Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo lenu ninyi mnakuwa kama wafugaji mifugo ya asili, mnasifia idadi ya mifugo lakini mapato yake ni karibu na zero, sasa mnapata kiasi gani cha pesa kutokana na huko kutajwa, au kwenu muhimu ni sifa za kijinga?, mnajua kwamba tourism revenues zenu zote kwa mwaka ni less than yale ya Serengeti pekee?..meza hicho kidonge usitapike
Bitter truth!
 
Kwanza ninakushukuru kwa kukubali kwamba hamna na wala haitowezeka kupata BRT ndani ya miaka 50 ijayo, mtaendelea kupanda matatu zimejaa kunguni. Sasa high way bila vyombo vizuri vya public transport inasaidia nini?
Unaskia mnakunya hata ndani ya BRT na pia kwenye stendi. Na kuwadunga kina dada sehemu zao za nyuma kwa vidude vyenu yani BRT ni porn bus.
 
Britam Tower - Kenya
Number of floors 32
if mixed use each floor 3.5M
Total floors Height 3.5 x 32 = 112M
But Britam Tower has 200m
We take 200 - 112 = 88M
Assume 20M for roofing and other issues except Mnara.
88 - 20 = 68
So Mnara height = 68M
fanya ya UAP TENA
 
eiffel ni mnara tu ndugu😀😀😀😀😀😀 nioneshe floor hapo
GettyImages-93299393.jpg
EIFFEL HAS 3 FLOORS WHICH ARE RESTAURANTS
 
Motochini! vipi kaka kupotea hivi hata Ktalk ulipotea yani hawa waKenya walikufunza mpaka Kiswahili ikabidi upotee kiasi? Karibu JF Tena ila hapa pia tupo na kuwapiga Tz makonde left,right and center.
TRIBALISM IN THE KENYAN WORKPLACE
JamiiForums.com, 80% ya discussions is on this topic.
 
TRIBALISM IN THE KENYAN WORKPLACE
JamiiForums.com, 80% ya discussions is on this topic.
Samahani ndugu zangu wakenya this is serious qn.. Mi naomba kujua chanzo cha kihistoria y jaruos na kikuyus wanachukiana maana cjawai sikia ugomvi wao umesababishwa na nn??? Afu najua kenya kuna makabila mengine so y hayo mawili hawapatani????
 
Samahani ndugu zangu wakenya this is serious qn.. Mi naomba kujua chanzo cha kihistoria y jaruos na kikuyus wanachukiana maana cjawai sikia ugomvi wao umesababishwa na nn??? Afu najua kenya kuna makabila mengine so y hayo mawili hawapatani????
Wakikujibu please tag me
 
Back
Top Bottom