mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
NAIROBI =1O - ZERO
DAR =0
NAIROBI =1O - ZERO
DAR =0
Utaongea yote mzee nyie jifanyen vichwa ngumu tuuu mtaelewa hata kwa lazmaungekua unajua travel advisor ungenyamaza na kuacha aibu ndogo
Mimi ninasubiri uniweke Nairobi public transportation system(BRT)Baba niwekee picha za Superhighway Tanzania na pia screenshots za JamiiForums.com.

Kavimbiwa githeri huyo anaanza kuandika makorokochoKimbisha ndio nini anko...

Nasikia huko Masai Mara kuna hoteli za dola 10ungekua unajua travel advisor ungenyamaza na kuacha aibu ndogo
Sisi Hauna BRT je nyinyi mna SUPERHIGHWAY yeyote hata kama ni ya kilometre mbili?Weka BRT na kama huna rudi Kibera
Tatizo lenu ninyi mnakuwa kama wafugaji mifugo ya asili, mnasifia idadi ya mifugo lakini mapato yake ni karibu na zero, sasa mnapata kiasi gani cha pesa kutokana na huko kutajwa, au kwenu muhimu ni sifa za kijinga?, mnajua kwamba tourism revenues zenu zote kwa mwaka ni less than yale ya Serengeti pekee?..meza hicho kidonge usitapikeungekua unajua travel advisor ungenyamaza na kuacha aibu ndogo

eiffel ni mnara tu ndugu😀😀😀😀😀😀 nioneshe floor hapohaha eiffel tower ina 2 floors lakini ni over 300m
1. Nyie mnadaraja kama letu la Kigamboni?Sisi Hauna BRT je nyinyi mna SUPERHIGHWAY yeyote hata kama ni ya kilometre mbili?
hatupangi matofali sisi😀😀😀😀😀ziko wapi za TZ??
Moto wako ulitulizwa chini hadi ukapoa.Hujitambui
Kwanza ninakushukuru kwa kukubali kwamba hamna na wala haitowezeka kupata BRT ndani ya miaka 50 ijayo, mtaendelea kupanda matatu zimejaa kunguni. Sasa high way bila vyombo vizuri vya public transport inasaidia nini?Sisi Hauna BRT je nyinyi mna SUPERHIGHWAY yeyote hata kama ni ya kilometre mbili?
Huu ni upuzi mtupu wa LDC nations. Njoo Kenya ujione mshamba.1. Nyie mnadaraja kama letu la Kigamboni?
2. Ninyi mna BRT safi kama yetu iliyopata ushindi no. Duniani?
3. Nyie mnausafiri mzuri wa kwenye maji kama boat zetu safi?
Kwikwikwikwi.
![]()
Sisi hauna?Sisi Hauna BRT je nyinyi mna SUPERHIGHWAY yeyote hata kama ni ya kilometre mbili?

NEVER standard at all...towers are determined by height
hatupangi matofali sisi😀😀😀😀😀
![]()
angalia yakwenu ilivo😀😀😀😀😀 yani munapanga matofali kwenda juu
![]()
