Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

aliyoyafanya magu hakuna rais angeweza hata kuthubutu kwa robo yake kwanza kitendo cha ku force bwawa la nyerere kujengwa pamoja na vikwazo na vitisho kutoka world bank pamoja na UNESCO hakuna rais angeweza hata kusogeza pua kwa kua na roho ngumu, yule jamaa alikua ni real fighter, hata SGR world bank ilikataa kutoa mkopo wakapendekeza tufufue MGR ila jamaa akagoma alasema tutaanza kujenga kwa pesa zetu phase 1 tena kwa kutumia nguvu nyingi sana, hata daraja la kigongo busisi ilikua ni jambo la ujasiri mkubwa sana, achilia mbali flyover ya kwanza na intwrchange ya kwanza tanzania toka nchi imepata uhuru alaf leo munakuja kuongea pumba hapa 😂😂😂😂😂

hawa wakenya waulize ni rais gani mpaka leo wanamlilia na walimchukia kwasababu ya kuiamsha tanzania iliokua imelala usingizi mzito

kila mkenya akiona SGR anakwambia magufuli alifanya kazi wao wenyewe wanasema kwenye comments na tunaziona

kwani hii thread ilipata jeuri kipindi cha nani kama sio magufuli situlianza kutunisha misuli hapa kipindi chake au leo mumesahau, leo nyerere national park inapokea watalii wengi ni nani alileta wazo hilo na akatekeleza pamoja vikwazo vya UNESCO au tumesahau leo 😂😂

wakenya wanamchukia magu kwasababu alituamsha kwenye usingizi mnono ndio maana tunaitwa a sleeping giant

pumba gani hzi unaongea wewe ??
leo tunaisifu TARURA inafanya kazi vzr na kwa ufanisi lakini mwenye maoni ya TARURA mumemsahau 😂😂😂😂😂
Hii ndyo kitu watu wanajisahaulisha, wanakuambia Samia ndyo rais bora kuwahi kutokea, jaribu kuwauliza kama angeanza Samia kabla ya magu angeanzisha hayo yote? Kwa ujasiri gani hasa alionao!!!

Tumsifu tu kwamba kaendeleza yale aliyoachiwa na magu japo kwa speed ya kobe na siyo lazima kumsifu mana hata rais angekuwa paka bado angelazimika kuyamaliza aliyoachiwa na mtangulizi wake.

Watanzania tuache ujinga wa kusifusifu kila rais, ni katabia kachafu sanaa.
 
Andika yako ya kukosea kosea kiswahili+ hoja zako, unaonekana kilaza mkuu, njoo na hoja ya kueleweka.
Sema hoja yake nimeielewa mkuu, bongo kuna wakati tunazingua sana, unakuta apartments zinajengwa hapa 50 kule 30, huku 10 mwishowe hata ukipiga picha hazitishi, mfano Samia housing. Wenzetu wanarundika miradi ya kupendezesha mji sehem moja at least wanapata nafasi ya kuongopea ongopea watu, sasa sisi unakuta miradi ipo mbali mbali hata picha la kutisha hupati, na ndiyo maana Magu alikuja na mji wa serikali at least tuwe na kitu cha kuonesha.
 
Hii ndyo kitu watu wanajisahaulisha, wanakuambia Samia ndyo rais bora kuwahi kutokea, jaribu kuwauliza kama angeanza Samia kabla ya magu angeanzisha hayo yote? Kwa ujasiri gani hasa alionao!!!

Tumsifu tu kwamba kaendeleza yale aliyoachiwa na magu japo kwa speed ya kobe na siyo lazima kumsifu mana hata rais angekuwa paka bado angelazimika kuyamaliza aliyoachiwa na mtangulizi wake.

