Usiruke ruke.I earn almost 10x of whatever you are earning so usijaribu kujilinganisha na mimi😂😂🤣😂
Kwa huo mshahara wako huwezi ukaishi vizuri huko Kenya kama mimi navyoishi Tanzania.
Au unataka tufanye comparison!??
Usiruke ruke.I earn almost 10x of whatever you are earning so usijaribu kujilinganisha na mimi😂😂🤣😂
Ebu tufanye comparison. Start.Usiruke ruke.
Kwa huo mshahara wako huwezi ukaishi vizuri huko Kenya kama mimi navyoishi Tanzania.
Au unataka tufanye comparison!??
Ninyi tungewafilimba goli nyingi zaidi ya hizo.Timu ya Tanzania ndio imebonda Gor ama?
Yet no Tanzanian team has ever defeated Gor Mahia since 1975😂😂🤣😂Ninyi tungewafilimba goli nyingi zaidi ya hizo.
Maana hao Al ahly wakijaga benjamin mkapa huwa hawatoki salama.
1)Onesha kwanza unapoishi ama ulipopanga maana najua hauna nyumba we mpangaji.Ebu tufanye comparison. Start.
Umeanza tena matusi yako. I know you know me.Sawa gay.
Mikono yake inathibitisha kuwa huyo ni hohehahe. Hana mbele wala nyuma1)Onesha kwanza unapoishi ama ulipopanga maana najua hauna nyumba we mpangaji.
Hata TP mazembe 2021 alisema hivyo hivyo kwa Yanga mwishowe akapigiga nje ndani.Yet no Tanzanian team has ever defeated Gor Mahia since 1975😂😂🤣😂
Wewe ndio umesema tufanye comparison, it’s up to you to start then I counter. Ama unadhani sikujui? Utakimbia hapa after nimekuonyesha😂😂🤣1)Onesha kwanza unapoishi ama ulipopanga maana najua hauna nyumba we mpangaji.
Ooooh aya subiri dakika moja.Wewe ndio umesema tufanye comparison, it’s up to you to start then I counter. Ama unadhani sikujui? Utakimbia hapa after nimekuonyesha😂😂🤣
Umekula kweli leo?Wewe ndio umesema tufanye comparison, it’s up to you to start then I counter. Ama unadhani sikujui? Utakimbia hapa after nimekuonyesha😂😂🤣
Yeah, I know utaenda kulilia moderators😂😂🤣😂Umeanza tena matusi yako. I know you know me.
Kwani hauko kwako?. Ama hiyo dakika moja ni ya kuomba picha?😂😂😂Ooooh aya subiri dakika moja.
Ndio sipo kwangu.Kwani hauko kwako?. Ama hiyo dakika moja ni ya kuomba picha?😂😂😂
Tutawanyorosha proper.Hata TP mazembe 2021 alisema hivyo hivyo kwa Yanga mwishowe akapigiga nje ndani.
Na wewe tunakusubiri uingie 18 zetu kama alivyoingia TP mazembe na Al ahly.
Haya basi omba picha utuonyeshe😂😂Ndio sipo kwangu.
Aah wapi.Tutawanyorosha proper.