Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata msemeje kwasasa inatambulika kuwa Tanzania ina reli bora ya SGR na locomotives bora ukanda huu wa Afrika mashariki na kati.
Bora kwenu?😂😂🤣🤣

Ebu niambie hapa kiwete anaingiaje?😂😂👇👇🤣
IMG_0391.jpeg
 
Ukileta evidence mtu akilalamika kuhusu noise na kutikisika kwa treni ya kenya naondoke jf
Mshasema sgr railway yetu ikifika km 200 mtaondoka jf but still mpo hapa,halafu kikuyu na kalenjini leo mko road na nyinyi kumsapoti ruto,sie tunawachora tu mkianza kimungikiana mtafikia refugees camp kama tulivyowaweka wacongo,burundi na warwanda,amtopata chance ya kujichanganya na sisi mitaani
 

Attachments

  • VID-20240723-WA0019.mp4
    4.4 MB
Mshasema sgr railway yetu ikifika km 200 mtaondoka jf but still mpo hapa,halafu kikuyu na kalenjini leo mko road na nyinyi kumsapoti ruto,sie tunawachora tu mkianza kimungikiana mtafikia refugees camp kama tulivyowaweka wacongo,burundi na warwanda,amtopata chance ya kujichanganya na sisi mitaani
Haya sasa mpe mama simu niongee nae.
 
Hii ndio kitu waliahidiwa na politicians 🤣🤣
Ila wakenya watafika mbinguni hawana viuno na nyonga

images - 2024-03-21T164530.464.jpeg
images - 2024-03-21T164538.215.jpeg
 
Taratibu zipo za kuingizwa kiwete.
Hata NGR iko kama hivyo na viwete wanaingia.
Kuna vifaa vya kuweka hapo kama itaonekana kuna kiwete.
Alafu mbona mjenge shade bonoko kama hii?🤣🤣😂😂

Unashuka tu hivi unanyeshewa na mvua. See the distance between the edge of the shade and the train door😂😂🤣👇👇
IMG_0392.jpeg
 
Back
Top Bottom