Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ni nguruwe aliyevaa Nguo. Messi is an attacking midfielder and so considered attacker. Nilikuambia kitambo hujui anything kwa soccer lakini bado umekazana kama kunguni.
Matako ya nguruwe wewe.
Messi ni TOTAL MIDFIELDER(attacking midfielder,central midfielder)
Kasoro tu defending midfield ndio hachezi.
Namba 9 striker/centre forward hucheza kwa msimu na msimu ila namba zake ni 8 na 10.
Au unabisha nianze kukutajia mpaka kikosi kizima alivyocheza striker kwa muda na kucheza namba 8 na 10 mpaka sasa!?
Na katika mpira hakuna attacker kuna striker mpuuzi wewe.
 
Your electric trains are slower than Kenyan diesel trains.
Your electric trains are less comfortable than Kenyan diesel trains.

Those are facts that you can’t dispute.
Umewahi kuona treni zetu zikitikisika!?
Jibu nop,ila treni zenu zinatikisika inamaana zina Lack comfortability.
Treni gani unasema iko comfortable ilhali inatikisika kama bembea!?
Toka lini joint welded rail ikaleta comfortability!?

Umeona wapi diesel train ikawa na ufanisi wa kasi kuliko electric train!?
Embu kasome change of kinetic energy kati ya diesel na electric ndio utaona which is faster than other.
 
Central Midfielders ndio attacking Midfielders. You are a baboon.
😂😂😂😂😂😂Matako wewe central midfielder ni namba 8 ambaye ni kiungo mchezeshaji.
Attacking midfielder/kiungo mshambuliaji ni namba 10 kichaa wewe ambaye kwa Jina lingine unaweza kumpachika Jina la striker kwasababu anasimama nyuma ya centre forward ama striker mkuu namba 9 ili mipira ikikosa kumalizwa na namba 9 yeye anaimalizia kama mshambuliaji wa pili.
Have you ever played football my brother!?
 
Umewahi kuona treni zetu zikitikisika!?
Jibu nop,ila treni zenu zinatikisika inamaana zina Lack comfortability.
Treni gani unasema iko comfortable ilhali inatikisika kama bembea!?
Toka lini joint welded rail ikaleta comfortability!?

Umeona wapi diesel train ikawa na ufanisi wa kasi kuliko electric train!?
Embu kasome change of kinetic energy kati ya diesel na electric ndio utaona which is faster than other.
Magufuli kawadanganya kwamba treni lenu halitikisiki?? Unajua kazi ya suspension ni nini?
 
Central Midfielders ndio attacking Midfielders. You are a baboon.
Yani hata Google wanakushinda😂😂😂😂
Screenshot_2024-07-20-00-20-33-72_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Number 8 is a box to box midfielder. Majorly participating in initiating the attack. You are an idiot.
Box to box midfield is a central midfield ambaye kazi yake kuplay make the team na kuvusha pasi toka uwanda wa kiungo Mkabaji kuja uwanda wa mashambulizi.
Mpira hujacheza wewe kenge😂😂😂😂😂.
Screenshot_2024-07-20-00-20-33-72_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
You are just an idiot. Can’t you see that from your screenshot it’s indicated that number 8 is doing attacking duties? Nikikuita kondoo ngakuwa nimekosea?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aaaah bro acha bas unajua mkubwa wewe na unajua kiingereza.
"Doing both attacking and defensive jobs" maana yake nini!?
Midfield namba 8 ndio playmaker,bila ya yeye hamuwezi kujenga mashambulizi,yeye huvusha mipira kutoka kwa kiungo Mkabaji kuja katika eneo la ushambuliaji,hapo ndio attacking job inapotimia.
Defensive job ni kuhimili mashambulizi kwa kukata muunganiko wa safu ya viungo ya timu pinzani kwa kuumiliki sana mpira kabla haujavuka kuja kwa namba 6 ambaye kiungo Mkabaji ambaye kazi yake itakua ni kuziba pasi na kuosha mipira ikibidi ili kudhibiti mashambulizi Kabla mpira haujavuka kuja kwa mabeki.
Bila namba 8 namba 9 hafungi na namba 10 hatoi assist wala kusaidia ufungaji.
We jamaa mpira hujui.
 
Back
Top Bottom