Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatunaga makuu siye upande ule ungeskia "Internationale Green Terminus"!
Mnapenda kujitekenya mkicheka wenyewe.

maxresdefault.jpg
85_n.jpg
voi_station.jpg
maxresdefault.jpg
1200px-Ngong_SGR_station%2C_16-10-2019.jpg
 
Nilikuwa sijaiona hii, kazi ipo hapa... hivi unaelewa kuwa real numbers zinaanzia negative infinity to positive infinity na katika hizo kuna rational na irrational numbers. Na kwa kuongeza tuu, at any instant in a number line, kati ya real number moja na nyingine, let say 2 and 3 kuna infinite real numbers? Sasa unaposema "infinity is not a value" unamaanisha nini?
Hajui kwamba kati ya 2 na 3 kuna mamilioni ya namba ambazo huwezi kuhesabu, wakenya wengi hawajui hesabu wasamehe bure.
 
Designers don’t built. They only design and then give instructions to be followed by civil and electrical engineers.

K&M which is the Kenyan company is the brain behind TPA Tower, Dodoma Parliament and Rock City Mall.
Hivi nyie nyangau ni lugha gani mnaweza kuongea? Lugha ya mkoloni shida swahili shida au kilugha ndio mnaweza.
 
Back
Top Bottom