Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

dar slum jiji bila commuter rail 😂😂
Nenda kawasaidie Gen Z tena kuandamana. 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 Mnataka muongozwe na malaika?

1721396969034.png
 
Hii hesabu yako yenyewe uliopiga hapa ni ya ukilaza na uongo. 😂😂😂 utaacha lini ukilaza wako na uongo? Sasa ikiwa safari nzima inatumia 3:25 hours, ukiondoa dakika tano za kusimama kituo cha morogoro utapata kwamba treni imetumia 3:20 hours

Ukifanfanya hesabu za kujua ni speed gani ilitumika hiyo hesabu itakua hivi

Speed = distance/time
Ambapo ni hii 458km ukigawa na hii 3:20 jibu ni 143.125km/hour

Haya tueleze hii 138km umepata wapi? 😂😂😂😂😂
NairobiWalker what is he saying 😬
 
Back
Top Bottom