Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,222
Malawi ni mteja mkubwa tu wa bandari ya Dar, mwaka uliopita tani zaidi ya laki 4, mwaka juzi Tani zaidi ya laki 5Atakuwa chizi huyo sio bure
Mwaka Jana tu TPA wamefungua ofisi malawi
Malawi ni mteja mkubwa tu wa bandari ya Dar, mwaka uliopita tani zaidi ya laki 4, mwaka juzi Tani zaidi ya laki 5Atakuwa chizi huyo sio bure
Alifungua nani na baada ya nani kukamilisha ujenzi?
Usitusumbue,hakuna kitu Mwendazake alikamilisha Kwa miaka yake 5.5
View: https://x.com/TanzaniaYaMama/status/1817558841568932110?t=0_swK51VCsAbVlVGGLi2qQ&s=19
View attachment 3144923
I can and intelligent people can. Bozos like you however............................Trivial staff who can spot the difference? A zebra is a zebra!
Kama viwanja vipi hivyo vya ndege?Sio kweli, miradi mingi tu wakati wa magufuli ilikamilika hapa nitakutajia kwa uchache
Kwa uchache ni hayo, sitegemi ubishe sababu huenda ukawa hujui so nategemea uniulize mifano ya sehemu ya hiyo miradi ilipokamilika kwa wakati huo
- Miradi ya barabara kuunganisha mikoa
- ujenzi wa barabara za kawaida, na upgrading
- Stand za mikoa
- masoko
- Madaraja
- Ujenzi wa hospital
- Ujenzi wa vyuo/shule
- miradi ya maji
- miradi ya umeme
- viwanja vya ndege
Kwani lazima aanzishe? Kwahiyo aache kukamilisha iliyopo aanze kuanzisha mira hovyo hovyo tu?Minne na miradi aliyoanzisha ni gani?
2016Ilikuwa mwaka gani yh uru alivyoenda Paris know ukutana na macron na uhamuzi wa bomba kupita Tanzania ulipitishwa lini?
Ya Malawi kutotumia bandari yetu basi tena? Usipende kuandika vitu hufahamuKama viwanja vipi hivyo vya ndege?
Miradi ya umeme ipi?
Ujenzi wa Barabara zaidi ya Dom,Dar na Tabora-Mpanda hakuna zingine
Mwisho tumiradi twingine ni kuokoteza okoteza tuu ilimradi ujazie nyama maana sekta zingine hazikuwa kipaombele chake sana tofauti na Sgr,ndege,kuhamia Dom,bwawa.
Nipe mradi mmoja wa chuo ulioanzishwa na ulikamilika kipindi cha jiwe!Sio kweli, miradi mingi tu wakati wa magufuli ilikamilika hapa nitakutajia kwa uchache
Kwa uchache ni hayo, sitegemi ubishe sababu huenda ukawa hujui so nategemea uniulize mifano ya sehemu ya hiyo miradi ilipokamilika kwa wakati huo
- Miradi ya barabara kuunganisha mikoa
- ujenzi wa barabara za kawaida, na upgrading
- Stand za mikoa
- masoko
- Madaraja
- Ujenzi wa hospital
- Ujenzi wa vyuo/shule
- miradi ya maji
- miradi ya umeme
- viwanja vya ndege
Chug ni wapi? Alafu sipo kubishana bali kuweka sawa kile naona hakipo sawaNipe mradi mmoja wa chug ulioanzishwa na ulikamilika kipindi cha jiwe!
ChuoChug ni wapi? Alafu sipo kubishana bali kuweka sawa kile naona hakipo sawa
Interchange Ubungo, machinjio ya kisasa, Tanzanite bridge, ununuzi wa ndege zaidi ya nane na zote zilifika nchini.Nipe mradi mmoja wa chug ulioanzishwa na ulikamilika kipindi cha jiwe!
MUHAS - mloganzilaChuo