Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya mambo mnayakuza na mnayaongea kwa mihemko.

Hebu ngoja sasa tufanye calculation

* President is a head of state anatakiwa kulindwa kwa namna zote. Hili tunakubaliana sote

* Viongozi hawawezi kwenye msafara hawawezi kutembelea IST. Na hili tunakubaliana sote

* Je, Raisi anatakiwa kwenye msafari awe na Magari ya state house mangapi?

NGOJA TUFANYE HIVI: Hayo magari hayakuzidi 80.

1. State House Cars - 6
2. Police Cars - 4
3. Mawaziri - 10
4. Wakuu wa Mikoa na wa wilaya - 10
5. DED - 6
6. Viongozi wa Dini na NGO - 10
7. Wajumbe wa NEC CCM - 6
8. Wabunge - 10
9. Wakandalasi wa miradi mbalimbali - 10
10. Wadau na wakereketwa wa Chama - 20

Hebu piga hesabu hapo.

Bado sijawaweka maafisa wa Chama na Serikali. Bado sujawaweka waandishi wa habari.

Mzee unakuwa too emotional than using brain. Maria Sarungi anawalisha matango pori.
Mfano ziara iko mbeya.. kwann wakiwa huko mbeya yasiandaliwa luxury makosta au hiace kwa ajili ya hao watu.. hata kama kila hiace moja itabeba watu watano.. mbona UK, marais akiwepo mmpiga mwingi nae alipandishwa kwenye hiace/coaster
1. State House Cars - suv 6 ✅
2. Police Cars - suv 4 ✅
3. Mawaziri - hiace 2 .. kila hiace mawaziri 5
4. Wakuu wa Mikoa na wa wilaya - hiace 2
5. DED - costa/hiace 1
6. Viongozi wa Dini na NGO - costa/hiace 1
7. Wajumbe wa NEC CCM - costa/hiace 1
8. Wabunge - hiace 2
9. Wakandalasi wa miradi mbalimbali - hiace 2
10. Wadau na wakereketwa wa Chama - costa/hiace 2
微信图片_20220129144731.jpg

微信图片_20220129144647.jpg
ToyotaHiace.png

Wakishatoka ziara, hizo zitawarudisha makao makuu ya mkoa kutawanyika au wengine yataendelea na ziara mikoa mengine
 
Mfano ziara iko mbeya.. kwann wakiwa huko mbeya yasiandaliwa luxury makosta au hiace kwa ajili ya hao watu.. hata kama kila hiace moja itabeba watu watano.. mbona UK, marais akiwepo mmpiga mwingi nae alikuwemo kwenye hiace/coaster
1. State House Cars - suv 6 ✅
2. Police Cars - suv 4 ✅
3. Mawaziri - hiace 2 .. kila hiace mawaziri 5
4. Wakuu wa Mikoa na wa wilaya - hiace 2
5. DED - hiace 1
6. Viongozi wa Dini na NGO - hiace 1
7. Wajumbe wa NEC CCM - hiace 1
8. Wabunge - hiace 2
9. Wakandalasi wa miradi mbalimbali - hiace 2
10. Wadau na wakereketwa wa Chama - hiace 2
View attachment 3046856View attachment 3046857
Wakishatoka ziara, hizo zitawarudisha makao makuu ya mkoa kutawanyika au wengine yataendelea na ziara mikoa mengine

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Haya ni mambo ambayo hayana uhalisia wowote. Hivi hiace inaweza kwenda na speed ya convoy?. Tuwe realistic japo kidogo
Halafu viongozi wa NEC unawaweka kwenye hiace?
Wakandalasi wa miradi mbalimbali wanakuwa na magari yao binafsi unawapangia usafiri wa kuendesha? Huu ni ukoloni sasa

Wadau na wakereketwa wa Chama hawa wanakuwa na magari yao binafsi unawapangia wanunue gari za namna gani? Seriously? Tunataka turudi enzi 1980s?


