IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
Yea Kubwa sana 2.6km longKumbe zile affordable housing ni ghorofa 5 tu? Don't ever trust Kenyans.
Hio kibera ni kubwa sana aisee.
Yea Kubwa sana 2.6km longKumbe zile affordable housing ni ghorofa 5 tu? Don't ever trust Kenyans.
Hio kibera ni kubwa sana aisee.
CBD ya Dar ni Kama Eastleigh Iko na buildings mzee. Chini ni wauza Dera na kahawa, juu ni nyumba za kuishi, Barabara ni tuktuk na mikokoteni.Hii ni CBD ama residential area? Yani Tanzania hakuna mji huna perfect CBDs Kama za Kenya?😂😂
Ndio alivyokuhadithia aliekupa picha.? 🤣🤣CBD ya Dar ni Kama Eastleigh Iko na buildings mzee. Chini ni wauza Dera na kahawa, juu ni nyumba za kuishi, Barabara ni tuktuk na mikokoteni.
Ng’ombe ni ng’ombe tu. No wonder you are a primary school dropout.Huna ❌ una ✅ 🤣🤣🤣 enda ujifunze kuongea bhana. I can also see a perfect cbd 👇🏾View attachment 3350020
And it seems they are not impressed with their CBD. Vile wanaikana ungedhani hapo ni DRC ama South Sudan.CBD ya Dar ni Kama Eastleigh Iko na buildings mzee. Chini ni wauza Dera na kahawa, juu ni nyumba za kuishi, Barabara ni tuktuk na mikokoteni.
Inabidi nikupeleke darasa la kiswahili wewe mbuzi. 🤣🤣🤣🤣Ng’ombe ni ng’ombe tu. No wonder you are a primary school dropout.
Huna - negative
Una - Postive.
In my post I said “huna”, Yani negative.
For Kenyan CBDs I promise you that you will never find people living in CBD, maybe in Mombasa but I’m not sure. In Nairobi and Kisumu you will camp there all year but you will never those stupidity.
Hebu tueleze matumizi ya “huna”kuelezea negativity kwenye hiyo sentence uliyoandika . 🤣🤣🤣🤣Hii ni CBD ama residential area? Yani Tanzania hakuna mji huna perfect CBDs Kama za Kenya?😂😂
Niliwapa ramani nikiwaambia wanichoree CBD yao inafika wapi wakashindwa. Mbilikimo Mkora akawaambia wasiseme CBD, waseme wao Hawana CBD bali City Center ndio washinde mjadala. Yani jamaa heri wakatae mji wao hauna CBD kisa nimewaumbua.😂😂And it seems they are not impressed with their CBD. Vile wanaikana ungedhani hapo ni DRC ama South Sudan.
Umemuumbua Nani wewe kima kwa picha za kuomba.? 🤣🤣🤣Niliwapa ramani nikiwaambia wanichoree CBD yao inafika wapi wakashindwa. Mbilikimo Mkora akawaambia wasiseme CBD, waseme wao Hawana CBD bali City Center ndio washinde mjadala. Yani jamaa heri wakatae mji wao hauna CBD kisa nimewaumbua.😂😂
😂😂😂😂😂Na huyo ni Rais wao anasema hvyo na bado wanabisha, wanataka kuficha ukweli, waende wakawafiche nairaland sio jf.
Sijui kama wewe na wapumbavu wenzako mnazo akili Sawasawa kwasababu kijana wa kenya Ndio alifirwa Tz na wengine wakafurishwa. Nyie mnapiga kelele huko X tu .. eti mnasema mnatutesa. 🤣🤣🤣 kuwa zuzu bhana.Hawa nyumbu si tunawatesa jamani🤣🤣🤣
Tuliwafanya wakafunga X na sasa wanaficha taarifa za wabunge wao all because of Kenyans onslaught! Hawa imebakisha tu tuwatawale wawe county no. 48
Shida ya Wakenya mnafikiri CBD ya Nairobi ni sawa na Dar es Salaam.CBD ya Dar iko funny..uko CBD mara unakutana na manguo zimefuliwa na kuanikwa kwa balcon.. kwani Dar hakuna residential areas?
View attachment 3349996
Hata ujaribu vipi ukweli utabaki pale pale, pole😎Kibera unayojuliwaza nayo hapa ni 2.5 SQ km. Tell me, how small is Tandale?
Nyie ni taifa la watu wapumbavu sana. Nyie ni kelele tu online lakini haibadilishi chochote walakubadili uhalisia kuwa your people were physically abused by our security agencies and there is nothing your government can do about it.Tumewaeka penye walitaka kuwekwa.. 😁 😁 😁
Rudisheni basi taarifa za wabunge wenu kwenye tovuti ya bunge tuone 🤣 🤣 🤣Sijui kama wewe na wapumbavu wenzako mnazo akili Sawasawa kwasababu kijana wa kenya Ndio alifirwa Tz na wengine wakafurishwa. Nyie mnapiga kelele huko X tu .. eti mnasema mnatutesa. 🤣🤣🤣 kuwa zuzu bhana.
Shida ya Wakenya mnafikiri CBD ya Nairobi ni sawa na Dar es Salaam.
Hivi huwa hamjiulizi kwanini Dar ina watu wengi kuliko Nairobi, lakini ukifika Dar unahisi kama hakuna watu??
Licha Dar kuwa na watu wengi zaidi ya Nairobi, lakini huwezi kukuta watu wamerundikana hivi kama Omena, eti manita CBD.
View: https://youtu.be/CNSAQWN6Lyw?si=_2neYCKvG1EvCIsF