lakini nikuulize mbona mkubaliwe mtawaliwe na wabunge wenye ni primary and high school drop out?ushwai kaa chini na mtu mwenye elimu ya kiwango cha chini ukasikia venye hufikiria na mwenye elimu ya juu ukaona tofauti? wacha tutoe tu siasa apa? nipe jibu mwafaka..Ukiishi kwenye nchi ya watu wenye njaa kali lazima ujifiche.