Watanzania tuache ujinga wa kusifusifu kila rais, ni katabia kachafu sanaa.
Kila zama na kitabu chake 😁
 
Wacha upumbavu wewe! Kwani JPM Ndio Financier wa mradi? Wadanganye Wasukuma wwenzio
Sasa hapo wasukuma wanaingiaje? Hivi we jamaa siku hizi unashida ya afya ya akili na kumbukumbu zinakutoka ee? Kwani hoja yako isingetimia bila kuingiza wasukuma, Mimi mzaramo lakini nampenda JPM kuliko msukuma yeyote hapa nchini and this is the representation ya impact ambayo JPM ameiacha kwa watu wengi. Usijizime data babu
 
Flyover ya Tazara na Airport terminal 3 ni miradi iliyoanza chini ya Jk Magu kaja kumalizia tuu.
Huu upumbavu wa kusema flani ndio kafanya ama huyu hakufanya ni ujinga serikali ndio inatekeleza yote haya kwa mpango wa muda mfupi na muda mrefu hata aje nani madarakani vitu vitatelekezwa tuu na ni kazi ya opposition kuiamsha serikali usingizini ikilegalega.
 
Flyover ya Tazara na Airport terminal 3 ni miradi iliyoanza chini ya Jk Magu kaja kumalizia tuu.
Huu upumbavu wa kusema flani ndio kafanya ama huyu hakufanya ni ujinga serikali ndio inatekeleza yote haya kwa mpango wa muda mfupi na muda mrefu hata aje nani madarakani vitu vitatelekezwa tuu na ni kazi ya opposition kuiamsha serikali usingizini ikilegalega.
Flyover ya Tazara ilianza kujengwa mwezi march 2016 mkuu, ni mradi wa Magu aliouanzisha na kuukamilisha.
 
Nilicho gundua humu nikuwa aliye kamilisha mradi ndio aliye fanya kazi ila aliye anzisha basi hajafanya kazi hata brt alikamilisha JPM uwanja wa ndege dar alikamilisha JPM kama ni kwa sitaili hiyo yaChoiceVariable
Flyover ya Tazara na Airport terminal 3 ni miradi iliyoanza chini ya Jk Magu kaja kumalizia tuu.
Huu upumbavu wa kusema flani ndio kafanya ama huyu hakufanya ni ujinga serikali ndio inatekeleza yote haya kwa mpango wa muda mfupi na muda mrefu hata aje nani madarakani vitu vitatelekezwa tuu na ni kazi ya opposition kuiamsha serikali usingizini ikilegalega.
 
Mzimu wa JPM inaonekana unawatesa sana watu na mtateseka sana ni mwaka wa tatu hatunae tena lakini kuna watu wanarazimisha kuwa hakufanya kitu bila JPM kuwa raisi na Ssh kuwa makamu kisha JPM kufariki na ssh kuwa rais au ssm angekuwa rais bila JPM kufariki

1730629774838.jpg
 
Flyover ya Tazara ilianza kujengwa mwezi march 2016 mkuu, ni mradi wa Magu aliouanzisha na kuukamilisha.
Hawa waropokaji wengine huwa nawakaushia tu, flyover inajulikana imeanza chini ya magu na kaimaliza mwenyewe, mtu anakuambia aliianzisha kikwete, hii yote ni kwasababu ya kutafuta nafasi ya kulamba teuzi tu au upigaji tu ndo maana unaona ukosoaji wa magu umeshika kasi namna hii.

Nimeona kuna sehem mtu anakuambia EACOP ni mpango wa TOTAL na kwamba bila jitihada za serikali hili bomba lingepita tu Tanzania, hivi hawa watu wanataka kutufanya sisi ni mazoba na kwamba hatujui miradi mingi iliyotakiwa kuwa hapa ilienda kenya? Ofisi nyingi za kimataifa zilipelekwa Kenya wakati Arusha ipo na ni sehem salama? Waache ujinga kwenye credit mpe mtu hata kama humpendi.
 
Sasa hapo wasukuma wanaingiaje? Hivi we jamaa siku hizi unashida ya afya ya akili na kumbukumbu zinakutoka ee? Kwani hoja yako isingetimia bila kuingiza wasukuma, Mimi mzaramo lakini nampenda JPM kuliko msukuma yeyote hapa nchini and this is the representation ya impact ambayo JPM ameiacha kwa watu wengi. Usijizime data babu
Unadiriki Vp kusema ati ubabe wake Ndio umeleta EACOP?
 
Back
Top Bottom