Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

𝐔𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 𝐖𝐀 𝐍𝐃𝐄𝐆𝐄 𝐒𝐎𝐍𝐆𝐖𝐄 𝐌𝐀𝐌𝐁𝐎 𝐌𝐀𝐙𝐔𝐑𝐈

View attachment 3046455

View attachment 3046456
GPO2EhQboAE5snx


GPO2EhObcAA_sC0


GPO2UHZbcAAXud5


VS

IMG_0357.jpeg


GP4FP0eXEAAFzQt


Kisumu international airport is beaten in every category!No control towet at Kisumu n runway is short!
 
1.Miaka 5 ya Magufuli vitu vya Afya 360 vs miaka 3 ya mama vituko vya Afya zaidi ya 400

2.Tarura Bajeti Bilioni 270 vs Tarura Bajeti Bilioni 850 (Nani kajenga zaidi)

Niendelee kwenye maji,shule,mikopo ya Wanafunzi,mahospital ,Vyuo vya Ufundi,nishahara,Ajira nk?

Mwisho mtaanza mapovu na kuvuja ,ngoja niishie hapa hapa 😆😆😆👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9mCdOQsIFe/?igsh=bHBqa3l5YmZ1dGRu

Bila kusahau miaka 3 mikopo ya kutisha zaidi ya mikopo iliokopwa awamu 5 kwa pamoja 😂😂😂

Bila kusau tozo za kutisha kila sector😂
 
Nilijua lazima utafute ezcuses 😂😂😂

Magufuli alikopa au hakukopa?
Mikopo ya mama miaka 3 ni mikubwa kuliko mikopo ya awamu zote combined 😅😅😅

Hio mikopo inasaidia nn ikiwa sukari inauzwa 10,000 kwa kilo?? Inasaidia nn hio mikopo wakat kuna matozo kibao kwenye mitandao ya simu na banks
 
Mukiambiwa ukweli munakua wakali mikopo iliokopwa tulitegemea tuwe miaka 10 ahead

Narudia kukuuliza naomba update ya SGR phase 3,4 and 6 ukipata update so far let me know 😂😂

Au tuendelee kusifia Tu 😅🙌
Ukweli upi? Iko wazi kabisa na Samia alisema Serikali yake itakopa na imekopa kutekeleza miradi.

Jibu swali Magufuli alikopa au hakukopa? Nina maswali mengi ya kukuuliza.
 
Mikopo ya mama miaka 3 ni mikubwa kuliko mikopo ya awamu zote combined 😅😅😅

Hio mikopo inasaidia nn ikiwa sukari inauzwa 10,000 kwa kilo?? Inasaidia nn hio mikopo wakat kuna matozo kibao kwenye mitandao ya simu na banks
Nataka jibu, Magufuli alikopa au hakukopa?
 
Ukweli upi? Iko wazi kabisa na Samia alisema Serikali yake itakopa na imekopa kutekeleza miradi.

Jibu swali Magufuli alikopa au hakukopa? Nina maswali mengi ya kukuuliza.
Miradi gani wakat miradi muhimu zaidi imesimama 😅😅😅 au unafkiri kujenga kituo cha polisi ndio mradi huo?? Wakat sukari inauzwa 10,000 na waziri yupo ofisini
 
Hivi tunavyoongea hata makamu wa Rais wenu simjui. Naomba unionyeshe video moja mwaka huu media ya Kenya ikidiscuss siasa za Tanzania nifunge account.
Unataka kusema humjui your benefactor aliyewapa dawa za TB. Ali sign dawa zitoke Tz zije Kunyaland wakati mama akiwa safarini.
Seriously, huko ni kumkosea adabu we nyangau.
 
We were talking about time rounding off here na sio numbers za kawaida. Time has a special formula for rounding off.
Chukua ushauri utakusaidia kama hutaki acha kaa na ujinga wako ulioletwa na elimu yenu duni.
Inamaana dakika 25 ikikadiriwa ndio sawa na lisaa!?
Kwahiyo masaa matatu na dakika 25 ni sawa na masaa manne kimakadirio!?
Sio masaa matatu na nusu tena!?
AISEE 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom