Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna fence😂🤣🤣🤣
Haya ni maneno kutoka kwenye kinywa cha mpumbavu. Tz SGR is fancedd, hapa ni Dar👇🏾
IMG_0381.jpeg
na hapa ni huko porini 👇🏾
IMG_0368.jpeg
wewe ni kipofu?
 
Hile ajali naona hapa itakuwa hatari sana😂😂👇👇
View attachment 3049797

haha maendeleo yanapokuwa mbele watu nyuma, binafsi huwa najiuliza with all due respect kwa serikali yetu kujenga fast train ni jambo jema, lkn tumejiandaa na mambo negative yanayokuja na maendeleo, mfano ajali, treni inayokwenda 160 km/h iki crush ni maafa, je, tuna uwezo na vifaa vya ku pull majeruhi waliobanwa na vyuma na kuwapatia huduma? tuna hata hosptali iliyospecialize kwenye ajali nakumbuka Nyerere alijenga Hosp. ya Tumbi Kibaha kudili na majeruhi wa ajali sijui hali yake ikoje leo hii lkn vinginevyo ni jamabo jema ila pia lazima tujiandae kwa maafa yakitokea tutawasaidia vipi watu wetu au ndiyo wata bleed mpaka kifo?
 
Economy class viti ni ngumu kama mbao na hakuna charging system😂😂😂🤣🤣👇👇

View attachment 3049858
View attachment 3049859
😂😂 hili jamaa mbona ni chizi tu.. eti viti ngumu kama mbao. Unaeza kuona very clear hiyo ni leather mzee. Here is charging system inside the train 👇🏾
IMG_0341.jpeg
CCTV camera
IMG_0354.jpeg
toilets 👇🏾
IMG_0355.jpeg
free wifi
IMG_0340.jpeg
television 👇🏾
IMG_0363.jpeg
Haya kunya boga, Kimbwelu wewe 😂😂😂
 
😂😂 hili jamaa mbona ni chizi tu.. eti viti ngumu kama mbao. Unaeza kuona very clear hiyo ni leather mzee. Here is charging system inside the train 👇🏾View attachment 3049872CCTV camera View attachment 3049873toilets 👇🏾View attachment 3049874free wifi View attachment 3049877television 👇🏾View attachment 3049881 Haya kunya boga, Kimbwelu wewe 😂😂😂
So coach nzima iko na charging moja tu?😂😂😂🤣🤣🤣.

Hawa wanacharge simu aje juu sioni charger hapa?😂🤣🤣👇👇👇
1721729010970.jpeg

1721729057921.jpeg
 
So coach nzima iko na charging moja tu?😂😂😂🤣🤣🤣.

Hawa wanacharge simu aje juu sioni charger hapa?😂🤣🤣👇👇👇
View attachment 3049891
View attachment 3049892
Hivi wewe ni mzima? 😂😂😂 can’t you see the location that the cables are placed can not be seen from these two pictures u posted? 😂😂😂 check it again 👇🏾
IMG_0341.jpeg
 
So unataka kutuambia that socket is so small that you can’t see it here?🤣🤣🤣😂😂👇👇

View attachment 3049898
Wewe kila za 😂😂😂 Haya nieleze hii socket inaweza kupatakana kwenye eneo gani ndani ya hii Treni?👇🏾
IMG_0341.jpeg
je ni nyuma ya Viti? Pembeni? Au wapi? 😂😂😂😂 nimekupa assignment we mpumbavu Mmoja.
 
Wewe kila za 😂😂😂 Haya nieleze hii socket inaweza kupatakana kwenye eneo gani ndani ya hii Treni?👇🏾View attachment 3049905je ni nyuma ya Viti? Pembeni? Au wapi? 😂😂😂😂 nimekupa assignment we mpumbavu Mmoja.
Coach nzima iko na charging socket moja pekee🤣🤣😂😂

Views za nyuma hakuna Charging🤣🤣🤣😂

1721729965822.jpeg


Views za mbele and sideways pia bado hakuna charging sockets😂😂🤣🤣👇👇

1721730019192.jpeg



So since umekazana that every seat iko na charger, ebu tuanyeshe ziko side gani 😂😂
 
Back
Top Bottom