ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
miujiza na alaf deni la taifa limetoka trillion 54 mpaka 100 within 3 good yearsMimi Niko mgongoni Kwa mama yaani ndio tunatekeleza ilani Kila sekta ni kicheko.
Hakuna palipolala ndio maana tuna jeuri ya kuongea.
Miaka 4.5 kama miaka 10,Akifika 2030 Tanzania itakuwa na GDP ya over 120.
Soma hapa Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza
na bado tozo kila kona
😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