Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mjinga atakuambia Talanta ni ya mchina. Ebu angalieni hapo penye imeandikwa proprietor, mkiona jina ya mchina mnitag 😂😂😂
Image
Tuambie wewe owner ni nani?
 
Hawa majamaa hunifurahisha. Ukiona ameanza na ''nimebahatika kutembelea Kenya..............'' jua ni jaba inataka kumwagwa. 🤣 🤣 🤣
Ni dhahiri many Tanzanians humu JF waliwahi kufika kenya na wanapost picha humu unlike you fool, unatuambia umewahi kufika Bongo but no pictures.. tangu ni join huu uzi nina uhakika na mkenya mmoja tu kuwahi kufika Tz yule jamaa wali mu expose akaamua kukimbia uzi.
 
Back
Top Bottom