Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

MUHAS - mloganzila
Pia vyuo vya Kati

Huu ubishani wenu hauna maana hamtumii akili, common sense tu haiwezekani miradi kadhaa isiwe imekamilika kuanzia ya shule, hospital, barabara, maji n.k.

Hata raisi awe mzembe vipi lazima kuna miradi itakamilika. Hata wewe ukiwa raisi leo hii lazima Kuna miradi utaikuta itakamilika na ipo utaanzisha utaweza kuikamilisha.
Unaumwa mavi wewe!


View: https://youtu.be/HrTNg9ppdZM?si=u2BiVuRJQ8P1piZj
 
Hayati Magufuli amefanya makubwa katika hii nchi toka akiwa waziri sifa yake kubwa ilikuwa ni uchapakazi mtu aliyeamini katika matokeo yawe mazuri yawe mabaya, kuna miradi mingi sana CCM ilikuwa ikiisogeza mbele kwenye maandiko yao kwa mgongo wa “No Fund” ijapokuwa kwenye makaratasi ipo, Mwamba alivyoingia madarakani akaestablish almost full swing, inaishaje hakuna aliyekuwa na idea, mara ghafla katukota,
Kutokana na kanuni na taratibu za nchi Makamu wa Rais inamlazimu kushika nchi kwa kipindi cha muhula kilichosalia,kilichofuata
Mama Samia anaingia Madarakani, Miradi mingi ikiwa kwenye hatua ya awali ama katikati ama mingine haijaanza kabisa, Amejitahidi sana huyu Mama kwenye utekelezaji na ndicho Watanzania tunachotaka.
Kufanya stori yangu fupi ni hivi,
Hayati Magufuli ametuaminisha Watanzania Tunaweza Kufanya Makubwa kwa kwa kuanzisha miradi mikubwa mikubwa
Mama Samia ametudhihirishia kwa vitendo ni kweli Watanzania Tunaweza.
 
IMG_2223.jpeg

By the way nilikuwa Wilson Airport 😄
 
Naona mkuu unaanza kutokwa na kumbukumbu ama na akili
Na ukumbuke Magufuli amefariki mwaka wa kwanza tu alipoanza muhula wake wa pili.
Na kwa asilimia zilizobaki angemaliza na kuzindua mwenyewe.
Ange ange!
 
Alifungua nani na baada ya nani kukamilisha ujenzi?

Usitusumbue,hakuna kitu Mwendazake alikamilisha Kwa miaka yake 5.5

View: https://x.com/TanzaniaYaMama/status/1817558841568932110?t=0_swK51VCsAbVlVGGLi2qQ&s=19
View attachment 3144923

kukamilisha ilikua ni lazima hata mwenye mradi angekuwepo angekamilisha sometimes unakua kama vile huna akili 😂😂

kwan angekuwepo yeye asingekamilisha hayo madaraja aliyoyaanzisha mwenyewe au unafkiri kuanzisha ni rahisi sana, yataka moyo sana
 
Ya Malawi kutotumia bandari yetu basi tena? Usipende kuandika vitu hufahamu

Anyway, uwanja wa ndege ni geita airport, na pia terminal 3

Mradi wa umeme mfano ni kinyerezi I and 2

Ujenzi wa barabara zaidi ya dar dom, tabora mpanda hakuna zingine? But unajua mm Wala nisingejadili hili, ulisema hakuna kilichokamilika sasa hivi hapa unasound tofauti

Mingine miradi ya kuokoteza? How? Mfano mradi wa maji tabora wa bilion 700 kutoka lake Victoria ni mradi wa kuokoteza?

Madaraja makubwa kigamboni, kilombero ni miradi ya kuokoteza?

Huwa una bahati ya kujadiliana na watu wasiojua chochote na wewe pia hujui lolote so ndio maana unaandika unachojisikia
Mradi wa Tabora wa Bilioni 700? Unaota wewe,uweke hapa na Mimi nisome kama wewe ulivyosoma 😂😂😂😂

Kwa hiyo viwanja vya ndege 2 basi ndio vinatosha miaka 5.5? 😂😂

Kigamboni ya wapi hiyo? Daraja la Kigamboni amejenga JK,the same to Kilombelo ambalo lina jina La Magufuli

Wewe Bado unaokoteza miradi ambayo hata haikufanyika awamu ya 5 😂😂

Weka hapa mradi wa Maji wa Bilioni 700 😁😁,Bora hata ungesema mradi wa Maji wa Arusha ambao haukumaliza kama kawaida yake 😂😂

Mwisho Mwendazake alikuwa na miradi ya kuokoteza Kwa sababu hata pesa hakuwa nazo maana hajui kuzitafuta, biashara zilianguka, investors wakakimbia,Kilimo kilianguka nk nk
 
Huu mradi kuja Tz push ilitoka TOTAL wenyewe kwasababu mbali mbali
1. Total wanalo eneo la uchimbaji oil upande wa DRC na Tz kwenye lake Tanganyika hivyo itawasaidia connection to EACOP.
2. Cost ya mradi especially land acquisition in Tz is way cheaper and fast compared to Kenya hivyo muda wa project kuwa mfupi.
3. Upande wa Kenya terrain sio rafiki na hakuna njia ambayo ingetumika kusafirishia mabomba na mitambo ya mradi along the pipeline route unlike Tz pipeline iko sambamba na reli na barabara.
4. Pipeline ingepita Kenya ingekuwa prone to terrorist attacks not far from Somalia and Al Shabaab.
5. Operation cost ya pipeline kwa upande wa Tz ni cheaper from Singida to Tanga hakuna haja ya pumping ni gravity flow mpaka port.

Hizo ndio sababu kuu za huu mradi kuja Tz ni shinikizo la TOTAL kwa serikali ya Uganda na sio kiongozi yeyote wa kisiasa bali viongozi walihusika na facilitation tuu ya maamuzi hayo ya TOTAL.
kaka whatever the case huu mradi jamaa aliupigania sana na fitna nyingi sana zilitembea na musianze kuleta ujinga sasa hao mawaziri waliokua wanatumwa kwenda uganda mara yeye magi akutane na museven tanga munafkiri ilikuja kwa bahat mbaya

toeni credit kwa jamaa japo ukweli ni mchungu infact he was a real fighter, kutoa mradi kuuleta tanzania sio jambo dogo kabisa wakenya wanasifika duniani kwa uongo na drama, haikua kazi rahisi kama munavofikiri kabisaa😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom