ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,418
- 88,511
Halafu kuna mpumbavu kawadanganya ati Viti havipaswi kugeukiana kama mlivyodanganywa Talanta stadium haipaswi kuwa na runningtrack! Issue ni nginjanginga vimegeukiana yamebanana halafu hamna meza!Mapesa yote hayo kulipa nauli kisa hizi window blind View attachment 3050031
Ninakataa Tanzania kupika takwimu kwasababu zifuatazo;Kubali tu kwamba Tanzania is pathetic. As for cooking it’s only Tanzania that is known for cooking their figures😂😂👇👇👇
AMA unadhni mkizoea kupika data zenu basi kila nchi inapika?😂👇👇
View attachment 3050028
Ripoti ya 2020 na mbona mpaka sasa uchumi wa Tanzania una nguvu! Nani Ana Budget deficit Kubwa Kati ya Tanzania na UKUNYA? Nani anaandamana?Ninakataa Tanzania kupika takwimu kwasababu zifuatazo;
-Tunafanya miradi mikubwa kuliko Kenya.
-Tumefanya miradi mingi kipindi cha Magufuli kwa pesa za ndani,kitu ambacho Kenya hamjawahi,hamuwahi na hamtowahi kufanya.
-Hutosikia mishahara ikichelewa ya watumishi wa umma au kupitiliza muda wa kulipwa.
-Hatuna tozo za kupitiliza hadi katika unga wa ugali kama Kenya.
-Tuna akiba ya kigeni kubwa kuliko hata Kenya.
-Huduma za kijamii toshelezi hasa za afya.Ndio maana HUSIKII TANZANIA IKIISHIWA DAWA ZA TB KAMA KENYA.
Yanayofanyika Tanzania yanafanyika kwa fedha za serikali nchi inajengwa kwa fedha za serikali kitu ambacho Kenya hukioni MILELE DAIMA.
-Ndio maana hutuoni tukiingia kwa barabara kuandamana kisa ugali.
Nchi inayopika data ni Kenya.
Duh kipchirchir arap Teargas hatarudia tena maujinga yake😎Wanaangaliana 10 kwenye cabin nzima huku mnaangaliana wote 😅😅😅View attachment 3050067View attachment 3050069View attachment 3050070
Kaka hata ikiwa ripoti ya 2020 ila tunajua kwanini hapa Africa kanda na nchi nyingi ziliumia kiasi ya kutoa habari za uongo.Ripoti ya 2020 na mbona mpaka sasa uchumi una nguvu! Nani Ana Budget deficit Kubwa Kati ya Tanzania na UKUNYA? Nani anaandamana?
Atapanda nani hii? 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C9w2hh4K8pm/?igsh=bml6YmZ3N3ljeTZu
Hata trade balance ya nyangau ni kubwa sana on the negativeRipoti ya 2020 na mbona mpaka sasa uchumi wa Tanzania una nguvu! Nani Ana Budget deficit Kubwa Kati ya Tanzania na UKUNYA? Nani anaandamana?
Asante kwa kutuonyesha dinning coach plus an old coach of economy😂😂🤣🤣👇👇Wanaangaliana 10 kwenye cabin nzima huku mnaangaliana wote 😅😅😅View attachment 3050067View attachment 3050069View attachment 3050070
Endelea kukataa 😂😂🤣🤣👇👇Ninakataa Tanzania kupika takwimu kwasababu zifuatazo;
-Tunafanya miradi mikubwa kuliko Kenya.
-Tumefanya miradi mingi kipindi cha Magufuli kwa pesa za ndani,kitu ambacho Kenya hamjawahi,hamuwahi na hamtowahi kufanya.
-Hutosikia mishahara ikichelewa ya watumishi wa umma au kupitiliza muda wa kulipwa.
-Hatuna tozo za kupitiliza hadi katika unga wa ugali kama Kenya.
-Tuna akiba ya kigeni kubwa kuliko hata Kenya.
-Huduma za kijamii toshelezi hasa za afya.Ndio maana HUSIKII TANZANIA IKIISHIWA DAWA ZA TB KAMA KENYA.
Yanayofanyika Tanzania yanafanyika kwa fedha za serikali nchi inajengwa kwa fedha za serikali kitu ambacho Kenya hukioni MILELE DAIMA.
-Ndio maana hutuoni tukiingia kwa barabara kuandamana kisa ugali.
Nchi inayopika data ni Kenya.
Imagine😂😂🤣🤣Karne ya 21 watu wanaangaliana 😬
View attachment 3050117
Kakanushe niliyoyaeleza kule.
Still it lacks comfort nginjanginja.Cheki workmanship ya mchina, Pavement na mlango aligned✔️
Proper shade✔️ 😍View attachment 3050123
Leta evidence mtu akilalamika kuhusu hizo vitu viwili niondoke jfStill it lacks comfort nginjanginja.
Slower, noisy and shaky.