Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nipe mradi mmoja wa chuo ulioanzishwa na ulikamilika kipindi cha jiwe!
Mkuu ukiachana na miradi ya vyuo,

Miradi iliyoanzishwa na kukamiliki kipindi cha mjomba ni pamoja na DMDP na ULGSP.. ukitaka niiweke humu utakimbia mkuu.

Bado kuna ile mradi wa kuboresha Shuka kongwe zote nchini. Ikiwemo na while yangu ya O level. Usagara Sec Tanga 👇🏾
IMG_1616.jpeg
IMG_1613.jpeg
..

Mkuu hii miradi najua unaijua labda kama umeamua kujisahaulisha tu, ku push ajenda yako.

Tz imepa kuona barabara mingi za lami katika halmashauri za miji na majiji kupitia hii mradi wa ULGSP.
 
Unajua sijui u afanya kazi gani/shughuli gani
Lakini naona unapoteza muda kwa vitu unavyoanzisha alafu baadae tena unarudi kulekule ulipokataa mwanzo,

Angalia tulipoanzia kwenye huu mradi alafu angalia unachoandika sasa. Kwanza ulikataa haukuwwpo huo mradi, sasa hivi unasema maua wapewe lowassa waliokuwa na wazo la mradi, sio Tena Nani alianza na kukamilisha. Muda ni mali, kuwa straight kwenye mada
Miradi yote iliyoasisiwa na wengine watapewa credits walioanzisha na sio kukamilisha maana ndio propaganda iliyoasisiwa awamu ya 5,so mradi ni wa kina Lowasa/Jakaya ,wafanya extension hawana Chao.

Mwisho nilikuwa nakataa mradi wa Bilioni 700 ambao haupo,Mimi Sina kazi yeyote.
 
Mkuu ukiachana na miradi ya vyuo,

Miradi iliyoanzishwa na kukamiliki kipindi cha mjomba ni pamoja na DMDP na ULGSP.. ukitaka niiweke humu utakimbia mkuu.

Bado kuna ile mradi wa kuboresha Shuka kongwe zote nchini. Ikiwemo na while yangu ya O level. Usagara Sec Tanga 👇🏾View attachment 3145516View attachment 3145517..

Mkuu hii miradi najua unaijua labda kama umeamua kujisahaulisha tu, ku push ajenda yako.

Tz imepa kuona barabara mingi za lami katika halmashauri za miji na majiji kupitia hii mradi wa ULGSP.
Leta evidence tarehe zitakuumbua
 
At least every team in Kenya Premier League and The National league is going to have a home ground stadium. Many stadiums are coming up, including in Turkana Kwale, Marsabit etc.
View attachment 3145289View attachment 3145290View attachment 3145291View attachment 3145293View attachment 3145294View attachment 3145296View attachment 3145297View attachment 3145299View attachment 3145300
Kufika hii level sio leo you have got a long way to go labda 40 years to come.

View: https://www.instagram.com/reel/DCCd4-IqVYS/?igsh=MWtlOGVzdnhwYWpxZQ==
 
kaka whatever the case huu mradi jamaa aliupigania sana na fitna nyingi sana zilitembea na musianze kuleta ujinga sasa hao mawaziri waliokua wanatumwa kwenda uganda mara yeye magi akutane na museven tanga munafkiri ilikuja kwa bahat mbaya

toeni credit kwa jamaa japo ukweli ni mchungu infact he was a real fighter, kutoa mradi kuuleta tanzania sio jambo dogo kabisa wakenya wanasifika duniani kwa uongo na drama, haikua kazi rahisi kama munavofikiri kabisaa😂😂😂😂
Hatukatai kuwa Magu aliuchangankia huu mradi uwepo Tz ila tunachokataa ni kauli kama bila Magu huu mradi usingekuwepo.
Maamuzi ya mradi upite wapi ni kazi ya investor serikali kazi yake ni ku facilitate tuu.
 
Back
Top Bottom