Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gor and Karionangi have played with Everton and Hull City😂
Everton na Hull city ni vitimu rank ya chini sana.
Augsburg ameshiriki hadi Europa na Euefa hivyo vi Hull city na Everton ni sawa na QPR tu.
Usisahau Simba ilicheza na Sevilla FC ya LALIGA ambayo ni bingwa wa Europa mara tatu simultaneously.
 
Ulipanda ukienda wapi? 😂😂😂
Hana hoja huyo achana naye mpuuze.
🍑🍑🍑🍆🍆🍆😂😂Mpini umeshawaingia hao.
Walisema tukijenga hata 1 metre watafunga acc JF,mara treni hazitakuja labda 2040 aya mwaka huu zimeanza kazi😂😂😂😂.
Sasa hivi wanaanza kutafuta justification zingine mara oooh canopy mara oooh walemavu mara oooh sijui kukaa kutizamana.
 
Everton na Hull city ni vitimu rank ya chini sana.
Augsburg ameshiriki hadi Europa na Euefa hivyo vi Hull city na Everton ni sawa na QPR tu.
Usisahau Simba ilicheza na Sevilla FC ya LALIGA ambayo ni bingwa wa Europa mara tatu simultaneously.
Wewe hujuangi ball. Augsburg has only played Europa Leuge once in their history while Everton has played it 9 times.


 
Anashingilia farmers league🤣🤣😂😂.

Ingekuwa Bayern ama Dortmund at least ingeleweka, lakini Augsburg😂😂
Bundesliga ni league ya timu moja ambayo ni Bayern Munich na pengine Dortmund. Lakini sasa vitu kama Augsburg naiskia leo
 
Wewe hujuangi ball. Augsburg has only played Europa Leuge once in their history while Everton has played it 9 times.


Basi sawa tuseme Augsburg umepatia.
Unaizungumziaje SEVILLA FC iliyocheza na Simba FC?
Everton na Hull city zinafikia ukubwa wa Sevilla ambaye ana makombe zaidi ya 3 ya Europa league!?
😂😂😂😂🍑🍑🍆🍆🍆Ni wapi unataka kuchomokea!?
 
Heb leta hiyo mechi yenye girl maria kacheza na team za epl hiv karibuni. 😂😂😂 I mean this pre season.
Waache walete past tense.
Si wanataka habari za past tense!?
Aya sasa kuna timu ambayo kati ya Hull city na Everton inaifikia Sevilla ya Spain kwa ubora!?
Simba misimu mitano iliopita imecheza na Sevilla.
 
Back
Top Bottom