Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wivu wa kikunya kaka,hata yale mazoezi ya kijeshi na china juzi kati yaliwaumiza mno kunyan,TZ ni mshirika namba 1 wa china kwa africa,na bado atujipendekezi wala kukopa kwa sana kwao,hamna ambacho tutakitaka kwa china halafubwakatukatalia,hata ile expressway kama ya ukunyan tukiitaka tutaipata tena kwa masharti nafuu,hii opportunity angeipata mkunya tusingelala humu,
Ndio maana ukitizama mikataba tunayoingia sisi na China ni more favorable kuliko ya Kenya na China.
Magufuli kipindi yeye waziri wa miundombinu aliwahi kubomoa barabara iliyojengwa na mkandarasi wa China na kuhimiza ijengwe imara.
Embu nambie Mkenya angefanya hivyo!?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Tatizo la ndugu zetu hawa wamekuwa wakionyesha wivu pale Tanzania inapoonekana kufanya vzr katika mambo wanayotamani wangekuwa wao, ni muda mrefu humu wamekuwa wakikashifu China na kusema sisi ndugu zetu wachina wao ndugu zao wamarekani, lkn leo baada ya kuona China anatoa mpunga na Marekani anatoa maneno wameanza kusema kuwa wao ndiyo wanajuana zaidi na mchina kuliko mtanzania, lkn mchina sio mnafiki, anaonyesha kwa vitendo huko kwenye mkutano.
 
-If is not known anywhere mataifa makubwa yaliwezaje kumpigia kura Tulia Ackson kuwa rais wa IPS!??
-Samia Suluhu Hassan amewezaje kuwekwa katika list ya most influential people in the world akiwa na list moja ya Julius Nyerere!??
-Asharose Migiro aliwezaje kuteuliwa kuwa UN General Secretary??
Mnajulikana kwa vitu havina maana.
Kwamba UN Secretary General is Migiro? Did Antonio Gutierrez resign as the UN Secretary General? Mibongolala jameni? Desperation mtaacha lini?
 
Mmmmmae unaona baada ya Kusadia walivyokimbilia kwa dereva wapewe chao 😂😂😂😂 Imagine dereva ndio kwanza umetoka store unapeleka huna kitu utawapa nini rundo lote hilo? 😂 Kupitia Video hii tunapata INDICATORS kibao za hali ya Uchumi ,Maisha na Utu 😂😂😂😂.

Nina Uhakika ingekua Bongo wangesaidia kunyanua na kuondoka zao. Jionee tofauti.
Hao wote ni jobless wanasubiri ajali itokee waibe hawana kingine 😅😅😅😅😅😅
 
Kwamba UN Secretary General is Migiro? Did Antonio Gutierrez resign as the UN Secretary General? Mibongolala jameni? Desperation mtaacha lini?
Fala wewe Asha Rose Migiro aliwahi kuwa UN general secretary miaka 15 iliyopita.
Ndio maana nimetumia neno aliwezaje kuteuliwa.
 
Daily Dose 😎😎😎

1725467448653-png.7838000
I can smell something Juakali in the making. Chinese sucks hard 😀
 
Back
Top Bottom