Viongozi wa Dini na NGO Wapo na magari yao hayahusiani na Serikali


3. Mawaziri - hiace 2 .. kila hiace mawaziri 5
4. Wakuu wa Mikoa na wa wilaya - hiace 2
5. DED - hiace 1
6. Viongozi wa Dini na NGO - hiace 1
7. Wajumbe wa NEC CCM - hiace 1
8. Wabunge - hiace 2
9. Wakandalasi wa miradi mbalimbali - hiace 2
10. Wadau na wakereketwa wa Chama - hiace 2

Tafuta pesa mzee. Watu hapa bongo wapo na magari bhana


View: https://www.instagram.com/reel/C79Mt0OI4bE/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Haya ni mambo ambayo hayana uhalisia wowote. Hivi hiace inaweza kwenda na speed ya convoy?. Tuwe realistic japo kidogo
Halafu viongozi wa NEC unawaweka kwenye hiace?
Wakandalasi wa miradi mbalimbali wanakuwa na magari yao binafsi unawapangia usafiri wa kuendesha? Huu ni ukoloni sasa

Wadau na wakereketwa wa Chama hawa wanakuwa na magari yao binafsi unawapangia wanunue gari za namna gani? Seriously? Tunataka turudi enzi 1980s?


Viongozi wa Dini na NGO Wapo na magari yao hayahusiani na Serikali




Tafuta pesa mzee. Watu hapa bongo wapo na magari bhana


View: https://www.instagram.com/reel/C79Mt0OI4bE/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==

Kwan ile hiace/coaster iliyopo kwenye msafara inafanya nn kama haiendi speed ya convoy?
 
Hiyo siyo hiace/coaster ndugu yangu. Hiyo ni benzi tena imeagizwa toka kiwandani.

Ni nzito na inaweza kutembea 180km/h to 200km/h isiyumbe,

Weka hiace sasa kwenye 120km/h inaweza paa.

Convoy siyo mchezo.
Hujui hata unachoongea.. wew unaongelea convoy kwa kuona kweny video au barabaran. mim convoy nasafir nazo.. hata majuzi tulikuwa kigoma na VP
 
Hujui hata unachoongea.. wew unaongelea convoy kwa kuona kweny video au barabaran. mim convoy nasafir nazo.. hata majuzi tulikuwa kigoma na VP
Umesafiri na Convoy!! una suggested mawaziri wawekwe kwenye hiace!!! moja 😱😱😱😱
Au unaongelea Convoy za mjini?

Be realistic bhana. Halafu Rais anamuda mrefu hajafanya ziara maeneo hayo na tena ziara ya kukagua miradi.
 
Umesafiri na Convoy!! una suggested mawaziri wawekwe kwenye hiace!!! moja 😱😱😱😱
Au unaongelea Convoy za mjini?

Be realistic bhana. Halafu Rais anamuda mrefu hajafanya ziara maeneo hayo na tena ziara ya kukagua miradi.
Panda convoy kwanza ndo utauona reality iliyopo, usilete hisia
 
Panda convoy kwanza ndo utauona reality iliyopo, usilete hisia
Aisee!!! Wapi nimeonesha hisia. Mimi ninakueleza ukweli. Labda ongelea kitu kingine lakini issue ya kuwaweka kwenye hiace hii haina uhalisia wowote. Ni kuongea tu bila fact yoyote.
 
Panda convoy kwanza ndo utauona reality iliyopo, usilete hisia
Presidential Convoy
  • Lead Car: This vehicle scouts the route ahead, watching for any potential threats or obstacles.
  • Presidential Limousine: The car carrying the president, often heavily armored and equipped with various security features.
  • Support/Backup Limousine: An additional vehicle that can serve as a decoy or backup in case of an emergency.
  • Security Detail Vehicles: Typically, there are at least two SUVs or sedans carrying the president’s security detail (e.g., Secret Service agents).
  • Communications Vehicle: A vehicle equipped with advanced communication equipment to ensure constant contact with other security teams and command centers.
  • Medical Unit: An ambulance or a medical support vehicle equipped to handle medical emergencies.
  • Press or Staff Vehicle: Sometimes included to transport members of the presidential staff or press.
  • Police Escort: Local law enforcement vehicles help manage traffic and secure the route.
 
