haha maendeleo yanapokuwa mbele watu nyuma, binafsi huwa najiuliza with all due respect kwa serikali yetu kujenga fast train ni jambo jema, lkn tumejiandaa na mambo negative yanayokuja na maendeleo, mfano ajali, treni inayokwenda 160 km/h iki crush ni maafa, je, tuna uwezo na vifaa vya ku pull majeruhi waliobanwa na vyuma na kuwapatia huduma? tuna hata hosptali iliyospecialize kwenye ajali nakumbuka Nyerere alijenga Hosp. ya Tumbi Kibaha kudili na majeruhi wa ajali sijui hali yake ikoje leo hii lkn vinginevyo ni jamabo jema ila pia lazima tujiandae kwa maafa yakitokea tutawasaidia vipi watu wetu au ndiyo wata bleed mpaka kifo?