President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,792
Ukikua utakujua kugundua kuwa wewe ni most stupid person on this planetBongolalas wa informal economy na car dealerships za mchongo can't relate. 🤣 🤣 🤣
View attachment 3087955
Ukikua utakujua kugundua kuwa wewe ni most stupid person on this planetBongolalas wa informal economy na car dealerships za mchongo can't relate. 🤣 🤣 🤣
View attachment 3087955
I wonder if the Chinese are also dickriding you this hard..................oh sorry................the average Chinese doesn't even know a country named Tanzania exists.Nyerere na mao walianzisha hadi kampuni ya meli kati ya china TZ na mpaka leo bado,binafsi uncle's zangu wamezunguka sana dunia na hizo meli ambazo crews wake ni wa TZ na wachina tu,ofisi zipo pale kisutu kwa upande wa TZ,alipoingia mkapa ile kampuni ikaanza kulega lega kwa upande wa TZ,ilianza na meli 4 za bulk carrier sasa hivi walii charter kwa tajiri wa kichina ni kampuni kubwa ilikua inaitwa sinota kipindi chote mpaka serikali ya TZ na china walipoikodisha sasa hivi inaitwa cosco,ni mojawapo ya kampuni kubwa ya meli duniani ila wa TZ wengi hawajui,ofisi zipo kisutu na mpaka leo wa TZ wanafanya kazi kwenye hizo meli,(mabaharia),so ushirikiano wa TZ na china sio wa kimasihara View attachment 3087954View attachment 3087956View attachment 3087957
Diplomatic precedence ndio maana unamuona na Mswati hapo mbele.Naomba wataalamu wa picha watupe tafsiri sahihi ya picha hizi zilizopigwa na wachina kwenye mkutano wa FOCAC 2024 zinazohusu masuala ya Diplomasia
As far as Tanzania and Kenya are concerned.
View attachment 3087626
View attachment 3087629
View attachment 3087630
View attachment 3087632
How?Gone back to default settings. Sad.
And you think that same average Chinese knows about your poor country?😎................the average Chinese doesn't even know a country named Tanzania exists.
And you think that same average Chinese knows about your poor country?😎
Bongolslum mumejaza car dealership za mchongo. You are not beating this allegation. 🤣🤣🤣
Mimi huwa sijadiliani trivial issues mdogo wangu. Tumewaambia mtuletee Big and Vital Projects mnajificha mashimoni.Bongolslum mumejaza car dealership za mchongo. You are not beating this allegation. 🤣🤣🤣
JLR Dealership Kenya.
View attachment 3087994
Cry harder. 🤣 🤣 🤣Mimi huwa sijadiliani trivial issues mdogo wangu. Tumewaambia mtuletee Big and Vital Projects mnajificha mashimoni.
Projects ambazo unatakiwa kuleta:-
- Marine Transportation
- Agricultural Projects
- Electrification of a Country
- Water Projects
- Livestock and Fishing Projects
- Road Construction Projects (BRT etc)
- SGR Projects
- Industrial projects
Na mengine yanayoendana na hayo. Zaidi ya hapo wewe utakuwa unaleta hoja za watoto wadogo.
Dunia yote inajua Kundustan is developing backwardsCry harder. 🤣 🤣 🤣
No, he doesn't. That's why we aren't dickriding them. One thing I'm sure about though, the Chinese know about Kenya more than about Tanzania.And you think that same average Chinese knows about your poor country?😎
Huyo achana naye atakuumiza kichwa.Kiswahili hujui, Kingereza hujui. 🤣 🤣
Hapo mnapigia mbuzi gitaa.Nyerere na mao walianzisha hadi kampuni ya meli kati ya china TZ na mpaka leo bado,binafsi uncle's zangu wamezunguka sana dunia na hizo meli ambazo crews wake ni wa TZ na wachina tu,ofisi zipo pale kisutu kwa upande wa TZ,alipoingia mkapa ile kampuni ikaanza kulega lega kwa upande wa TZ,ilianza na meli 4 za bulk carrier sasa hivi walii charter kwa tajiri wa kichina ni kampuni kubwa ilikua inaitwa sinota kipindi chote mpaka serikali ya TZ na china walipoikodisha sasa hivi inaitwa cosco,ni mojawapo ya kampuni kubwa ya meli duniani ila wa TZ wengi hawajui,ofisi zipo kisutu na mpaka leo wa TZ wanafanya kazi kwenye hizo meli,(mabaharia),so ushirikiano wa TZ na china sio wa kimasihara View attachment 3087954View attachment 3087956View attachment 3087957
Anaelewa sana ila wivu ndio unaomsumbuaHapo mnapigia mbuzi gitaa.
Wewe mtu unamueleza kuhusu urafiki anaanza kuleta judgement ya nini unamuingizia China kuliko USA na Ulaya.Anaelewa sana ila wivu ndio unaomsumbua
Can you bring some proof about that?...the Chinese know about Kenya more than about Tanzania.
Wivu wa kikunya kaka,hata yale mazoezi ya kijeshi na china juzi kati yaliwaumiza mno kunyan,TZ ni mshirika namba 1 wa china kwa africa,na bado atujipendekezi wala kukopa kwa sana kwao,hamna ambacho tutakitaka kwa china halafubwakatukatalia,hata ile expressway kama ya ukunyan tukiitaka tutaipata tena kwa masharti nafuu,hii opportunity angeipata mkunya tusingelala humu,Wewe mtu unamueleza kuhusu urafiki anaanza kuleta judgement ya nini unamuingizia China kuliko USA na Ulaya.
Ukishasema hivyo ushahama upande.
Kuna mahusiano ya kibiashara peke yake,kuna mahusiano ya kijeshi peke yake,kuna mahusiano ya kiutawala peke yake na kuna urafiki wa ushirikiano wa kiutawala,kijeshi na kibiashara kama ulivyo wa China na Tanzania.
Diplomasia mtu hajui.
Akafuatilie muungano wa China na nchi za Asia Pacific ambapo wanafanyaga kikao chao kinaitwa Shang-lari dialogue.
Huo muungano ni sanasana wa kiutawala na kijeshi.
Nchi chache ndio zimesaini ushirikiano wa kibiashara.
Unaumia ukiwa wapi,kuna nafasi za ajira huku njoo na pasi ya TZ utapata ajira bila wasiI wonder if the Chinese are also dickriding you this hard..................oh sorry................the average Chinese doesn't even know a country named Tanzania exists.
Kishavurugwa huyoCan you bring some proof about that?
Atakwambia aliwahi kutembea China hivyo anajua anachoongea.Can you bring some proof about that?