President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Hiyo ni methali, nahau au msemo? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Maana yake ni nini?Urafiki wa Tanzania na China ni kama wa ndovu na panya.
Hiyo ni methali, nahau au msemo? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Maana yake ni nini?Urafiki wa Tanzania na China ni kama wa ndovu na panya.
Atake asitakeTz ndio mshirika mkubwa wa China 🇨🇳 here in Africa ukitaka ni hivyo usipotaka ni hivyo..
Nyinyi ni WAtu WA vichekesho ndio maana mambo ya msingi kwenye nchi yanawatoa kamasi, so hapa kulikua na haja gani kujengwa hii overpass, munatumia pesa Vibaya alaf ni za mikopo SASA 😅😅😅😅Makutano Kirinyaga County
View attachment 3087606
Wacha hasira we nae 😅😅😅😅😅Gazeti ya bongo ikiandika headline kama hii, serikali wanaifunga immediately.