Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Flyover ya Tazara na Airport terminal 3 ni miradi iliyoanza chini ya Jk Magu kaja kumalizia tuu.
Huu upumbavu wa kusema flani ndio kafanya ama huyu hakufanya ni ujinga serikali ndio inatekeleza yote haya kwa mpango wa muda mfupi na muda mrefu hata aje nani madarakani vitu vitatelekezwa tuu na ni kazi ya opposition kuiamsha serikali usingizini ikilegalega.
nimecheka sana tena nimecheka kwa nguvu sana 😂😂😂😂😂😂😂
 
kukamilisha ilikua ni lazima hata mwenye mradi angekuwepo angekamilisha sometimes unakua kama vile huna akili 😂😂

kwan angekuwepo yeye asingekamilisha hayo madaraja aliyoyaanzisha mwenyewe au unafkiri kuanzisha ni rahisi sana, yataka moyo sana
Pengine isingekamilika na hata kama ingekamilika basi ni Kwa gharama kubwa sana na maumivu ya kutosha Kwa sekta zingine.

Haiwezekani mtu anasingizia Sgr ,bwawa sijui vitu gani Kwa kunyima maendeleo sekta zingine kuanzia Ajira,Kilimo,mifugo, miundombinu mk

Nimewahi Kuandika humu jukwaani na nyie mnajua kwamba Barabara zote kuu alizozikuta Mwendazake kutoka Kwa JK ameondoka na kuziacua na mavumbi isipokuwa 1 tuu ya Tabora-Mpanda.

Mwisho umewahi sikia Samia analeta visingizio kwamba tumesimamiaha sekta abc kisa anajenga sgrzsijui bwawa au kununua ndege?

Mama ana pesa na anajua kutafuta pesa Kwa njia ya biashara bila hata kupora mtu au kufungua account.

Mwisho kubali tuu kwamba legacy imezidiwa mjadala ufungwe 🤪🤪🤪🤪
 
Ndio,maana hoja ni anakamilosha na amekamilisha miradi ya Mwendazake na kuanzisha utitiri wa miradi Kila sekta tena bila visingizio kama wakati ule.

Unajifanya umesahau si ndio? 😂😂
kama kuanzisha na wewe kaanzishe basi tukuone 😂😂😂😂😂

hio bwawa la nyerere unesco waliwazuia tusijenge na vikwazo wakasema wataweka umesahau leo hii😂😂😂
 
Sio kweli as a matter of fact JPM alikuwa hata Hana habari na huu mradi mpaka kampuni iliyopewa tender ya feasibility study kutoa matokeo kwa kumfuata Ikulu Magogoni! Huu mradi naufuatilia sana! It was pure business decision na sio ubabe wa JPM kama mnavyodai! Kumbuka Uhuru alienda mara tatu Paris ku-Lobby na akashindwa kubadili uamuzi wa Total na alitoa concessions nyingi! Kwa hiyo gharama ya kupitia Kenya ilikuja kushuka!


View: https://youtu.be/OhFZSfP2h3w?si=UNnMZCALNv8pIvmf


View: https://youtu.be/yYYwUHT_afM?si=04z5O1gxC72UFKQT

Pitia humu EACOP vs Lamu pipeline

😂😂😂😂😂😂😂 pumba gani hii mzee
 
Na sio kwamba alimaliza mihula yake. Alikufa tu kitu ambacho ni natural. Sijui binadamu wengine wanatumia akili gani kumlaumu Mtu aliyekufa akiwa madarani..eti hakumaliza miradi...sasa mlitaka amalizeje wakati amekufa?
Angefika 2025 miradi kiwa nusu hapo nami ningesaport kuwa hakumaliza miradi. Sasa mnalalamikiaje mtu ambaye ni marehemu?

Sasa hiv 2024.
Magu angekuwepo.
1. SGR ingeishafika Mwanza kitambo sana
2. Mv Mwanza hapa kazi tu ingekuwa na safari zake za Bukoba kila siku
3. Tungekuwa tunateleza tu Kigongo busisi
4. Magufuli city ingeshaisha. Sasa wangekuwa wanapanua Barabara tu
5. Msalato Airport phase 1 ingekuwa inafanya kazi.
6. Huenda kimara kibaha highway ingekuwa Mlandizi huko
Nk nk
outer ring ya dodoma ingekua ishakamilika 😂😂😂😂 jengo la mwanza airport lingekua lishaisha, etc
 
kama kuanzisha na wewe kaanzishe basi tukuone 😂😂😂😂😂

hio bwawa la nyerere unesco aliwazuia musijenge na vikwazo wakasema wataweka umesahau leo hii😂😂😂
Mimi Niko mgongoni Kwa mama yaani ndio tunatekeleza ilani Kila sekta ni kicheko.

Hakuna palipolala ndio maana tuna jeuri ya kuongea.

Miaka 4.5 kama miaka 10,Akifika 2030 Tanzania itakuwa na GDP ya over 120.

Soma hapa Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza
 

Huyu mama watu wanamchukulia poa ila kuna vitu anafanya watu hawataki kukubali,hata hii issue yake na jpm ni chuki tu ya pro jpm na pro mama,ila ukiangalia kwenye miradi hata jpm mwenyewe uko kaburini anafurahi miradi aliyoianzisha yote hamna ambao umelala,mama anatendea haki maono ya jpm tuache ushabiki na chuki za kipumbavu
 
Pengine isingekamilika na hata kama ingekamilika basi ni Kwa gharama kubwa sana na maumivu ya kutosha Kwa sekta zingine.

Haiwezekani mtu anasingizia Sgr ,bwawa sijui vitu gani Kwa kunyima maendeleo sekta zingine kuanzia Ajira,Kilimo,mifugo, miundombinu mk

Nimewahi Kuandika humu jukwaani na nyie mnajua kwamba Barabara zote kuu alizozikuta Mwendazake kutoka Kwa JK ameondoka na kuziacua na mavumbi isipokuwa 1 tuu ya Tabora-Mpanda.

Mwisho umewahi sikia Samia analeta visingizio kwamba tumesimamiaha sekta abc kisa anajenga sgrzsijui bwawa au kununua ndege?

Mama ana pesa na anajua kutafuta pesa Kwa njia ya biashara bila hata kupora mtu au kufungua account.

Mwisho kubali tuu kwamba legacy imezidiwa mjadala ufungwe 🤪🤪🤪🤪
legacy imezidiwa na ikiwa mtu amelala chini miaka mitatu bado munahangaika nae kuficha mazuri yake 😂😂😂😂

leo nchi imefika deni trillion 100 bado kuna tozo tunaambiwa ni kwa ajili ya same projects ambazo pesa zinakopwa tena alaf tuko hapa kushangilia kila kitu

nchii ilinyooka kama ruler sio hospitalini sio maofisini sio wizarani heshima kazini ilirudi au tumesahau leo, haya nenda kwenye hospital za serekali sasa hvi kama utahudumiwa bila rushwa 😂😂
 
Another one from Master Fabricator.

Buy Kenya Build Kenya.
1730912913615.jpeg

1730912936019.jpeg

1730913011024.jpeg

1730913041583.jpeg
 
Back
Top Bottom