Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu mnigeria kaishi kote Kenya and Tanzania for more than 2 months
Kasema Tanzania has more developments than Kenya. Public transport in Tanzania is among the best in Africa.

Kenyans, continue relying on online data

View: https://youtu.be/zGOaqEO7bgU?si=rO-I_NeniHMWycq7

Online data pia siku hz wameanza kuzikataa, now they are relying on online development 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
sio mm nimesema ni minister ndio kasema wanajenga wachina kwa pesa yao kama vile expresaway ilivojengwa 😂😂


View: https://x.com/nationafrica/status/1765302835229392935?s=46

Mbona mimi sioni penye imeandikwa minister kwa hiyo tweet yako?

Anyway kwa ground mambo yako hivi

1737783801421.jpeg



Acha nikusaidie incase hujui maana ya Proprietor
IMG_1094.jpeg
 
Mchina anamiliki kila kitu Tanzania, zile zenye zimebaki zinamilikiwa na warabu na wakenya. Watanzania Kama wewe mmeachiwa uchawi na kuimba mama 24/7.
Leta fact kama sie tulivyoleta fact kwenu jinsi mchina anavyomiliki kuanzia barabara, majengo, mtambo wa chang'aa na bandari ya lamu na Mombasa mshampa mahindi Kuna siku itafika mkenya atamlipa mchina toll ya kutembea Kwa miguu na kuvuta pumzi
 
Tulijenga a 60k seater stadium 30yrs hata before mjue Mchina atawajengea Makwapa Stadium. So please do tell us, why build a stadium in the bush where there are no roads and electricity? Who is going to play there?

Ni ujinga kujenga uwanja wa mpira ndani ya CBD. Lazima utanue mji kidogo... Ila kwa Nchi ya hovyo ambayo barabara zipo CBD pekee... Nje ya mji ni slums tupu na vibaka bhas usalama wao na kuficha aibu ni kujaza kila kitu CBD.

Chukua mfano wa Hassan II stadium wa pale Morroco. Utaona namna uwanja uko mbali na shughuli na pilika za mjini. Mji inabaki kwa ajili ya biashara na kazi. Sio kujaza watu wa kelele za mpira huko.
 
Back
Top Bottom