Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyang’au Teargas atajificha wapi leo? Vijana wa K’Ogalo wanabondwa kisawasawa huko. Tatu bila hadi sasa.
Alafu yapo nyumbani masenge haya 👇 👇 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20240915-171200~2.png
 
Kuna mjinga atakuambia Talanta ni ya mchina. Ebu angalieni hapo penye imeandikwa proprietor, mkiona jina ya mchina mnitag 😂😂😂
Image
 
Kwa huo mshahara nakula vizuri,nalala pazuri na navaa vizuri.
Aya twende Kenya,kwa huo mshahara unaishije??
I earn almost 10x of whatever you are earning so usijaribu kujilinganisha na mimi😂😂🤣😂
 
Back
Top Bottom