naona leo kapatiwa kibano kitakatifu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Kwani hayo matingatinga na trucks zimefungiliwa hapo juu hakuna siku zinatoka hapo ama kamera iliisha moto? Jinga kabisa leta picha halisi.
Punguza uvivu na wivu wa kike

 
Unaskia mnakunya hata ndani ya BRT na pia kwenye stendi. Na kuwadunga kina dada sehemu zao za nyuma kwa vidude vyenu yani BRT ni porn bus.
Ndugu hebu Tazama jinsi huo usafiri ulivyo wa kisasa, Tazama nyuso za watumiaji pia zilivuojaa matumaini , hebu fikiria ni wapi hapo utakunya au ni yupi kati ya nawa watz anaendana na hayo ulihoyaandika?
IMG_20170111_110403.jpg
IMG_20170111_110053.jpg
IMG_20170111_105954.jpg
 
Lazima tukubali kuwa Wakenya wako smart kuliko ntie wapiga domo tu.... Unahangaikia wafilisti ili wakusaidie nini? Ni biashara gani unaifanya na mfikist ambayo inazidi faida inayoipata toka US?
Tatizo letu ni kiburi cha kimasikini ndo kinatusumbua... Ni bora hata haya maazimio raia tupewe nafasi ya kupiga kura za maoni siyo kutegemea mtu mmoja mwenye vionjo vya kipuuzi na mwarabu eti anawapigania waarabu. Kwa hali hii, sahau ubarozi wa Isr kufunguliwa nchini kwenu.
"Tanzanians are very weak when it comes to economic diplomacy!!!!"
leo umepokea kipigo kitakatifu umeamua ku HACK ACCOUNT YANGU, HAHHAHAHHAHA
funny-cat-laughing-so-hard-6722.jpg
 
Huna lolote, umeshindwa kuendeleza discussion, ulipoona mashambulizi unapokea kila pembe ukaamua kutumia mbinu ya kujifanya umechanganyikiwa, peleka ujumbe kwa wakenya wenzako kwamba Tanzania sio size yenu, ndiyo sababu mnabembeleza kuungana lakini hatutaki
oya mshuulikieni huyo mwaswast ame hack account yangu na kupost upuuzi naona leo kapatiwa kibano kitakatifu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom