Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wivu 🤣 🤣 🤣
Hahaha sasa mzee hakuna hata crane moja , kitu gani kinajengwa hapa ? 😀😀😀
D5F92FF5-DE51-49E9-951B-FD9F5221499B.jpeg
42F74387-342D-41CB-9311-3ECB1B256EA9.jpeg
 
Yaani mtu asiewajua Wakenya akiwasikiliza anaweza kufikiri ni nchi fulani kama Germany,Singapore au Canada kumbe ni mfano mzuri wa third world country. Sasa nyie mna soko gani la maana la LR? Hata kama kuna tofauti na Tz ni ndogo sana. Don't get ahead of yourselves you idiots.
Kenya is a regional powerhouse just like South Africa, Egypt or Nigeria. Kama hakungekua na soko, JLR hawangekua na dealership Nairobi.
No photo description available.




No photo description available.



No photo description available.
 
Yaani mtu asiewajua Wakenya akiwasikiliza anaweza kufikiri ni nchi fulani kama Germany,Singapore au Canada kumbe ni mfano mzuri wa third world country. Sasa nyie mna soko gani la maana la LR? Hata kama kuna tofauti na Tz ni ndogo sana. Don't get ahead of yourselves you idiots.
Hao jamaa brainwash imewaingia vibaya mno,mkenya anaishi kibera ni jobless akiamka asubuhi anapiga koti lake kubwa kama yuko london kipindi cha winter time,atatoka kibera hiyo asubuhi hadi kwenye expressway atapiga picha then arudi zake kibera basi hapo anajiona mzungu 😀
 
Kenya is a regional powerhouse just like South Africa, Egypt or Nigeria. Kama hakungekua na soko, JLR hawangekua na dealership Nairobi.
No photo description available.




No photo description available.



No photo description available.
Blah blah blah mwisho wa siku ni nchi ya dunia ya tatu yenye changamoto zote za dunia ya tatu. Eti regional powerhouse....mkitumia hivyo vi misemo vya Kiingereza tayari mnajiona level za UK, GErmany na akina Sweden huko! Pambaneni kumaliza njaa,magonjwa na umaskini acheni kujidanganya.
 
Back
Top Bottom