Presidential Convoy
  • Lead Car: This vehicle scouts the route ahead, watching for any potential threats or obstacles.
  • Presidential Limousine: The car carrying the president, often heavily armored and equipped with various security features.
  • Support/Backup Limousine: An additional vehicle that can serve as a decoy or backup in case of an emergency.
  • Security Detail Vehicles: Typically, there are at least two SUVs or sedans carrying the president’s security detail (e.g., Secret Service agents).
  • Communications Vehicle: A vehicle equipped with advanced communication equipment to ensure constant contact with other security teams and command centers.
  • Medical Unit: An ambulance or a medical support vehicle equipped to handle medical emergencies.
  • Press or Staff Vehicle: Sometimes included to transport members of the presidential staff or press.
  • Police Escort: Local law enforcement vehicles help manage traffic and secure the route.
Hiv vitu sio vya kunifundisha.. wew ndo ujifunze
 
Waku Simon and Venus Star kwenye huu mjadala wenu, nyote wawili mpo sahihi. Ila ni machaguzi tu sasa ya viongozi. Simon unazungumzia msafara uwe na magari ya kawaida kwa sababu za kibajeti (kubana matumizi) na venus wew unazungumzia upande wa kiusalama na hadhi za viongozi pamoja na wadau wa maendeleo wakati wa ziara. Nyie wote mpo sahihi wakuu sioni haja ya kukosoana.
 
Waku Simon and Venus Star kwenye huu mjadala wenu, nyote wawili mpo sahihi. Ila ni machaguzi tu sasa ya viongozi. Simon unazungumzia msafara uwe na magari ya kawaida kwa sababu za kibajeti (kubana matumizi) na venus wew unazungumzia upande wa kiusalama na hadhi za viongozi pamoja na wadau wa maendeleo wakati wa ziara. Nyie wote mpo sahihi wakuu sioni haja ya kukosoana.
Safety first Ndio mengine yanakuja. Threats ni nyingi mno.
 
Acha upumbavu wewe time huwa rounded off to the nearest quarter hour or to the nearest 5 or 10 minutes. Elimu bure kabisa
Naona ujinga haukutoki, wacha nikuelimishe kidogo bongolala. Wakisema round off wanamaanisha keep it simpler by presenting it as the nearest significant number referenced. In this case, rounding off to the nearest hour he significant number reference is a full hour. Kwa hivo utaangalia hiyo figure iko kati ya which two full hours. Figure inayoongelewa ni 3:35, yani masaa matatu na dakika thelathini na tano. Hiyo figure iko katikati ya 3hrs na 4hrs lakini iko karibu na 4 hours zaidi (dakika 25) kuliko 3 hrs (dakika 35). Kwa hivo ukiround off 3:35 to the nearest hour unapata 4 hours. Nyie watu somo la hisibati liliwapita sana.Nimeone humu mkikosea vitu rahisi tilivyofunzwa shule ya msingi na mnajiita graduates. Masomo yenu duni sana.
 
Naona ujinga haukutoki, wacha nikuelimishe kidogo bongolala. Wakisema round off wanamaanisha keep it simpler by presenting it as the nearest significant number referenced. In this case, rounding off to the nearest hour he significant number reference is a full hour. Kwa hivo utaangalia hiyo figure iko kati ya which two full hours. Figure inayoongelewa ni 3:35, yani masaa matatu na dakika thelathini na tano. Hiyo figure iko katikati ya 3hrs na 4hrs lakini iko karibu na 4 hours zaidi (dakika 25) kuliko 3 hrs (dakika 35). Kwa hivo ukiround off 3:35 to the nearest hour unapata 4 hours. Nyie watu somo la hisibati liliwapita sana.Nimeone humu mkikosea vitu rahisi tilivyofunzwa shule ya msingi na mnajiita graduates. Masomo yenu duni sana.
MKenya akifundisha mtanzania mathematics, my ribs 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Tangu lini wakenya wakajua Maths?
 
Naona ujinga haukutoki, wacha nikuelimishe kidogo bongolala. Wakisema round off wanamaanisha keep it simpler by presenting it as the nearest significant number referenced. In this case, rounding off to the nearest hour he significant number reference is a full hour. Kwa hivo utaangalia hiyo figure iko kati ya which two full hours. Figure inayoongelewa ni 3:35, yani masaa matatu na dakika thelathini na tano. Hiyo figure iko katikati ya 3hrs na 4hrs lakini iko karibu na 4 hours zaidi (dakika 25) kuliko 3 hrs (dakika 35). Kwa hivo ukiround off 3:35 to the nearest hour unapata 4 hours. Nyie watu somo la hisibati liliwapita sana.Nimeone humu mkikosea vitu rahisi tilivyofunzwa shule ya msingi na mnajiita graduates. Masomo yenu duni sana.
Si umejipea kibarua.😂😂
 
Back
Top Bottom