Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vijana hawataki kuelewa hii, kila awamu hufanya vitu kuvutia awamu yake. 😂😂😂
Vijana wanataka awamu iliyopo isifu awamu iliyopita! We umewahi kuona wapi!
Someni siasa vijana, msitumie mihemuko kubishana.
So, siasa inakufunza kuwa mnafki usiseme ukweli? Africa inaharibu sana maana ya siasa.
 
Mradi upi wa Magu kaumaliza mpaka sasa? Nipe japo mmoja, alafu wewe ndiyo unatuharibia uzi kwa battle zako za kijinga na Cha ajabu kuna majinga ushayapata, zamani tulikuwa tunakupiga pini ila nowadays naona unarudi kwa kasi ya umeme kuwatenganisha watanzania kwa interest zako za kisiasa, wewe ulitumbuliwa enzi zile za Magu because of your incompetence, usimlaumu Magu.
Hakuna maana bwawa alikamilisha Shangazi Yako 😂😂

Hayo madaraja hapo Juu alikamilisha dada Yako

Ikulu nayo ni bi mdogo wako amekamilisha.
 
Hakuna maana bwawa alikamilisha Shangazi Yako 😂😂

Hayo madaraja hapo Juu alikamilisha dada Yako

Ikulu nayo ni bi mdogo wako amekamilisha.
Na umejaa kwenye mfumo mbwa wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hii miradi yote unayotamba nayo ni ya magufuli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hawa waropokaji wengine huwa nawakaushia tu, flyover inajulikana imeanza chini ya magu na kaimaliza mwenyewe, mtu anakuambia aliianzisha kikwete, hii yote ni kwasababu ya kutafuta nafasi ya kulamba teuzi tu au upigaji tu ndo maana unaona ukosoaji wa magu umeshika kasi namna hii.

Nimeona kuna sehem mtu anakuambia EACOP ni mpango wa TOTAL na kwamba bila jitihada za serikali hili bomba lingepita tu Tanzania, hivi hawa watu wanataka kutufanya sisi ni mazoba na kwamba hatujui miradi mingi iliyotakiwa kuwa hapa ilienda kenya? Ofisi nyingi za kimataifa zilipelekwa Kenya wakati Arusha ipo na ni sehem salama? Waache ujinga kwenye credit mpe mtu hata kama humpendi.
Tusiongelee mate 👇
Mkataba wa Tazara Flyover was signed even before Magu became a president October 2015
👇
 
Another one😂😂


1730896089304.jpg
 
Nichukue nafasi hii kuipongeza serikali ya awamu ya sita inayo ongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha kuwa Donald Trump anakuwa Rais wa Marekani kwa kipindi cha miaka minne ijayo hakika hili lisingewezekana bila ya uthubutu wa jemedari wetu mkuu Samia Suluhu Hassan na naimani atahakikisha kuwa uchaguzi wa marekani unamalizika kwa amani.
 
Vijana hawataki kuelewa hii, kila awamu hufanya vitu kuvutia awamu yake. 😂😂😂
Vijana wanataka awamu iliyopo isifu awamu iliyopita! We umewahi kuona wapi!
Someni siasa vijana, msitumie mihemuko kubishana.
Hawa vijana wangekuwepo kipindi cha Nyerere si wangempa uraisi wa maisha Hawa 🤣🤣🤣🤣
 
So, siasa inakufunza kuwa mnafki usiseme ukweli? Africa inaharibu sana maana ya siasa.
Nyie ndio hamsemi ukweli Tazara flyover contract wa signed October 2015 na Sumitomo ya Japan haya niambie Magu alikuwa Raisi muda huo?
EACOP Total ndie aliyeshikiza bomba lipite TZ Uganda na Kenya wakakataa lakini multinational company ni multinational tuu ndio wawekezaji wakuu kwenye huu mradi anaweka hela zake penye usalama Uganda hakuwa na choice yoyote zaidi ya kukubaliana na TOTAL.
 
VP Aliwahi enda pale Bwawa la Nyerere walimpa taarifa kwamba Kuna ujenzi wa chini ya kiwango ulifanyika so Serikali ikalazimika kutumia na kujenga upya ,waliopinga pesa wapo.

Kwa taarifa yenu tuu,hayo mamiradi makubwa makubwa ndiko watu wametajirikia.

Anyway tugange yajayo Ndio Nchi yetu hii Haina utaratibu wa kuwajibishana so Kila mtu mwenye nafasi ya Kisiasa anajilia kadiri ya fungu lake.
Leta ushahidi
 
Yakishaisha itabena nini? Hakuna Cha Mtwara development corridor,hapo Kuna Bandari za Mozambique eg Nakala nk ziko jirani na Malawi/Zambia kuliko Mtwara na ndio maana Malawi hatumii Bandari zetu.

Hiyo section ya Makambako -Mtwara ni Kwa Ajili ya DRC zaidi.
Malawi hatumii bandari zetu? We jamaa huwa ni muongo sana

Malawi ni moja wa watumiaji wakubwa wa bandari ya Dar
 
At least every team in Kenya Premier League and The National league is going to have a home ground stadium. Many stadiums are coming up, including in Turkana Kwale, Marsabit etc.
Screenshot_2024-11-05-21-20-02-08_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-11-05-19-48-46-34_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-11-05-19-41-18-07_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-11-05-18-24-16-24_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-11-05-19-47-21-43_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-11-05-13-19-30-74_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
Screenshot_2024-11-05-13-19-21-76_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
Screenshot_2024-11-04-18-23-43-80_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
a10.jpg
 
That’s a Kenyan who just need interactions, ama ulidhani she is a certain girl outside Kenya?😂😂🤣
Watakuambia Mkenya akiongea maneno 1000, chukua moja uwache 999 yet when Kenyans criticize their governent they'll share it like it's straight from the gospels. 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom