Mkuu umesoma kilichoandikwa kiufasaha!?Mshamba wewe hao ni warangi na wanyaturu wa Dodoma ukija bongo utatapeliwa
Au unakurupuka kusoma!?
Hizo picha nimeleta mimi nikimuonesha kuwa hao ni Warangi ama wanyaturu.
Nashangaa imani attack mimi😂😂😂😂.Nina mke mnyaturu nisijue wanyaturu walivyo!?