buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,129
- 13,110
So hii inachange anything ndugu Bomu la Machozi?Walisema tumeiba picha za nchi zingine? Obviously they will not believe.😂😂😂👇👇
![]()
View attachment 3048727
View attachment 3048730
Naona sasa ushakua kichaa, kapitie Video vya ExplorewithBertin.
Now upo huku?Tukupatie speakers upige nazo nduru? Najua unaumia 😂😂🤣🤣🤣
Kenyan SGR
View attachment 3049002
Vs
SGR ya mbuzi😂😂👇👇
View attachment 3049003
Hata mimi nikamshangaa Matako huyo.Where did you get that info ya bold?
Secondary ulisoma shule gani?haha maendeleo yanapokuwa mbele watu nyuma, binafsi huwa najiuliza with all due respect kwa serikali yetu kujenga fast train ni jambo jema, lkn tumejiandaa na mambo negative yanayokuja na maendeleo, mfano ajali, treni inayokwenda 160 km/h iki crush ni maafa, je, tuna uwezo na vifaa vya ku pull majeruhi waliobanwa na vyuma na kuwapatia huduma? tuna hata hosptali iliyospecialize kwenye ajali nakumbuka Nyerere alijenga Hosp. ya Tumbi Kibaha kudili na majeruhi wa ajali sijui hali yake ikoje leo hii lkn vinginevyo ni jamabo jema ila pia lazima tujiandae kwa maafa yakitokea tutawasaidia vipi watu wetu au ndiyo wata bleed mpaka kifo?
Hiloni kundi la mafisadi na mabeberu waliokuwa wakimpinga Magufuli kwa kumuandika vibaya. Mbona husikii sasa hivi kuhusu hizo data?
Ndio maana mko kwenye maandano na linchi lenu ni flat broke kwakua hampendi uhalisia. Hilo eneo idadi ya watu haufiki hata laki, ujenge stesheni kubwa kwa ajili ya nani na nini?
Waliweka mpaka overhead catenary kuwa zitakuwani za umeme 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii ndio kitu waliahidiwa na politicians 🤣🤣
Ila wakenya watafika mbinguni hawana viuno na nyonga
View attachment 3050214View attachment 3050216
Hata mke wa Ruto na mama Ngina wanaweza cheza na Manchester, ila ni mpira gani watonesha?Gor and Karionangi have played with Everton and Hull City😂
😂😂😂 sikujua kama airport inataka kuuzwa
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1815811634079703475?t=z16ERIHGsxOuYhtfHNVcgw&s=19
Itabidi atupe majibu mazuri maana wao ni petty super power aka YUES ya Africa 😁Tumuulize Teargas why hawajaenda huko kwao si kuna Ulinzi, Na ile ya 2k seats, Nyayo wakacheze.
Madini mkakati 😁
Kwa hiyo fare yao naenda DubaI na kurudi kwa ATCL 😁Ndio maana mko kwenye maandano na linchi lenu ni flat broke kwakua hampendi uhalisia. Hilo eneo idadi ya watu haufiki hata laki, ujenge stesheni kubwa kwa ajili ya nani na nini?
Mme leta coaches zaidi ya 18 kwa gharama kubwa kisa tu mkitaka kujifanya mko juu dhidi ya SGR yetu. Treni yenu abiria wenu7 wana lalama kuwa ni noisy na too slow na huchukua masaa zaidi ya sita. Sasa ni nani atapanda hizo coaches kwa gharama ya elf 12 ya Kenya na kukaa masaa 6 wakati ndege ni cheaper?
Utalia sana Mzee 🤣 na bado, ulitaka tuweke canopy za nini?? Tiles??🤣
Where did you get that info ya bold?
So according to you parliament ya Dodoma ilijengwa 1960s?Where did you get that info ya bold?
kama bandari na brt 😬😬Hela ya modernization hamna the only option ni kuuza mwekezaji aboreshe miundombinu otherwise ikiendelea kubaki mkononi mwa Serikali JKIA itakuwa banned na kiwanja kufungwa maana kiko beyond its use.
Wawekezaji Huwa wanatafuta nini?
Chizi huyoUnmehamia kwenye namba of passengers? 😂😂😂 Sasa mbona huku Ndio utalia kabisa? A train to morogoro alone has registered a larger number of travelers than than of kunyalanders.