Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,728
- 107,171
Wakina Manu Cyandaria na Shah umewasahau sio?Aibu gani hizi. Yani nchi imetekwa nyara na warabu!?🤣🤣🤣🤣🤣
Ngozi nyeusi imebaki ikipiga kelele JF na kutaja Azam 24/7 mali ya mwarabu🤣🤣🤣
Wakina Manu Cyandaria na Shah umewasahau sio?Aibu gani hizi. Yani nchi imetekwa nyara na warabu!?🤣🤣🤣🤣🤣
Ngozi nyeusi imebaki ikipiga kelele JF na kutaja Azam 24/7 mali ya mwarabu🤣🤣🤣
I have been here twice … best mbuzi choma I have ever tasted…. Very popular with DC based diplomats.😂 Alafu wanataka kubishana na Wakenya. Kenyans are the most entrepreneurial people in East Africa. You can find a Kenyan owned restaurant in Washington DC USA but you can never find a Tanzanian restaurant even in nairobi View attachment 3212710
Tupatie maana ya neno "Alafu"😂 Alafu wanataka kubishana na Wakenya. Kenyans are the most entrepreneurial people in East Africa. You can find a Kenyan owned restaurant in Washington DC USA but you can never find a Tanzanian restaurant even in nairobi View attachment 3212710
Mtanzania huyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa wewe mchimba chumvi wa kibera huko utajulia wapi vitu hivyo ?
Kipofu kaona mwezi😅Utalinganisha mkapa na talanta kwa kigezo gani ,mkapa una miaka karibu 20 na talanta bado haujakamilika
FTA ndio nani? BTW sitashangaa Azam media wakikamata usukani huko Kundustan in the near future!
View: https://x.com/MichaelMwebe/status/1877248940325691462
Duuuu noma sana sijawahi kugundua 😂😂😂😂😂😂Mtanzania huyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uliza serikali yako iweje mpaka leo zaidi ya miaka 60 ya Uhuru bado mna njaa, unashangaa mkenya kuwa refugee ndani ya Kenya? Hakuna kitu kinashindikana ndani ya Kenya cz it's a shit hole mavi country.Hii story ya beggars wenu Kenya huwa inawauma sana🤣🤣🤣 Eti we have millions of Kenyan refugees in Kenya? How can you be a refugee in your own country. Can you define what a refugee is?
ww na minister nani anajua zaidi?😂😂😂
View: https://x.com/nationafrica/status/1765302835229392935?s=46
We kichaa? Unatuuliza sisi badala sisi tukuulize wewe iweje kule kakuma refugees camp kuna more than 30% ya wakenya wako registered na wanakula misaada. Usije kushangaa hata wewe ni mnufaika au hata ndugu yako mana 30% ya wakenya 65m sio mchecho.Bongolala, engage your brain for once. I know it hurts but tell me how one becomes a refugee in their own country
From The same guys wanaosema kenya inatawaliwa na wazungu? 😂😂😂Ubaguzi wa kinyan’gau huu. Kwa mantiki hii Ali Hassan Joho, Bhimji Depar Shah sio wakenya. Upuuzi mtupu😎
Ikifika kwao ni ubaguzi😂😂😂From The same guys wanaosema kenya inatawaliwa na wazungu? 😂😂😂
Waarabu wenye wamezaliwa Tz kuanzia babu zao ni Tanzanians, Kenya inatawaliwa na wazungu foreigners. Without foreign investments kenya level zake hapa EA labda ni burundi. Facts.Ikifika kwao ni ubaguzi😂😂😂
Warabu ni warabu. That’s why their have their country of origin. Tanzania ni kwa akina maskini kama wewe na watchman.Waarabu wenye wamezaliwa Tz kuanzia babu zao ni Tanzanians, Kenya inatawaliwa na wazungu foreigners. Without foreign investments kenya level zake hapa EA labda ni burundi. Facts.
Wakina Manu Cyandaria na Shah umewasahau sio?
Nyinyi ni vigeugeu, topic imeanzia kuwa Sportspesa ina uniliki wa wakenya, mkaanza kusema eti ni ya waingereza blahblahblah…wakati huo hankuona ubaya wowote,Ukabila unawamaliza Wakenya
Taja hao wazungu, nasubiriWaarabu wenye wamezaliwa Tz kuanzia babu zao ni Tanzanians, Kenya inatawaliwa na wazungu foreigners. Without foreign investments kenya level zake hapa EA labda ni burundi. Facts.
Double standards on steroidsIkifika kwao ni ubaguzi😂😂😂
Ukijitia utahira me nakuacha tu.. ila ukweli ni kwamba akina baresa wote ni watanzania wazawa kuanzia babu zao. Ila uchumi wa wakenya ni mali ya mzungu na mchina.. wakenya wote ni maskini, kuanzia wewe en your fellow country men in this thread. Tena you guys ni maskini wa kutupa. Facts..Warabu ni warabu. That’s why their have their country of origin. Tanzania ni kwa akina maskini kama wewe na watchman.
Hata ni vizuri umewaita warabu, case closed.
Heb taja investment yoyote hapo kenya ysnye you bragging of having them yenye si mali ya foreigner. 😂😂😂 hadi mashamba kwenu ni mali za watu weupe.. hilo taifa vichaa.?Taja hao wazungu, nasubiri