much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,061
- 21,583
Talanta Stadium.
wengine bado wameshindwa kumaliza kuchimba foundation ya 20k seater mini stadium is being
Kwenye Hilo pori mbona mmechezea Hela za mchina?
Talanta Stadium.
wengine bado wameshindwa kumaliza kuchimba foundation ya 20k seater mini stadium is being
Kwenye Hilo pori mbona mmechezea Hela za mchina?
Ebu nionyeshe uwanja wowote duniani yenye imejengwa msituni where there is no roads and electricity.Ni ujinga kujenga uwanja wa mpira ndani ya CBD. Lazima utanue mji kidogo... Ila kwa Nchi ya hovyo ambayo barabara zipo CBD pekee... Nje ya mji ni slums tupu na vibaka bhas usalama wao na kuficha aibu ni kujaza kila kitu CBD.
Chukua mfano wa Hassan II stadium wa pale Morroco. Utaona namna uwanja uko mbali na shughuli na pilika za mjini. Mji inabaki kwa ajili ya biashara na kazi. Sio kujaza watu wa kelele za mpira huko.
Wakenya washamba sn aisee, wanapenda decorations kuliko uhalisia, kila kitu wanakijaza sehemu moja hata visivyokuwa na maana ili kuongopea watu, mm nakuambia afcon itabadili kila kitu, na ndipo watakapojiona bado sanaaa kujilinganisha na nchi zenye watu wenye vision.Ni ujinga kujenga uwanja wa mpira ndani ya CBD. Lazima utanue mji kidogo... Ila kwa Nchi ya hovyo ambayo barabara zipo CBD pekee... Nje ya mji ni slums tupu na vibaka bhas usalama wao na kuficha aibu ni kujaza kila kitu CBD.
Chukua mfano wa Hassan II stadium wa pale Morroco. Utaona namna uwanja uko mbali na shughuli na pilika za mjini. Mji inabaki kwa ajili ya biashara na kazi. Sio kujaza watu wa kelele za mpira huko.
Atukuambia zoom 😂😂😂Ebu nionyeshe uwanja wowote duniani yenye imejengwa msituni where there is no roads and electricity.
Anyway talking about roads, Ebu tuonyeshe barabara hapa
View attachment 3213253View attachment 3213254
Undelea kuumia ukiwa kwenye hilo Banda lako la mabati hapo Githurai......🤣🤣Aibu gani hizi. Yani nchi imetekwa nyara na warabu!?🤣🤣🤣🤣🤣
Ngozi nyeusi imebaki ikipiga kelele JF na kutaja Azam 24/7 mali ya mwarabu🤣🤣🤣
Country of origin.....kawaulize hao wote kwao wapi watakwambiaWarabu ni warabu. That’s why their have their country of origin. Tanzania ni kwa akina maskini kama wewe na watchman.
Hata ni vizuri umewaita warabu, case closed.
Alafu kichinjio yenyewe kinamilikiwa na mchina 🤣🤣Licha ya kutamba unajua kizungu lakini inaonekana uko na mavi kichwani
Hapa hakuna barabara hata ukizoom ajeAtukuambia zoom 😂😂😂
So Singida, Igunga, Mtwara, Bagamoyo, Morogoro na Zanzibar ni kwa warabu? 😂😂😂Undelea kuumia ukiwa kwenye hilo Banda lako la mabati hapo Githurai......🤣🤣
Country of origin.....kawaulize hao wote kwao wapi watakwambia
Mo kwao Singida
Rostam kwao Igunga
Fida Hussein kwao lindi / mtwara
Abood kwao morogoro
Hao mabaniani kwao ni Bagamoyo
Bakhresa sio mwarabu ni mswahili...kwao Zanzibar
Endelea kuteseka tu mzee........
Kama yetu iko CBD kumbe hata hii yao pia iko cbdHapa hakuna barabara hata ukizoom aje
Alafu anakuambia ati tu ajenga uwanja CBD, sikujua Ng’ong roar ni CBD. Yani Nairobi kila corner imejengeka hadi wanaconfusena CBD😂😂
View attachment 3213310
Siwezi walaumu juu hao kuona gorofa lazima uende CBD. So they think that anywhere with highrises is CBD.Kama yetu iko CBD kumbe hata hii yao pia iko cbd
View attachment 3213347
Ukona hasira ju hao wachina hua munalamba wana wekeza multi billions in Kenya than in Bongoslum. 🤣 🤣 🤣Mchina anamiliki mtambo wenu wa piwa, expressway, Talanta, 80% of all high rise buildings hapo Kunyaland na deni almost lote la serikali 🤣😂
Ngoja leo nikichome kichaka chako 😂😂😂 haya huu hapa uwanja wa arusha ni mita kumi au 20 pembezeni ya barabara na ni mwendo dakika 10-15 to airport, na uko karibu sana Burka city Arusha, 👇🏾Hapa hakuna barabara hata ukizoom aje
Alafu anakuambia ati tu ajenga uwanja CBD, sikujua Ng’ong roar ni CBD. Yani Nairobi kila corner imejengeka hadi wanaconfusena CBD😂😂
View attachment 3213310
Mbona munajenga stadium ushago? Amenities ziko wapi hapo?Ngoja leo nikichome kichaka chako 😂😂😂 haya huu hapa uwanja wa arusha ni mita kumi au 20 pembezeni ya barabara na ni mwendo dakika 10-15 to airport, na uko karibu sana Burka city Arusha, 👇🏾View attachment 3213349hii hapa picha ya uwanja na barabara kuwa karibu View attachment 3213352
Wapi barabara hapa?Ngoja leo nikichome kichaka chako 😂😂😂 haya huu hapa uwanja wa arusha ni mita kumi au 20 pembezeni ya barabara na ni mwendo dakika 10-15 to airport, na uko karibu sana Burka city Arusha, 👇🏾View attachment 3213349hii hapa picha ya uwanja na barabara kuwa karibu View attachment 3213352
Wewe mjinga sana Kundurenda wenzio wanaojazana Arusha kila siku unapaita Ushago? Events za kila siku Arusha kuna watu wanaojaa kuliko Kundurenda wenzio ukiacha locals?Mbona munajenga stadium ushago? Amenities ziko wapi hapo?
Uwekezaji wa wachina hapo kenya ni kwasababu ya bogas treaties mkuu not otherwise, wachina kama tungewapa go ahead ya treaties za kipuuzi kama nyie mnavyofanya sahii China ingekuwa imewekeza pesa mingi TZ kuliko nchi yeyote duniani, remember geographically we are the regional economic hub. Fartile land (almost all the land in TZ is arable) madini everywhere, tumezungukwa na nchi nane karibu zote ni land locked countries. Tungeruhusu tu ule mkataba wa bandari bagamoyo $30 billion project sahiiUkona hasira ju hao wachina hua munalamba wana wekeza multi billions in Kenya than in Bongoslum. 🤣 🤣 🤣