Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 3046366
View attachment 3045824


Tunakoelekea itabidi tuache kujadiliana na Wakenya 😂😂😂. Yaani mnadownload picha za Watu huko mnakuja kutuletea humu kujifariji na gari moshi lenu, yaani hata kuangalia kuna mtu mweupe wakati Kenya mnakuwaga weusi ti, umeshindwa
Alafu mtu akiacha kubishana nae anaona amewin?

Mpumbavu sana huyo jamaa kila mada analeta utoto na anakomaa nao kinoma.
 
Naona ujinga haukutoki, wacha nikuelimishe kidogo bongolala. Wakisema round off wanamaanisha keep it simpler by presenting it as the nearest significant number referenced. In this case, rounding off to the nearest hour he significant number reference is a full hour. Kwa hivo utaangalia hiyo figure iko kati ya which two full hours. Figure inayoongelewa ni 3:35, yani masaa matatu na dakika thelathini na tano. Hiyo figure iko katikati ya 3hrs na 4hrs lakini iko karibu na 4 hours zaidi (dakika 25) kuliko 3 hrs (dakika 35). Kwa hivo ukiround off 3:35 to the nearest hour unapata 4 hours. Nyie watu somo la hisibati liliwapita sana.Nimeone humu mkikosea vitu rahisi tilivyofunzwa shule ya msingi na mnajiita graduates. Masomo yenu duni sana.
Swetie na wewe umeingia kwenye huu mjadala I wont be harsh on you as I do to other kimas.
Ordinary figures which have a decimal scale of 0 to 9 you can round of to the nearest number but time is different it is normally rounded off to the near quarter hour. For instance 3.25pm will be rounded of 3.30pm and not 4pm as you and et al seem to suggest.
What I am teaching you is used worldwide.
 
Onaona sasa hisabati hamjui kabisa.
You are just an idiot who doesn’t know anything about Mathematics. So you think kuweka X=X+1 makes you special?

There is no answer for that equation as it’s self contradicting.
 
Yani Bongolala wanafuatilia siasa za Kenya mbaya sana. Washaajua new CSs Mimi hata kabla nijue.😂😂
Kama tunafatilia zenu sana, hapa Tz kuna mwanasiasa wenu yoyote alikua anapigiwa kelele kama ni Raisi wao kama huko kwenu kipindi cha Magufuli?

Kama hamfatilii mmejuaje CCM?
Kama hamfatilii mnajuaje Bunge letu limekemea kitu?

Na kama hujui Chochote kuhusu siasa zetu why unatuletea upuuzi wenu wa tiktok kisa Maandamano?

Nadhani nyie mtapona siku mkiacha kujipa UMUHIMU usio na faida, Ni miaka mingapi kila kukicha mnafanya Maandamano na matokeo yake nini?
 
Hivi kweli mnapoteza muda na huyo kichaa kuhusu treni? Wakenya wengi wamekuja kupanda treni yetu na wamekiri ni nzuri na ina mwendo. Far better kuliko ule mtungi wa gongo. Acheni kupoteza muda na mtu alieingia Nairobi ukubwani na kaishia Kibera.
Wewe inashangaza, sometimes nahisi sisi wenyewe ndio tunayataka kuwapa airtime like seriously.

Kwa nini wasiwaache waamini ili walale usingizi mzuri. Maana wako desperate.
 
Nairobi yote
 

Attachments

  • Screenshot_20240720-163612.png
    Screenshot_20240720-163612.png
    877.5 KB · Views: 8
Back
Top Bottom