Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Slum ni worst dar???prove wapi wamesema dar kuna slum ka kibera hahahaha kwa slums labda mshindane nA india magabachori wenzenu
Magomeni, Tandale, Jangwani, Mkocheni, Kijikonyama,,,,, maeneo mengi, sema tu sijayashika maana ni magumu
 
Ubaya sasa Diamond spent his cash in South Africa akaukuza Uchumi wa nchi nyingine badala angefanyia Tz. I hope you get my point.
Mill 20 hela ndogo afu we dont mind coz ka kodi analipa vzur tuu so hiyo hela ya party si ya nn mpaka tutamani party ingefanyika bongo ...kuaga na akil bas
 
Proveeeee
Confirm your country
download-1.png
 
Sasa mbona kwenye mziki, you buy Nigeria, Tanzania and USA not Kenyans artists?
We buy all. Tz anayesikilizwa ni Ali K na Diamond pekeyake. Naijo kwa sasa wave yao imeingia Kenya jinsi kuna Lingala ilishika Kenya sana. Soon watu watachoka
 
Ndio maana twahitaji na ninaunga mkono mwelekeo wa kuweko kwa muungano ya jumuia ya afrika mashariki (East African Federation). Guys this will make us top out
Una maanisha nn????ka mnataka wakenya muingie tz kizembe hilo msahau c sio wajinga aseee poleni
 
Back
Top Bottom