NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,044
- 19,239
Wewe maskini wa JF kazi yako ni kuitisha picha za watu wakati wewe mwenyewe hujawai toka nje ya Vumbistan? Nakumbuka ulishindwa challenge ya Rhaenyra Targaryen kupost tu picha Moja ukiwa nje ya Vumbistan alafu upo unataka tujadili mambo ya usafiri? Endelea kupost vile vipicha vyako vinakaa baboon na usiniharibie wakati.😂😂😂Ni dhahiri many Tanzanians humu JF waliwahi kufika kenya na wanapost picha humu unlike you fool, unatuambia umewahi kufika Bongo but no pictures.. tangu ni join huu uzi nina uhakika na mkenya mmoja tu kuwahi kufika Tz yule jamaa wali mu expose akaamua kukimbia uzi.