Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzanian is not known anywhere.
-If is not known anywhere mataifa makubwa yaliwezaje kumpigia kura Tulia Ackson kuwa rais wa IPS!??
-Samia Suluhu Hassan amewezaje kuwekwa katika list ya most influential people in the world akiwa na list moja ya Julius Nyerere!??
-Asharose Migiro aliwezaje kuteuliwa kuwa UN General Secretary??
Mnajulikana kwa vitu havina maana.
 
Spana huko FB mkenya akaishia kusema 'lala sasa'🤣🤣🤣🇹🇿

Screenshot_20240903-222542~2.png
 
Unaona kubebwa ufala? Rais wenu akienda ziara ya ombaomba mnasherehekea, huku kwetu tunamkashifu.
Kama unazungumzia ziara ya China basi ujue Tanzania ni mshirika wa kwanza wa China hapa Afrika.
Tanzania ni nchi yenye urafiki muhimu kwa China hapa Afrika kuliko taifa lolote.
Ndio maana hata rais Samia alikaribishwa kwa heshima kuliko marais wengine ikiwemo rais wako Ruto.
 
Huu Ndo uwezo wao msiwashangae na kilee kizungu mingi…
Nyinyi kiingereza ndio hamuelewi. Read and understand the content. Secondly, Nithi bridge ipo mbali sana na Nyanza.

Lastly, huko kwenu bongoslum ndio ajali za barabarani hazitokei? Bure kabisa!
 
Back
Top Bottom