NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,388
- 17,969
Wivu 🤣 🤣 🤣I can smell something Juakali in the making. Chinese sucks hard 😀
Wivu 🤣 🤣 🤣I can smell something Juakali in the making. Chinese sucks hard 😀
I speak both, but right now I don't feel like conversing in Kiswahili. Can you converse in English?
Can you bring some proof about that?
Fala wewe Asha Rose Migiro aliwahi kuwa UN general secretary miaka 15 iliyopita.
Ndio maana nimetumia neno aliwezaje kuteuliwa.
Fala wewe Asha Rose Migiro aliwahi kuwa UN general secretary miaka 15 iliyopita.
Ndio maana nimetumia neno aliwezaje kuteuliwa.
Kunyan sio ndugu zetu mkuuTatizo la ndugu zetu hawa wamekuwa wakionyesha wivu pale Tanzania inapoonekana kufanya vzr katika mambo wanayotamani wangekuwa wao, ni muda mrefu humu wamekuwa wakikashifu China na kusema sisi ndugu zetu wachina wao ndugu zao wamarekani, lkn leo baada ya kuona China anatoa mpunga na Marekani anatoa maneno wameanza kusema kuwa wao ndiyo wanajuana zaidi na mchina kuliko mtanzania, lkn mchina sio mnafiki, anaonyesha kwa vitendo huko kwenye mkutano.
Kwa akili yako unazani akuna showroom office ya Land Rover na Jaguar Dar es salaam?? 😂 😂Bongolslum mumejaza car dealership za mchongo. You are not beating this allegation. 🤣🤣🤣
JLR Dealership Kenya.
View attachment 3087994
Hakuna franchised dealership wa kuuza Jaguar na Land Rover pekee, bongo slum kuna distributor tu. 🤣 🤣 🤣 Huko mtu akifungua franchised dealership ya JLR atafunga tu ju ya hasara because the market is very small,Kwa akili yako unazani akuna showroom office ya Land Rover na Jaguar Dar es salaam?? 😂 😂
Yaani mtu asiewajua Wakenya akiwasikiliza anaweza kufikiri ni nchi fulani kama Germany,Singapore au Canada kumbe ni mfano mzuri wa third world country. Sasa nyie mna soko gani la maana la LR? Hata kama kuna tofauti na Tz ni ndogo sana. Don't get ahead of yourselves you idiots.Hakuna franchised dealership wa kuuza Jaguar na Land Rover pekee, bongo slum kuna distributor tu. 🤣 🤣 🤣 Huko mtu akifungua franchised dealership ya JLR atafunga tu ju ya hasara because the market is very small,