Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Shauri yako. Unadhani nafanana na wewe?😂😂Umasikini tu unakusumbua huna lolote.
Shauri yako. Unadhani nafanana na wewe?😂😂Umasikini tu unakusumbua huna lolote.
Hakuna siku nishaipotea hapa. Kwanza huwa mnatamani sana nipotee kabisa, ama unadhani sijui hilo?😂😂Ndio shida yako, kesho ukiletewa watu wanahama Starlink na Safaricom inawaibia na monopoly unapotea.
Unajua hata maana ya kupotea kimjadala? Au niseme kua "Unapita kama unaaga maiti"Hakuna siku nishaipotea hapa. Kwanza huwa mnatamani sana nipotee kabisa, ama unadhani sijui hilo?😂😂
loan from who na kwann anaiendesha SGR mpaka leo hii??😂😂😂😂😂Ebu tuonyeshe tuone proprietor ya Expressway. 😂😂🤣😂.
SGR ya Kenya is loan just like ya Tanzania and Ethiopia😂😂🤣😂
Tanzania mliomba dunia kote just to finance your SGR. Zingine mliomba Kenya😂😂🤣😂loan from who na kwann anaiendesha SGR mpaka leo hii??😂😂😂😂😂
Hata ujifariji vipi lakini leo Gor Mahia aka K'Ogalo (jamaa unaodai wana basi zuri Africa nzima) wamebondwa tatu bila nyumbani.😎
Unaumia ukiwa wapi? More of Talanta.Hata ujifariji vipi lakini leo Gor Mahia aka K'Ogalo (jamaa unaodai wana basi zuri Africa nzima) wamebondwa tatu bila nyumbani.😎
Najua ulikuwa unasubiri Simba afungwe kama alivyobondwa Gor Mahia leo ha ha ha😎Unaumia ukiwa wapi? More of Talanta.
View attachment 3096818
View attachment 3096819
View attachment 3096823
narudia kama ni loan kwann anaiendesha mchina leo hii miaka 7 😂😂Tanzania mliomba dunia kote jist ro finance your SGR. Zingine mliomba Kenya😂😂🤣😂
Lower your expectations😅Unaumia ukiwa wapi? More of Talanta.
View attachment 3096818
View attachment 3096819
View attachment 3096825
Condition za loan za Kenya na Tanzania zinafanana?Ebu tuonyeshe tuone proprietor ya Expressway. 😂😂🤣😂.
SGR ya Kenya is loan just like ya Tanzania and Ethiopia😂😂🤣😂
Leta source yako kupingaAnd you believed it?
ww huamini kwani??😂😂😂😂And you believed it?
Ndio tuliomba tukapata wewe umeomba mkakosa ikabid muuze kabisa airportTanzania mliomba dunia kote jist ro finance your SGR. Zingine mliomba Kenya😂😂🤣😂