Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania wamepanik mpaka wanalike kila ujinga. Dar to dom via sgr ni 457kms.

Speed = distance/time
=457/3.333
Speed = 137kph
1000046710.png
View attachment 3046490
Njia ya treni ina urefu tofauti na barabara kwanza mimi nilikua nimekosea, dar mpaka dodoma makutopora njia kuu ni km 500 na a uchafu mwingine sijataja kuongeza iyo ni main line sasa linganisha na kwenu huko
 

Attachments

  • 1000046701.png
    1000046701.png
    563.4 KB · Views: 19
Watanzania wamepanik mpaka wanalike kila ujinga. Dar to dom via sgr ni 457kms.

Speed = distance/time
=457/3.333
Speed = 137kph View attachment 3046490
Ukiambiwa treni inatembea 160km/h average speed usidhani tunacheza kuombolela, dar to Dodoma makutopora 538km km ilhali kwenu huko ni 500 km na bado mnatumia masaa 6
1000046710.png
 
Njia ya treni ina urefu tofauti na barabara kwanza mimi nilikua nimekosea, dar mpaka dodoma makutopora njia kuu ni km 500 na a uchafu mwingine sijataja kuongeza iyo ni main line sasa linganisha na kwenu huko
Watanzania mmechanganyikiwa hamujui nchi yenu. Kutoka Dar es salaam SGR station mpaka Dodoma SGR station ni 457km. Acha wewe kuna mwenzako ichoboy01 alituambia ni 700km. Kuna Kosugi anakuambia kutoka dar to moro via sgr ni 300km. Hamjielewi kabisa 😬😬
Screenshot_20240719_184615.JPG
 
Watanzania mmechanganyikiwa hamujui nchi yenu. Kutoka Dar es salaam SGR station mpaka Dodoma SGR station ni 457km. Acha wewe kuna mwenzako ichoboy01 alituambia ni 700km. Kuna Kosugi anakuambia kutoka dar to moro via sgr ni 300km. Hamjielewi kabisa 😬😬 View attachment 3046556
Yaani wewe nyang’au huoni picha ya gari hapo juu, au gari siku hizi imekuwa treni ya sgr?
 
Kenya trains are faster than Tanzanian trains. That’s the truth na huwezipingana na ukweli.

Kenyan Locomotives are faster than Tanzanian locomotives and EMU.
Mpaka sasa treni inayokimbiza ni 3rd class na inatumia saa limoja na dakika 40 kufika Morogoro huku ikiwa haiendi speed yake kubwa inavyotakikana due to kusimama kwenye vituo kibao katikati.

EMU hizi za tatu break ya kwanza ni Morogoro na yapili ni Dodoma.


View: https://x.com/InOnAfrica/status/1812781139339165896
 
Watanzania mmechanganyikiwa hamujui nchi yenu. Kutoka Dar es salaam SGR station mpaka Dodoma SGR station ni 457km. Acha wewe kuna mwenzako ichoboy01 alituambia ni 700km. Kuna Kosugi anakuambia kutoka dar to moro via sgr ni 300km. Hamjielewi kabisa 😬😬 View attachment 3046556
Utakua fala we jamaa.
Dar to Moro ni 300+kms.
Hiyo Dar to Dodoma 457kms ni station ya mwanzo sio Makutupora.
Watanzania mmechanganyikiwa hamujui nchi yenu. Kutoka Dar es salaam SGR station mpaka Dodoma SGR station ni 457km. Acha wewe kuna mwenzako ichoboy01 alituambia ni 700km. Kuna Kosugi anakuambia kutoka dar to moro via sgr ni 300km. Hamjielewi kabisa 😬😬 View attachment 3046556
IMG_20240719_200415.jpg
 
Watanzania mmechanganyikiwa hamujui nchi yenu. Kutoka Dar es salaam SGR station mpaka Dodoma SGR station ni 457km. Acha wewe kuna mwenzako ichoboy01 alituambia ni 700km. Kuna Kosugi anakuambia kutoka dar to moro via sgr ni 300km. Hamjielewi kabisa 😬😬 View attachment 3046556
Sawa tumekubali treni yetu inakimbia kwa speed ya 138km/ h .. 😂😂😂 now kwasababu tunafanya comparison na treni yenu. I want you to tell us the exact speed of Madaraka train from Nairobi-Mombasa, ikiwa hii ndi schedule yasafari 👇🏾
IMG_0278.jpeg
😂😂😂ukipata hata treni inakimbia kwa 80km/hr naomba unitag pia 😂😂😂😂
 
Watanzania wamepanik mpaka wanalike kila ujinga. Dar to dom via sgr ni 457kms.

Speed = distance/time
=457/3.333
Speed = 137kph View attachment 3046490
1000046712.png

Dar to makutopora (Dodoma) sio Dodoma mjini ni 530km ndani ya masaa 3 na nusu nyie mombasa to nairobi km 500 sijui masaa sita bado unataka kujilinganisha
 
Hivi kweli mnapoteza muda na huyo kichaa kuhusu treni? Wakenya wengi wamekuja kupanda treni yetu na wamekiri ni nzuri na ina mwendo. Far better kuliko ule mtungi wa gongo. Acheni kupoteza muda na mtu alieingia Nairobi ukubwani na kaishia Kibera.
 
Back
Top Bottom